Skip to main content

Posts

Showing posts from October, 2013

Vurugu Chadema: Mwigamba apinga kusimamishwa,Mnyika apigilia msumari hukumu hiyo

Arusha. Mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Arusha, Samson Mwigamba, amepinga uamuzi wa kusimamishwa kwa maelezo kuwa kikao kilichochukua uamuzi huo hakitambuliki kikatiba huku akikanusha tuhuma za kutumiwa na Naibu Katibu Mkuu, Zitto Kabwe, kukisambaratisha chama hicho. Hizi tuhuma kuwa natumiwa na Zitto nimekuwa nikizisikia, lakini huo ni upofu, mimi si mtu wa kutumika nina elimu yangu nzuri ya shahada ya kwanza ya utawala wa biashara, najua ninachokifanya ni kwa masilahi ya chama. Samson Mwigamba Akizungumza jana na gazeti hili, Mwigamba alisema kikao ambacho kina mamlaka ya kumwajibisha ni Kamati Kuu baada ya kupokea tuhuma na kumsikiliza. “Baraza la uongozi la Kanda halina mamlaka ya kunisimamisha uenyekiti, lakini kwa kuwa mimi bado ni mwanachama hai wa Chadema na sitahama Chadema, nitakaa pembeni ili chama kifanye uchunguzi wa tuhuma zangu nikiwa nje ya ofisi,” alisema Mwigamba. Hata hivyo, alisema anakusudia kufafanua chanzo cha mgogoro wake na b

Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kujadili mapigamo Mashariki mwa DRC

Na Victor Melkizedeck Abuso Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa linakutana siku ya Jumatatu kuzungumzia mapigano mapya yanayoendelea Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kati ya waasi wa M 23 na majeshi ya serikali yakisaidiwa na yale ya Umoja wa Mataifa. Kuendelea kwa mapigano hayo kumeisukuma Ufaransa kuitisha kikao hicho cha dharura huku Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki Moon akishtumu mapambano yanayoendelea. Kikao hicho kitafanyika huku jeshi la serikali likifanikiwa kuchukua uthibiti wa ngome za M 23 katika miji ya Rutshuru na Kiwanja. Mapambano hayo yalianza wiki iliyopita baada ya mazungumzo ya amani kati ya waasi hao na serikali ya DRC kukwama jijini Kampala Uganda, na yamesababisha maelfu ya waakazi wa Mashariki kukimbia makwao na kusababisha kuuawa kwa mwanajeshi mmoja wa Umoja wa Mataifa kutoka nchini Tanzania. Kiongozi wa jeshi la kulinda amani la Umoja wa Mataifa MONUSCO Martin Kobler amesema kuwa mwanajeshi huyo

KING CLASS MAWE ALIVYO AMTWANGA HASSANI BANDANI KWA POINT

Bondia Ibrahimu Class 'King Class Mawe' kulia akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Hassani Bandani wakati wa mpambano wao usio na ubingwa uliofanyika katika ukumbi wa Panandi Panandi Ilala Dar es salaam King Class Mawe alishina kwa pointi mpambano uho uliofanyika siku ya jumamosi Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com Bonia Ibrahimu Class 'King Class Mawe' kulia akimshambulia kwa makonde Hassani Bandani wakati wa mchezo wao usio na ubingwa uliofanyika katika ukumbi wa panandi panandi King Class Mawe alibuka na ushindi wa point mpambano uho uliofanyika siku ya jumamosi Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com Ibrahimu Class akioneshwa mshindi baada ya mpambano kumalizika mpambano uho uliofanyika siku ya jumamosi Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com KING CLASS MAWE AKIWA NA MMOJA YA MASHABIKI WAKE BAADA YA KUSHUKA ULINGONI KING CLASS MAWE KWENYE POZI Bondia Chalo Issa kulia akipambana na Amour Mzungu wakati wa mpa

