Skip to main content

Wachezaji wapigwa kifungo cha maisha kwa kupanga matokeo


Wachezaji na viongozi wa klabu zilizohusika kupanga matokeo nchini Nigeria kwenye mechi zilizzomalizika kwa ushindi wa 79-0 na 67-0 wamepigwa kifungo cha maisha kujihusisha na mchezo wa soka.

Plateau United Feeders walipata ushindi wa mabao 79-0 dhidi ya Akurba FC wakati Police Machine FC waliichapa Bubayaro FC 67-0.

Vilabu hivyo vinne pia vimefungiwa kujihusisha na mchezo wa soka kwa miaka 10.

Kamati ya shirikisho la soka la Nigeria NFF imependekeza waamuzi wa michezo hiyo miwili nao kupigwa adhabu ya kufungiwa maisha.

Plateau United Feeders na Police Machine waliingia kwenye michezo hiyo wakiwa wanalingana pointi na kilichokuwa kikitazamwa ni tofauti ya mabao ili kuweza kupanda daraja.

Feeders mabao yao 72 waliyafunga kipindi cha pili wakati Police Machine mabao yao 61 waliyafunga kipindi cha pili.

Baadhi ya vipigo vikubwa kwenye soka:

1885: Arbroath 36-0 Bon Accord (Scotland)
1995: Man Utd 9-0 Ipswich Town (Premier League record)
2001: Australia 31-0 American Samoa (World Cup qualifier)
2002: AS Adema 149-0 Stade Olympique L'Emyrne (Madagascar).Inatoka kwa mdau.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.