Skip to main content

Posts

Showing posts from July, 2013

Azzan: Nitajiuzulu ikibainika nauza Madawa ya Kulevya.

Akizungumza na MTANZANIA jana kuhusu sakata hilo, alisema hatua ya kuhusishwa na biashara haramu ya dawa za kulevya, ni kutotenda haki mbele ya jamii hasa wapiga kura wake na Taifa kwa ujumla. MBUNGE wa Kinondoni (CCM), Idd Azzan, amesema yupo tayari kujiuzulu ubunge, ikiwa itabainika anajihusisha biashara ya dawa za kulevya.  Kauli hiyo imekuja siku chache baada ya kutajwa katika moja ya barua iliyosambazwa katika mitandao ya kijamii, baada ya mtu anayedaiwa kukamatwa China na kuwatuhumu watu kadhaa akiwamo Idd Azzan. Alisema mtu aliyendika barua ya tuhuma dhidi yake, ni wazi amedhamiria kumshushia heshima na huenda akawa ana jambo limejificha. “Ni kweli nimeiona hiyo barua katika mtandao, inayodaiwa imeandikwa na kijana ambaye amekamatwa Hong Kong nchini China. Lakini ninajiuliza kama kweli yeye ni raia mwema, katika hili kwanini hakutaka kutaja jina lake kwenye barua hiyo. “Hata nilipoisoma nimebaini kuwa huyo mtu ametumika na huenda kabisa hayu

Big welcome awaits Thai premier in Dar es Salaam

Prime Minister Yingluck Shinawatra of Thailand is expected in the country today for a three-day visit. Prime Minister Yingluck Shinawatra During her visit she will witness the signing of six contracts between Tanzania and Thailand. She will also spend a day in Serengeti National Park, one of the country’s Seven Wonders of Africa. Prime Minister Shinawatra’s visit is aimed at forging closer ties in trade and investments between the two countries. President Jakaya Kikwete will receive the Thai Premier at the Julius Nyerere International Airport (JNIA). She will be arriving from a visit to Mozambique. The six contracts include Trade and Economic Cooperation, Memorandum of Understanding on Technical Cooperation, Exchange of prisoners between Tanzania and Thailand and Memorandum of Understanding on Geology and Mineral Resources Management. Others are a Memorandum of Understanding on promotion and safeguarding investments between Tanzania and Thailand,

DONDOO: Ndoa huongeza muda wa kuishi

Tafiti nyingi zinaonesha kuwa watu wengi walio funga ndoa wamewapiku wale wasio funga ndoa kwenye umri wa kuishi. Watafiti hawa wamebainisha kuwa mfumo wa maisha wa mtu aliye kwenye ndoa huchangia mabadiriko yake kifikira na hata kiuchumi hivyo kwa njia moja au nyingine ndio sababu ya wale walio kwenye ndoa kuishi kwa muda mrefu. Wakati ndoa huchangia kuongea muda wa kuishi na faida nyingine nyingi kwenye afya ya binadamu, tafiti zinaonesha kuwa wale walio achika / tengana au wajane umri wao wa kuishi huwa mfupi kuliko wale wasioolewa /oa kabisa.  Je unataka kupokea dondoo za kila siku kwenye email yako, jiunge na mlisho wa dondoo za afya toka TanzMED kwa kwenda HAPA

DJ Khaled Drops New Track With Nicki Minaj, Rick Ross & Future

by Yohance Kyles  (AllHipHop News)  There has been a lot of talk over the last week about DJ Khaled proposing to fellow Cash Money artist Nicki Minaj. It turns out it was all just for promo for Khaled’s new single “I Wanna Be With You” featuring Nicki, Rick Ross, and Future. [ALSO READ:  Hip-Hop Rumors: DJ Khaled Proposes To Nicki Minaj! ] The Young Money first lady shot down the idea that Khaled asking for hand in marriage was ever serious. She told Funkmaster Flex in an interview last night, “Khaled is my brother, and Khaled was not serious with that damn proposal, ya’ll. Please let it go. He was kidding.” Flex also happened to premiere the new Lee On The Beats produced track on his show. “I Wanna Be With You” is the second single off DJ Khaled’s upcoming album Suffering From Success due out September 24.Source all hip hop.com

Gazeti la Mwananchi Leo

MDC walalamikia uchaguzi Zimbabwe

CHAMA cha waziri mkuu nchini Zimbabwe kimesema kuwa mmoja wa ofisa wake mkuu wa chama hicho amekamatwa baada ya kuwasilisha ushahidi wa udanganyifu mbele ya tume ya uchaguzi nchini humo. Morgen Komichi aliifahamisha mamlaka baada ya kugundua makaratasi ya kupiga kura yalikuwa yamewekwa katika kituo cha kupiga kura mjini Harare ambapo maafisa wa jeshi walipiga kura za mapema katika uchaguzi huo. (HM) Soma zaidi...