MREMBO Idolly Louise SALDIVAR MISS BELIZA 2013 ALIIWAKILISHA VEMA NCHI YAKE KATIKA MASHINDANO YA DUNIA

  Idolly comes from Belize City in the heart of Belize. A “determined, hardworking individual... who strives for success” Idolly is a promotions team member with aspirations of a career in dentistry. She plans on moving to Costa Rica to achieve her goals. Her hobbies include reading, dancing, hiking, and softball and she likes to play the guitar. Idolly enjoys her native cuisine, she likes to read romance novels, and her preferred music is dancehall and salsa.  In Her Own Words...                         "As a youth ambassador, I am involved in making sure that young adults are educated about the effects, cause and preventions of HIV/AIDS in Belize. It is also my duty to work along with young women to uplift and empower them. As a beauty ambassador I feel it is my duty to get involved in my society and contribute to the betterment of my country Belize. The personal motto is "Perseverance + determination = Success". I am 22yr old Idolly Sal

...Beyoncé Bungee Jumps Off Auckland Sky Tower [Video]...

Earlier this month, a brave Beyoncé bungee jumped off Auckland Sky Tower, the tallest man-made structure in New Zealand . Now she has posted video from her daring leap. With adrenaline rushing through her body, the superstar singer puts on her blue-and-yellow jumpsuit and climbs to the top of the tower . She shows no signs of fear as she looks over the ledge, screaming as she plunges 192 meters (630 feet) with only a cable supporting her. “This is awesome!” said Bey, who was still reveling in the moment . “This is so fun.” Watch her make the big jump. CLIP

NEYMAR NDIYO MBAYA WAO

Neymar akishangilia na wenzake.   Mbrazil wa Barcelona, Neymar amekuwa mwimba katika mechi ya wapinzani wa jadi wa Hispania, 'El Clasico' baada ya kuifungia bao katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Real Madrid leo.

Ka - Kobe

JK: Wakulima ruksa kuuza mahindi nje

Rais Jakaya Kikwete, amemwagiza Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Aseri Msangi na watendaji wake, kuangalia namna ya kuruhusu sekta binafsi kununua tani 2,672,902 za mahindi kutoka kwa wakulima Ludewa. Pia ametaka wakulima hao waruhusiwe kuuza mahindi yao nje ya nchi. Rais Kikwete alitoa agizo hilo jana alipokuwa akizungumza na watendaji wa Mkoa wa Njombe, katika majumuisho ya ziara yake katika mkoa huo mpya. "Kuwazuia wakulima kuuza mahindi yao nje ya nchi ni kuwatajirisha wanaokaa kwenye vizuizi na kufanya ulanguzi.

..New Video: Azealia Banks f/ Pharrell – ‘ATM Jam’... Azealia Banks Azealia Banks brings her fantasy to life in the trippy video for “ATM Jam.” Following the dark visuals for “Yung Rapunxel,” the Harlem rap diva throws a psychedelic pool party against the lush backdrop of the Hollywood Hills, which have been turned pink and purple. The 22-year-old channels Sailor Moon (or “Sailor Goon” as she calls her), shows off her bikini body poolside, and sips tea with her girlfriends in the Rony Alwin-directed clip. The Pharrell-assisted single appears on her upcoming debut Broke With Expensive Taste, due next year. Step into Azealia’s whimsical world below. VIDEO

Azealia Banks brings her fantasy to life in the trippy video for “ATM Jam.” Following the dark visuals for “Yung Rapunxel,” the Harlem rap diva throws a psychedelic pool party against the lush backdrop of the Hollywood Hills, which have been turned pink and purple. The 22-year-old channels Sailor Moon (or “Sailor Goon” as she calls her), shows off her bikini body poolside, and sips tea with her girlfriends in the Rony Alwin-directed clip.   The Pharrell-assisted single appears on her upcoming debut Broke With Expensive Taste , due next year. Step into Azealia’s whimsical world below. VIDEO

