Skip to main content

YARA ya wapunguzia wakulima bei ya huu zaji wa mbolea


meneja masoko wa Kampuni ya Yara Tanzania Ltd  Linda Byaba akizungmza na waandishi wa habari  katika Ofisi za YARA Tanzania zilizopo Kurasini jijini Dar es Salaam 



Meneja Masoko wa Kampuni ya uzalishaji Mbolea ya Yara , Linda Byaba akionyesha ubora wa mbolea aina ya YaraMila Otesha leo jijini Dar es Salaam.



Meneja Masoko wa Kampuni ya uzalishaji Mbolea ya Yara , Linda Byaba akionyesha ubora wa 
mbolea aina ya YaraMila Otesha leo jijini Dar es Salaam.


 Meneja Masoko wa Kampuni ya Uzalishaji Mbolea ya  Yara , Linda Byaba akizungumza na
 waandishi habari kuhusiana na punguzo bei ya mbolea ya YaraMila Otesha leo jijini Dar 
es Salaam.



Kampuni ya usambaaji  mbolea ya Yara Tanzania imepunguza
ghara ya maMbolea YaraMila Otesha kwa asilimia 50 ili kuwezesha wakulima wazalishe mazao  
bora yatayongia katika viwanda  vya bidhaa mbalimbali.

Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam Meneja Masoko wa 
Kampuni hiyo, Linda Byaba amesema kupunguza bei ya mbolea kwa asilimia 50 
ni kuwawezesha wakulima waweze kumudu gharama hizo.

Amesema Yara ni kampuni inayoongoza duniani kwa uzalishaji wa mbolea 
zenye virutubisho linganifu kama YaraMila. Kila punje moja ya YaraMila 
ina virutubisho vyote kama Nitrojeni, Fosiforasi, Kalisiam, Boroni,
 Magniziam kwa ajili ya kuupa mmea lishe linganifu.

Byaba amesema wakulima wanaozalisha mazao ya nafaka, kahawa, chai, 
sukari, tumbaku, alizeti, viazi na mbogamboga wanafaidika na mbolea 
zenye virutubisho kupitia matawi yake yaliyopo Tanzania 
na Rwanda.

Amesema faida za mbolea hii ya Kupandia ya YaraMila Otesha , 
lishe linganifu ya mmea ,ni mbolea ya NPK yenye kiwango cha juu 
cha kirutubisho cha Fosforasi na ina jumla ya virutubisho 
7 kulinganisha na mbolea zingine za kupandia, haichachushi 
wala udongo,huchochea uotaji wa mizizi mingi hivyo kuufanya mmea 
kuwa imara muda wote,huchochea machipukizi mengi  yanayoleta mavuno mengi  
katika zao la mpunga.

Aidha amesema faida zingine ni kuyeyuka kwa haraka zaidi kwenye udogo 
na kufanya mmea upate vizurubishovyake stahiki kwa muda unaohitajika Pamoja 

 asilimia 50% ya ongezeko la uzalishaji kwa wakulima waliotumia.


Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.