Filamu ya kusisimua 'Eda' yatinga sokoni Leo

MOJA ya fialmu ya Eda inayotazamiwa kufanya poa sokoni  , ujio wa filamu hii umewahusisha wasanii nyota Ussi Haji , Hdaya Njaidi, Sabrina Rupia , Jerry wa Rhimes pamoja Merry Mwita. Ussi Haji ameonekana kucheza kama mume wa Merry, mambaye ameonekana kuwa (busy) kwa shughuli za utafutaji  na kujikuta hatimizi haki ya ndoa  kwa mkewe. Hali hiyo inapelekea kuchelewa kupata ujauzito, wazazi na ndugu wa Ussi wanaanza chokochoko na kumchukua Merry,bila kujua chanzo. Malalamiko  na visa vinapozidi, Merry anaomba pesa  kwa mumewe shilingi milioni tano iliaanze biashara . Anapewa na kumtafuta Jerry na kutaka kumpa pesazote ilimradi  alale naye na ampe ujauzito. Lakini wakati huo huo Jerry ni mchamungu anakataa , kujua nini kilifuata msomaji ujio wa filamu hii imeingia sokoni leo. usikose kununua fialmu hii.http://www.pilipilimoviehouse.blogspot.com/

Papa Francis awaunga mkono vijana wanaodai mabadiliko ya jamii

Na Martha Saranga Amini Kiongozi wa kanisa katoliki duniani papa Francis amewaunga mkono vijana waliochukua hatua ya kuandamana kwa lengo la kutaka mabadiliko akihutubia takribani watu milioni mbili huko Brazil. Kiongozi wa kanisa katoliki duniani Papa Francis akiwa Rio De Jeneiro,Brazili photo/dailymail Papa Francis aliwaambia waumini wa kanisa Wakatoliki ambao wengi wao walikuwa vijana waliokusanyika katika pwani moja huko Rio de Janeiro kwamba alifuatilia habari duniani na kuona wimbi kubwa la vijana likifanya maandamano kwa lengo la kueleza uhitaji wa haki na udugu. Papa aliongeza kuwa Vijana wanaoonekana wakiandamana wameamua kuwa watendaji wa mabadiliko na kuwataka vijana kuwajibika wanapoguswa na masuala ya kijamii na kisiasa katika maeneo mbalimbali duniani. Mamilioni ya waandamanaji walijitokeza katika maeneo mbalimbali nchini brazil mwezi uliopita wakipinga ufisadi,matumizi mabaya ya mali ya umma,na gharama kubwa za kufanyika kwa kombe la

Al-Shabaab yajigamba kuhusu vurugu za Ramadhan

Majid Ahmed alichangia katika ripoti hii kutoka Mogadishu Katika mfululizo wa ujumbe uliotolewa hivi karibuni kupitia Twitter, al-Shabaab ilijisifu kuhusu namna wapiganaji wake walivyofanya mashambulio zaidi ya 100 kwa kipindi cha nusu ya kwanza ya Ramadhan, na kuapa kuongeza vurugu wiki zijazo. Mwanamke wa Somalia akiruka juu ya maiti iliyofunikwa baada ya bomu la kujitoa muhanga kulipuliwa na gari iliyosheheni milipuko kwenye msafara wa vikosi vya Umoja wa Afrika huko Mogadishu tarehe 12 Julai. [Mohamed Abdiwahab/AFP] "Kati ya operesheni za kijeshi 108 zilizofanywa na HSM [al-Shabaab], 57 zilikuwa za mashambulio ya milipuko na maguruneti, 41 zilikuwa za kukabiliana moja kwa moja na mashambulio ya kushtukiza," kikundi hicho cha wanamgambo kilisema tarehe 24 Julai. Al-Shabaab walisema pia walifanya mauaji kwa sababu za kisiasa tisa na shambulio la kujitoa muhanga dhidi ya msafara wa Misheni ya Umoja wa Afrika nchini Somalia (AMISOM) huko M

