Skip to main content

WACHEZAJI SIMBA WATEMBELEA KABURI LA BABA WA TAIFA




WACHEZAJI wa timu ya soka ya Simba juzi walitembelea kaburi la Baba wa Taifa Hayati Mwalimu Nyerere lililopo nyumbani kwake kijiji cha Mwitongo kilichopo Butiama mkoani Mara.

Ofisa Habari wa Simba, Ezekiel Kamwaga aliwaambia waandishi wa habari mjini Dar es Salaam jana kuwa, mbali na kutembelea kaburi hilo, wachezaji wa timu hiyo pia walipata nafasi ya kuzungumza na familia ya Nyerere.

Kamwaga alisema ziara hiyo nyumbani kwa Baba wa Taifa, ilikuwa ni sehemu ya ziara ya Simba katika mkoa wa Mara, ambako inatarajiwa kucheza mechi kadhaa za kirafiki dhidi ya timu za mkoa huo.

Kwa mujibu wa Kamwaga, Simba ilitarajiwa kucheza mechi yake ya kwanza jana dhidi ya Kombaini ya mkoa wa Mara kabla ya kuvaana na timu ya Polisi, ambayo ni mabingwa wa mkoa huo.

Ofisa huyo wa Simba alisema kikosi cha timu hiyo kinatarajiwa kurejea Dar es Salaam kesho kwa ajili ya pambano lao la kimataifa la kirafiki dhidi ya URA ya Uganda litakalofanyika keshokutwa kwenye Uwanja wa Taifa.

Katika hatua nyingine, Kamwaga amesema maandalizi ya mkutano mkuu wa wanachama wa klabu hiyo uliopangwa kufanyika keshokutwa yanaendelea vizuri.

Kamwaga alisema jana kuwa, mkutano huo utafanyika kwenye bwalo la maofisa wa Polisi, Oysterbay, Dar es Salaam na amewataka wanachama wa Simba kujitokeza kwa wingi kuhudhuria.

Alisema wanachama watakaoruhusiwa kuhudhuria mkutano huo ni wale waliolipia kadi zao na kuonya kuwa, wanachama watakaothubutu kufanya fujo, watachukuliwa hatua za kisheria.Inatoka kwa mdau.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.