Vatican yamsimamisha askofu Mjerumani kwa kupenda raha

Kumekuwa na kelele za waumini nchini Ujerumani wakishinikiza askofu huyo afukuzwe kwa kukiuka taratibu. Vatican City. Makao Makuu ya Kanisa Katoliki Duniani (Vatican) yamemsimamisha kazi Askofu wa Jimbo la Limburg, Ujerumani Franz-Peter Tebartz-van Elst anayekabiliwa na kashfa ya matumizi mabaya ya fedha kwa shughuli za kifahari. Vatican ilieleza jana kuwa uamuzi huo umechukuliwa baada ya kuridhika kuwa Askofu van Elst amekiuka maadili yaliyowekwa na Papa Fr

...Kanye West and Kim Kardashian Are Engaged...

Kanye West and Kim Kardashian are headed down the aisle. The hip-hop superstar popped the question to his girlfriend in San Francisco on Monday night. E! Online reports that Kanye, 36, rented out AT&T Park and proposed in front of the couple’s friends and family in an over-the-top ceremony on Kim’s 33rd birthday. Kanye got down on one knee and presented Kim with a 15-carat diamond ring by jeweler Lorraine Schwartz, while a 50-piece orchestra played Lana Del Rey’s “Young and Beautiful” and Keri Hilson, Ne-Yo, and Kanye’s “Knock You Down.” A jumbo screen on the field flashed “PLEEEASE MARRY MEEE!!!” while fireworks lit up the night sky. The stadium, home to the San Francisco Giants, was completely empty except for their closest family and friends, who poured out of the dugout and surprised Kim after she said yes. Earlier in the evening, Kanye presented an award to Steve McQueen at the 17th Annual Hollywood Film Awards in L.A. befor

Kenya yasubiri jibu la Umoja wa Mataifa

Kenya imewasilisha rasmi barua kwa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuahirisha kesi zinazoendelea katika mahakama ya ICC dhidi ya rais Uhuru Kenyatta na naibu rais William Ruto. Pia, nchi 49 za Umoja wa Afrika zimetia saini barua iliyowasilishwa Jumanne kwa baraza hilo ikiunga mkono kuahirishwa kwa kesi hizo dhidi ya viongozi wa Kenya. Soma zaidi...

...Rihanna Booted From Mosque For Taking Inappropriate Photos...

Rihanna ran into a bit of trouble while visiting the  Sheikh Zayed Grand Mosque Center  in Abu Dhabi. The singer has been documenting her Diamonds World Tour by taking photos in a number of cities along the way and posting them on her Instagram .  However, some locals were not happy with the pictures taken at their Islamic place of worship.  "She was asked to leave before entering the actual mosque, (she was in the courtyard taking pictures) after taking some photos that did not fit within the rules and regulations set out to preserve the sacredness of the center," the mosque said in a statement . The pics drew mixed reactions among Twitter users.      Take a look at the photos and let us know if you think Rihanna was out of line or being respectful in your opinion.   CLIP 1 CLIP 2  

..Katharine McPhee KISSING 'SMASH' DIRECTOR Both Married to Other People...

Katharine McPhee is dating her former " Smash " director Michael Morris , .. and they're even making out in public -- problem is, THEY'RE BOTH MARRIED TO OTHER PEOPLE.  Morris is married to actress Mary McCormack (who played Howard Stern's wife in "Private Parts") ... and they have 3 young daughters together, ages 2, 6 and 9. 29-year-old Katharine is married to 47-year-old producer Nick Cokas -- they have no children. Sources close to Katharine and Nick tell us... the two have been separated for 6 months and are living apart. They were married in 2008. 

