Skip to main content

JANET JACKSON KUASILI MTOTO




LOS ANGELES, Marekani

MIEZI michache baada ya kufunga ndoa kwa siri na bilionea wa Qatar, mwanamuziki nyota wa Marekani, Janet Jackson amepanga kuasili mtoto ili kuongeza familia yake.

Janet, ambaye ni dada wa mwanamuziki nyota wa zamani wa miondoko ya pop duniani, Michael Jackson, anataka kuasili mtoto huyo aidha Jordan au Syria.

Chanzo cha habari kimelieleza gazeti la US Weekly la Marekani juzi kuwa, Janet (47) ameshaanza kufanya taratibu za kuasili mtoto kutoka nchi za dunia ya tatu.

Janet alifunga ndoa na mfanyabiashara huyo, Wissam Al Mana hivi karibuni, lakini ndoa hiyo ilifanywa kuwa siri kubwa.

Kwa mujibu wa chanzo hicho cha habari, Janet anataka kuasili mtoto kwa vile si rahisi kwake kupata uja uzito kwa sasa.

"Ndio sababu ameamua kuasili mtoto. Katika kipindi hiki, ambacho anaishi nje ya Marekani, amekuwa akiguswa sana na matukio yanayotokea katika nchi za Syria na Jordan,"kimesema chanzo hicho cha habari.

Kiliongeza kuwa, bado haijajulikana ni lini mwanamuziki huyo atakamilisha taratibu hizo, lakini tayari ameshaanza kuzifanya.

Kwa mujibu wa gazeti hilo la US Weekly, Janet ameomba msaada wa Malkia Rania wa Jordan ili aweze kukamilisha mpango wake huo.

Gazeti hilo limeongeza kuwa, Janet ana hamu ya kuanzisha familia na Al Mana, ambaye walianzisha uhusiano wa kimapenzi tangu 2010.

"Anataka watoto. Kama hawezi kuwapata, ataasili,"kimesema chanzo hicho cha habari.

Al Mana ni mume wa tatu wa Janet. Awali, aliolewa na James DeBarge na Rene Elizondo. Pia alikuwa na uhusiano wa muda mrefu na Jermaine Dupri.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.