Skip to main content

NATUMIA GHARAMA KUBWA KUANDAA FILAMU ZANGU-JIMMY MASTER

Jimmy Mponda

MUASISI wa filamu msanii Mahiri katika filamu za mapigano Tanzania Jimmy Mponda ‘Jimmy Master’ anasema kuwa moja ya sifa au ubora wa kazi zake kudumu kwa muda mrefu ni kutokana na umakini, ubora na matumizi ya gharama katika uaandaaji wa filamu zake hatumii muda mfupi kutayarisha filamu.
(more…)

Comments