Katiba kicheko vyama vyote

Dar es Salaam. Serikali inatarajia kuandaa hati ya dharura ili kuwezesha kufanyika kwa maboresho ya Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Mabadiliko ya Katiba ambayo yatajadiliwa upya katika Mkutano wa Bunge unaoanza Oktoba 29 mjini Dodoma. Viongozi wa vyama vya siasa,(kushoto)Isaack Cheyo(UDP), Nancy Mrikaria(TLP), Fahmi Nassoro Dovutwa (UPDP), James Mbatia NCCR-Mageuzi, Profesa Ibrahim Lipumba(CUF), Philip Mangula(CCM) na Dk Willibrod Slaa(Chadema)wakiwa wameshikana mikono baada ya kikao cha pamoja jijini Dar es Salaam jana.Picha na Fidelis Felix Tayari vyama vya upinzani na chama tawala vimekubaliana taratibu muhimu za kufuata ili maboresho hayo yaweze kupita ndani ya Bunge. Muswada huo haukuwa umepangwa kujadiliwa katika mkutano ujao wa Bunge ndio maana itabidi iombwe hati hiyo ya dharura.  Hatua hiyo ni ushindi kwa vyama vitatu vya upinzani vya Chadema, CUF na NCCR- Mageuzi, ambavyo vilipinga muswada huo wakati wa mkutano uliopita wa Bunge Septemba, mwaka huu

Ripoti ya upelelezi ya Kenya yaonyesha usumbuaji wa uwepo wa al-Shabaab huko Garissa

Ukweli kuhusu kiasi cha uwepo wa al-Shabaab na ushawishi katika kaunti ya Garissa kaskazini mashariki mwa Kenya, ambayo ilionyeshwa katika ripoti iliyovuja ya Shirika la Upelelezi la Taifa (NIS), imewaacha viongozi na wakaazi wa kaunti katika matatizo. Mwanamke aliyekaa kando ya mtoto aliyejeruhiwa kwenye Hospitali Kuu ya Jimbo la Garissa tarehe 4 Novemba, 2012 baada ya shambulio la guruneti katika kanisa ambalo lilisababisha kifo cha askari polisi mmoja na watu wengine 14 kujeruhiwa. [Stringer/AFP] "Idadi kubwa ya mashambulio ya kigaidi ambayo Garissa imekumbana nayo ikilinganishwa na kaunti nyingine katika nchi ni uthibitisho kwamba al-Shabaab ni miongoni mwao," Seneta wa Garissa Yusuf Haji aliiambia Sabahi. "Wakati wa hatua za awali na kwenye kilele cha shambulio, Garissa ilichukuliwa kama makao makuu ya kikundi hiki," alisema, akiongezea kwamba al-Shabaab walihamisha operesheni zao kwenda Kenya baada ya Somalia na vikosi shirika kudhibiti kiku

...Ciara Rocks Paper Magazine’s Nightlife Awards...

Ciara was the life of the party at the 9th Annual Paper Nightlife Awards at Marquee in New York City on Thursday. The “Overdose” singer, who graces the magazine’s September cover, performed her hits including “1, 2 Step” and “Body Party,” while comedienne Chelsea Handler hosted. The fashionista hit the stage in Gareth Pugh pants and Tom Ford heels with a plaid shirt tied around her waist. “2night Was Amazing! Thank You NY! Thank You @papermagazine, You Guys Rock! #Love To The Host and Rock Star @chelseahandler. #FunPerfectNight,” tweeted CiCi. See more pics from the fun night below.

'Most parents want their children to go to school to get them out of the house!' Prince Philip reduces Malala (the girl Taliban shot for getting an education) to giggles

By JAMES RUSH The schoolgirl who survived an assassination attempt by the Taliban because of her campaign for education got the giggles after Prince Philip made a joke during a visit to Buckingham Palace today. Malala Yousafzai, 16, covered her face with her hand as she laughed following the Duke's quip that in Britain, people want children to go to school to get them out of the house. She also presented the Queen with her book as she visited Buckingham Palace as one of the guests at a reception for commonwealth, youth and education, hosted by the Queen and the Duke of Edinburgh. Giggles: Malala laughs at a quip made by the Duke that people in Britain want children to go to school to get them out of the house Present: Malala Yousafza presents a copy of her book to the Queen during a reception at Buckingham Palace 'Honour': Malala told the Queen, 'It is a great honour for me to be here' during the reception at Buckingham Pa

...Meagan Good Speaks On Why She Won't Do Certain Nude Scenes. Her First Role In 'Friday,' Learning From Chris Tucker, Belief In God & More...