Banyamulenge waishio DR Congo walilia usalama wao

Na Martha Saranga Amini Wakati mapigano yanaendelea Huko mashariki mwa Jamhuri Ya Kidemokrasia ya Congo,DRC Watu wanaozungumza lugha ya Kinyarwanda al maarufu kama Banyamulenge wamevilaumu vyombo vya usalama na raia kuendelea kuwanyanyasa huku Viongozi wa Jimbo la Kivu ya Kaskazini wakisema watahakikisha usalama wa raia hao. Baadhi wa wapiganaji waasi wa M23 wakiwa kambini Rumangabo DRC waasi hawa wanatuhumiwa kukiuka haki za binadamu kwa kuwatesa raia Reuters/James Akena Katika mazungumzo na Gavana wa Jimbo la Kivu ya Kaskazini raia hao kutoka kabila la Banyamulenge waliilaumu serikali ya Rwanda pamoja na waasi wa Kundi la M23,kutetea vita vya mashariki mwa Drc kuwa ni kwa lengo la kusaka maslahi ya wanyarwanda. Kwa upande wao Viongozi wa serikali pamoja na wale wa kijeshi wamesema tayari wamefanikiwa kusuka mikakati iliyo thabiti ili kuhakikisha kwamba usalama wa Banyamulenge unazingatiwa katika Jimbo nzima la Kivu ya Kaskazini. Hayo yanajiri wa

Egyptian security forces kill 10 gunmen in Sinai

An Egyptian soldier near the Rafah border with Gaza, July 5, 2013. (File photo: AFP) Al Arabiya Egyptian security forces killed 10 militants and captured 20 others in an operation in the Sinai Peninsula over the past 48 hours, state news agency MENA reported on Sunday. “Security operations carried out by the armed forces and police in north Sinai to hunt down armed terrorists... (resulted) in the liquidation of 10 of these armed terrorist elements,” the agency said, citing a security source. The North Sinai region is always restive, used as a base by hardline Islamists who increased their attacks after the security vacuum created by the overthrow of President Hosni Mubarak in 2011. But attacks on security forces, and subsequent reprisals, have become almost daily since Egyptian President Mohamed Mursi’s ouster on July 3. Source - english.alarabiya.net

CAG Ludovick Utouh katika Ziara ya Ukaguzi wa Umoja wa Mataifa

  Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Bw. Ludovick S. L. Utouh (Kushoto) akisalimiana na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Bw. Ban Ki-Moon baada ya Mkutano wa 67 wa Bodi ya Ukaguzi wa Umoja wa Mataifa (UNBoA), Jumanne, 23 Julai, 2013 mjini New York, Marekani. Bodi ya Ukaguzi ya Umoja wa Mataifa (UNBoA) wakiwa saini ripoti 15 zilizoidhinishwa. Kutoka kushoto walioketi ni Bw. Ludovick S. L. Utouh (Mkaguzi Mkuu wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano Tanzania),Bw. Lui Jiayi (Mkaguzi Mkuu wa Serikali ya Jamhuri ya Watu wa China) na Bw. Amnyas Morse (Mkaguzi Mkuu wa Serikali ya Uingereza).             (M.M) Soma zaidi...

Uongozi Ni Mzigo...!

Ndugu zangu,Imeandikwa, kuwa Yethro alimshauri mkwewe Mussa achague miongoni mwa watu wake, watu wenye uwezo, watu wakweli, wacha Mungu, wasiotamani mapato ya udhalimu. Awaweke chini ya makumi, hamsini na mamia. Waamue mambo madogo ili Mussa asidhohofu kwa majukumu mengi, ili nao wauchukue mzigo pamoja na Mussa.Naam, Uongozi ni Mzigo. Aliandika hivyo Maggid katika usiku wa Saturday, 27 July 2013

