Skip to main content

Wachezaji wapigwa kifungo cha maisha kwa kupanga matokeo


Wachezaji na viongozi wa klabu zilizohusika kupanga matokeo nchini Nigeria kwenye mechi zilizzomalizika kwa ushindi wa 79-0 na 67-0 wamepigwa kifungo cha maisha kujihusisha na mchezo wa soka.

Plateau United Feeders walipata ushindi wa mabao 79-0 dhidi ya Akurba FC wakati Police Machine FC waliichapa Bubayaro FC 67-0.

Vilabu hivyo vinne pia vimefungiwa kujihusisha na mchezo wa soka kwa miaka 10.

Kamati ya shirikisho la soka la Nigeria NFF imependekeza waamuzi wa michezo hiyo miwili nao kupigwa adhabu ya kufungiwa maisha.

Plateau United Feeders na Police Machine waliingia kwenye michezo hiyo wakiwa wanalingana pointi na kilichokuwa kikitazamwa ni tofauti ya mabao ili kuweza kupanda daraja.

Feeders mabao yao 72 waliyafunga kipindi cha pili wakati Police Machine mabao yao 61 waliyafunga kipindi cha pili.

Baadhi ya vipigo vikubwa kwenye soka:

1885: Arbroath 36-0 Bon Accord (Scotland)
1995: Man Utd 9-0 Ipswich Town (Premier League record)
2001: Australia 31-0 American Samoa (World Cup qualifier)
2002: AS Adema 149-0 Stade Olympique L'Emyrne (Madagascar).Inatoka kwa mdau.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...