Skip to main content

YARA ya wapunguzia wakulima bei ya huu zaji wa mbolea


meneja masoko wa Kampuni ya Yara Tanzania Ltd  Linda Byaba akizungmza na waandishi wa habari  katika Ofisi za YARA Tanzania zilizopo Kurasini jijini Dar es Salaam 



Meneja Masoko wa Kampuni ya uzalishaji Mbolea ya Yara , Linda Byaba akionyesha ubora wa mbolea aina ya YaraMila Otesha leo jijini Dar es Salaam.



Meneja Masoko wa Kampuni ya uzalishaji Mbolea ya Yara , Linda Byaba akionyesha ubora wa 
mbolea aina ya YaraMila Otesha leo jijini Dar es Salaam.


 Meneja Masoko wa Kampuni ya Uzalishaji Mbolea ya  Yara , Linda Byaba akizungumza na
 waandishi habari kuhusiana na punguzo bei ya mbolea ya YaraMila Otesha leo jijini Dar 
es Salaam.



Kampuni ya usambaaji  mbolea ya Yara Tanzania imepunguza
ghara ya maMbolea YaraMila Otesha kwa asilimia 50 ili kuwezesha wakulima wazalishe mazao  
bora yatayongia katika viwanda  vya bidhaa mbalimbali.

Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam Meneja Masoko wa 
Kampuni hiyo, Linda Byaba amesema kupunguza bei ya mbolea kwa asilimia 50 
ni kuwawezesha wakulima waweze kumudu gharama hizo.

Amesema Yara ni kampuni inayoongoza duniani kwa uzalishaji wa mbolea 
zenye virutubisho linganifu kama YaraMila. Kila punje moja ya YaraMila 
ina virutubisho vyote kama Nitrojeni, Fosiforasi, Kalisiam, Boroni,
 Magniziam kwa ajili ya kuupa mmea lishe linganifu.

Byaba amesema wakulima wanaozalisha mazao ya nafaka, kahawa, chai, 
sukari, tumbaku, alizeti, viazi na mbogamboga wanafaidika na mbolea 
zenye virutubisho kupitia matawi yake yaliyopo Tanzania 
na Rwanda.

Amesema faida za mbolea hii ya Kupandia ya YaraMila Otesha , 
lishe linganifu ya mmea ,ni mbolea ya NPK yenye kiwango cha juu 
cha kirutubisho cha Fosforasi na ina jumla ya virutubisho 
7 kulinganisha na mbolea zingine za kupandia, haichachushi 
wala udongo,huchochea uotaji wa mizizi mingi hivyo kuufanya mmea 
kuwa imara muda wote,huchochea machipukizi mengi  yanayoleta mavuno mengi  
katika zao la mpunga.

Aidha amesema faida zingine ni kuyeyuka kwa haraka zaidi kwenye udogo 
na kufanya mmea upate vizurubishovyake stahiki kwa muda unaohitajika Pamoja 

 asilimia 50% ya ongezeko la uzalishaji kwa wakulima waliotumia.


Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...