YALIOJIRI NCHINI RWANDA: RAIS PAUL KAGAME KIZAAZAA CHAELEKEA KUMKUMBA! SOMA HAPA

ONYO lililotolewa na Ikulu ya Marekani dhidi ya Serikali ya Rwanda, linalomtaka Rais wa nchi hiyo, Paul Kagame, kuacha kuwasaidia waasi wa kikundi cha M23, lina kila dalili zinazomuweka kwenye kundi la viongozi wa Kiafrika ambao hatma yao baada ya kuachia madaraka inazungukwa na wingu la mashaka. Rais wa Marekani, Barack Obama, ambaye mapema wiki hii alikaririwa na vyombo vya habari mbalimbali duniani akimtaka Rais Kagame kuacha kukisaidia kijeshi kikundi cha waasi wa M23, anaaminika kuitoa kauli hiyo kama msimamo wa serikali yake inayopinga watawala wanaojihusisha na uhalifu wa kivita. Ingawa hadi sasa Rais Kagame hajatajwa na Ikulu ya Marekani kama mmoja wa viongozi wa Afrika wanaotuhumiwa kwa uhalifu wa kivita, onyo lililotolewa na Rais Obama linadhihirisha kuwepo kwa ushahidi unaomhusisha na matukio ya aina hiyo yaliyopata kuwagharimu baadhi ya marais walionyooshewa kidole na Marekani kwa aina hii hii anayonyooshewa sasa Kagame. Wadadisi na wafuatil

Maelfu wauwawa katika mapambano Misri

  Wafuasi wa rais wa Misri aliyeondolewa madarakani na jeshi,Mohamed Morsi wamesema zaidi ya watu laki moja na ishirini wameuwawa katika mapambano na vikosi vya ulinzi na usalama mjini Cairo. Polisi waliingia katika mkusanyiko wa usiku wa wafuasi wa Morsi saa chache baada ya waziri wa mambo ya ndani kusema wafausi wa Morsi na chama chao cha Muslim Brotherhood waliokusanyika kwenye viunga vya msikitini wa Rabba Al Adawiya lazima waondoke. (HM) Soma zaidi...

Kikwete: Atakayethubutu kuigusa Tanzania atakiona

Dar es Salaam. Rais Jakaya Kikwete ametuma ujumbe kwa wale wanaoitishia Tanzania. Amewaambia wakithubutu watakiona cha mtemakuni kama ilivyokuwa kwa Idd Amin wa Uganda. Askari wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) wakifyatua risasi baridi hewani kuomboleza vifo vya askari 101 waliofariki katika Vita ya Ukombozi Msumbiji (1970-1978), wakati wa maadhimisho ya Siku ya Mashujaa yaliyofanyika Naliendele Mjini Mtwara jana .Picha na Abdallah Bakari Alisema mamlaka za ulinzi na usalama zilimdhibiti Amin alipofanya uvamizi katika ardhi ya Tanzania mwaka 1978 na kwamba hazitashindwa kufanya hivyo kwa mtu mwingine yeyote atakayechezea usalama wa nchi. Wakati Rais akisema hayo, Mkuu wa Majeshi, Jenerali Davis Mwamunyange amewahakikishia wananchi kuwa wakati wote jeshi liko imara na kuwataka wasiogope lolote. Viongozi hao walisema hayo jana katika maadhimisho ya Siku ya Mashujaa iliyofanyika katika Kambi ya Jeshi ya Kaboya iliyopo Muleba, Kagera. “Sihitaji ku

Mkuu wa jeshi Misri aitisha maandamano

MKUU wa Jeshi la Misri amewataka wananchi kujitokeza kuandamana siku ya Ijumaa dhidi ya kile anachokiita ugaidi. Abdel Fattah al-Sisi amesema anawataka watu kuunga mkono jeshi na kulikabidhi jukumu la kukabiliana na ghasia pamoja na ugaidi. Wafuasi wa Mohammed Morsi aliyeondolewa mamlakani na jeshi, wamekuwa wakiandamana dhidi ya jeshi ambalo lilimuondoa mamlakani tarehe 3 mwezi Julai. Lakini Generali Sisi alisema wito wake sio wa ghasia bali anataka kuwepo maridhiano ya kitaifa. (HM) Soma zaidi...

