MUASISI wa filamu msanii Mahiri katika filamu za mapigano Tanzania
Jimmy Mponda ‘Jimmy Master’ anasema kuwa moja ya sifa au ubora wa kazi
zake kudumu kwa muda mrefu ni kutokana na umakini, ubora na matumizi ya
gharama katika uaandaaji wa filamu zake hatumii muda mfupi kutayarisha
filamu.
(more…)
(more…)
Comments