Meagan Good recently sat down with Vlad TV to discuss her career.  The beautiful actress talks about getting her first movie rol e in Friday at age 13, learning from Chris Tucker . how her belief in God helps her to pick roles, movies she's turned down, being very selective when it comes to doing nudity in a film, mistaking Bushwick Bill for a kid and more. EXCLUSIVE ENTERVIEW

Watumshi wa Mahakama nchini waaswa kufuata sheria na maadili ya utumishi wa umma

Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Angellah Kairuki akisisitiza umuhimu wa kutoa adhabu mbadala kwa watuhumiwa baada ya hukumu zao kukamilika alipokuwa anaongea na watumishi wa Mahakama ya Mwanzo ya Kerege (hawapo pichani) iliyopo Wilayani Bagamoyo mkoa wa Pwani kwenye ziara yake ya siku moja wilayani humo. Wa kwanza kushoto ni Hakimu Mkazi Mfawidhi Mkoa wa PwaniBahati Ndeserua, wa kwanza kushoto ni Msajili Mahakama kuu, kanda ya Dar es salaam Projestus Mhagama. Hakimu Mfawidhi Mahakama ya Wilaya ya Bagamoyo Liadi Mohamed Chamshama akimwonesha Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Angellah Kairuki (mwenye gauni kitenge) na ujumbe wake eneo la mahakama ya Mwanzo ya Kiwangwa alipokuwa kwenye ziara ya kikazi ya siku moja wilayani mkoa wa Pwani. (Picha zote na Eleuteri Mangi- Maelezo) Soma zaidi...

Ziara ya rais Kikwete Makete mkoa wa Njombe

Rais Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete wakiongea na Bi Sarah Mageni Sanga, mlemavu ambaye Rais alimpa pikipiki ya Bajaji pamoja na mtaji wa pesa taslimu wa shilingi milioni mbili October 28, 2009 baada ya kuguswa na mkasa wa maisha ya mkaazi huyo wa kijiji cha Lupalilo wilaya ya Makete mkoa wa Njombe alipomuona akohojiwa katika TV na kueleza kuwa maisha yake ni magumu mno baada ya ndugu na jamaa zake wote kuteketea kwa maradhi ikiwa ni pamoja na UKIMWI. Pichani Bi Sanga akimshukur Rais kwa msaada huo ambao amesema umebadili kabisa maisha yake kwani sasa anaishi kama mtu yeyote kijijini hapo Rais Jakaya Mrisho Kikwete akishuhudia ubora wa shati lililotengenezwa na wanafunzio wa Chuo cha Ufundi Stadi cha VETA cha Wilaya ya Makete baada ya kukifungua rasmi chuo hicho mwishoni mwa juma. Soma zaidi...

BIRTHDAY YA KEYSHIA COLE!

  Keyshia Cole’s celebrating her birthday! Last night, she was spotted all dolled up and pretty in peach as she celebrated turning another year older at the Supperclub in Hollywood. Despite their current marriage woes, her hubby Booby Gibson showed up to help her celebrate her special night, however, both ditched their wedding rings. Although Keyshia seemed to be clearly over it after she recently covered up the D. Gibson tattoo on her collar bone, Daniel is doing a good job of holding on to what’s left of the relationship. According to a source, she put her issues aside and had an amazing time last night while treating her guests to performances of “I Changed My Mind,” “Love,” and “Last Night.” Other familiar names spotted included Christina Milian’s fiancé Jas Prince, songwriter Eric Bellinger, and Eva Marcille’s man, Kevin McCall. Kevin McCall   Booby Gibson and Jas Prince