Ramadhani Chombo 'Redondo' Arejeshwa msimbazi

UONGOZI wa klabu ya Simba umeamua kumrejesha kiungo wake, Ramadhani Chombo 'Redondo' na tayari amejiunga na wachezaji wenzake kwenye kambi ya timu hiyo iliyopo Mbamba Beach, Kigamboni, Dar es Salaam. Ofisa Habari wa Simba, Ezekiel Kamwaga alisema mjini Dar es Salaam jana kuwa, Chombo alijiunga na wenzake juzi kwa ajili ya maandalizi ya msimu ujao wa ligi. Kamwaga alisema mchezaji huyo amerejeshwa kundini baada ya kuomba radhi kwa uongozi na kusamehewa. Chombo ni miongoni mwa wachezaji watano wa Simba waliosimamishwa msimu uliopita kwa makosa ya nidhamu. Wengine ni Haruna Moshi 'Boban' na Juma Nyoso waliojiunga na Coastal Union ya Tanga. Kamwaga alisema kwa sasa Simba inajiandaa kwa mechi moja ya kirafiki ya kimataifa dhidi ya timu moja kutoka nje itakayochezwa wakati wa tamasha la Simba Day. Hata hivyo, hakutaja jina la timu hiyo. Alisema Kocha Abdalla Kibadeni ameomba kambi hiyo ili kuwatengeneza wachezaji kimwili, kiakili na kisaikolojia. Wak

BBA : Nando (TZ) amchana Annabel (Kenya) ‘Hata Afrika imechoka kukuokoa muda wote... Play the game now’

Mshiriki anayeiwakilisha Tanzania kwenye shindano la Big Brother linaloendelea huko South Africa, Nando ameamua kumtolea uvivu mshiriki wa Kenya, Annabel kutokana kuwa nominated mara kwa mara. Nando alimwambia Annabel, “ Even Africa gets tired of saving your ass all the time. Play the game now, ” bila kumuonea haya. Nando alitumia usiku wake kumpa ushauri Annabel juu ya afanyeje ili aweze kuingia top five of The Chase .  “ You already know where you stand with people. The people that you feel Nominated you; go to them and make a deal, ” Nando alimshauri mdada huyo wa Kenya. Annabel amekuwa na wasiwasi sana, akihofia kwamba anaweza kutolewa kwenye eviction show ijayo. Anaamini wenzake ambao wapo kwenye possible eviction ambao ni Sulu na Eliekim watabaki. Annabel pia alijitetea kwa Nando na kumwambia, “ We are all walking on thin ice, ”

Soma hii!

O kay something definitely has come over us at WAKOYO – it’s the football season here :-) guess Pele left us on a high- Meet Amanda Dlamini- Captain of South African National Women’s team also known Bayana Bayana- ; Dlamini plays for University of Johannesburg where she is also studying and has been formally approached by representatives of English Premiership side Liverpool to join their club. Off the pitch Amanda is a pretty young lady with so much promise- we love her tomboyish –girly persona—This one is definitely on our watch list of young and promising Africans!- (we really do love a GIRL who plays Boy sports- Just had too) Picture credit : www.statigram.com , Like Amanda's Facebook page to get updates and follow her career closely Amanda 'toki' Dlamini Like · Comment 1 1

Ujoio wa filamu ya Eda kuinga sokoni July 29, 2013

MOJA ya fialmu ya Eda inayotazamiwa kufanya poa sokoni  , ujio wa filamu hii umewahusisha wasanii nyota Ussi Haji , Hdaya Njaidi, Sabrina Rupia , Jerry wa Rhimes pamoja Merry Mwita. Ussi Haji ameonekana kucheza kama mume wa Merry, mambaye ameonekana kuwa (busy) kwa shughuli za utafutaji  na kujikuta hatimizi haki ya ndoa  kwa mkewe. Hali hiyo inapelekea kuchelewa kupata ujauzito, wazazi na ndugu wa Ussi wanaanza chokochoko na kumchukua Merry,bila kujua chanzo. Malalamiko  na visa vinapozidi, Merry anaomba pesa  kwa mumewe shilingi milioni tano iliaanze biashara . Anapewa na kumtafuta Jerry na kutaka kumpa pesazote ilimradi  alale naye na ampe ujauzito. Lakini wakati huo huo Jerry ni mchamungu anakataa , kujua nini kilifuata msomaji ujio wa filamu hii ukombioni kuingia sokoni usikose kununua fialmu hii.http://www.pilipilimoviehouse.blogspot.com/

ELE: Best Player of all Time -1000 goals at age 29

Hey friends, hope your Sunday is relaxing? -I had the pleasure of having lunch with friends this weekend – a bunch of real football fanatics- every single time we meet , it’s always Messi this- Rooney that, the subject matter always the sam ... See More                

All Set For International African Festival Tübingen 2013, Germany

Enie-Muyang-Tatah-founder and CEO   Big thanks to all traders, African ambassadors and other dignitaries, international, regional and local media, visiting bands , children and youths and the general public, but most of all a great thanks to the African community in Germany for their wonderful support and motivation. The program is set and ready starting from Thursday 8 th  to Sunday 11 th  of August 2013, featuring Africa´s fresh, talented new comer artist and Bands - the legendary  – NGOMA AFRICA BAND- Tanzania-(Golden Voice of East Africa), SUSUBILIBI – west African band, Osumare band – Nigeria, Richard Amougou – Kamerun, David Presna –Haiti,  Wamali Percussions – Senegal, Mali Guinea and many more Huge market with more 70 traders selling beautiful arts expressions, children and youth program, exotic African culinary and delicacy, church & Gospel and many more Business and social forum featuring guest sp

EXCHANGE OF NOTES: Grant Aid for the Project for Improvement of Tazara Intersection AND Japanese loan to Tenth Poverty Reduction Support Credit

F rom left to right (seated): Hon. Dr. John P. Magufuli, Minister of Works, Hon. Dr. William. A. Mgimwa, Minister for Finance, and H.E. Mr. Masaki Okada, Ambassador of Japan. F rom left to right (seated): Hon. Dr. John P. Magufuli, Minister of Works, Hon. Dr. William. A. Mgimwa, Minister for Finance, and H.E. Mr. Masaki Okada, Ambassador of Japan.

MODEL CASTING

UZINDUZI WA MRADI WA KUPINGA UKATILI WA KIJINSIA NA WATOTO WAZINDULIWA MBEYA

Mgeni rasmi akipokea maandamano.Chanzo http://mbeyayetu.blogspot.com    

TV Commercial for COMFY MATTRESS 2010

TVC produced by Pili Pili Entertainment Company Ltd. (Directed by Mr Sameer Srivastava)www.pilipilimoviehouse.blogspot.com

FILAMU ZA BONGO

PILI PILI Entertainment Company LTD

Our Company is planning to set up a Cinema theater in your area.This Cinema theater will show you all the new and good Bongo Movies which will be first released and showed in our theaters before even the release of DVDs.This theater will also show Hollywood and Bollywood movies. Prior to any development,we decided to know the customers of this community, so that we can serve you more better by sh owing the kind of movies you like and the kind of environment you would like to spend your valuable 3 hours of your evening. Please could you help us by answering the following questions which will enable us to design the cinema to meet your needs and interests? This information is also vital to support funding bids to purchase all the required equipment.http://www.pilipilimoviehouse.blogspot.com/

Ujoio wa filamu ya Eda kuinga sokoni July 29, 2013

MOJA ya fialmu ya Eda inayotazamiwa kufanya poa sokoni  , ujio wa filamu hii umewahusisha wasanii nyota Ussi Haji , Hdaya Njaidi, Sabrina Rupia , Jerry wa Rhimes pamoja Merry Mwita. Ussi Haji ameonekana kucheza kama mume wa Merry, mambaye ameonekana kuwa (busy) kwa shughuli za utafutaji  na kujikuta hatimizi haki ya ndoa  kwa mkewe. Hali hiyo inapelekea kuchelewa kupata ujauzito, wazazi na ndugu wa Ussi wanaanza chokochoko na kumchukua Merry,bila kujua chanzo. Malalamiko  na visa vinapozidi, Merry anaomba pesa  kwa mumewe shilingi milioni tano iliaanze biashara . Anapewa na kumtafuta Jerry na kutaka kumpa pesazote ilimradi  alale naye na ampe ujauzito. Lakini wakati huo huo Jerry ni mchamungu anakataa , kujua nini kilifuata msomaji ujio wa filamu hii ukombioni kuingia sokoni usikose kununua fialmu hii.http://www.pilipilimoviehouse.blogspot.com/