Skip to main content

JANET JACKSON KUASILI MTOTO




LOS ANGELES, Marekani

MIEZI michache baada ya kufunga ndoa kwa siri na bilionea wa Qatar, mwanamuziki nyota wa Marekani, Janet Jackson amepanga kuasili mtoto ili kuongeza familia yake.

Janet, ambaye ni dada wa mwanamuziki nyota wa zamani wa miondoko ya pop duniani, Michael Jackson, anataka kuasili mtoto huyo aidha Jordan au Syria.

Chanzo cha habari kimelieleza gazeti la US Weekly la Marekani juzi kuwa, Janet (47) ameshaanza kufanya taratibu za kuasili mtoto kutoka nchi za dunia ya tatu.

Janet alifunga ndoa na mfanyabiashara huyo, Wissam Al Mana hivi karibuni, lakini ndoa hiyo ilifanywa kuwa siri kubwa.

Kwa mujibu wa chanzo hicho cha habari, Janet anataka kuasili mtoto kwa vile si rahisi kwake kupata uja uzito kwa sasa.

"Ndio sababu ameamua kuasili mtoto. Katika kipindi hiki, ambacho anaishi nje ya Marekani, amekuwa akiguswa sana na matukio yanayotokea katika nchi za Syria na Jordan,"kimesema chanzo hicho cha habari.

Kiliongeza kuwa, bado haijajulikana ni lini mwanamuziki huyo atakamilisha taratibu hizo, lakini tayari ameshaanza kuzifanya.

Kwa mujibu wa gazeti hilo la US Weekly, Janet ameomba msaada wa Malkia Rania wa Jordan ili aweze kukamilisha mpango wake huo.

Gazeti hilo limeongeza kuwa, Janet ana hamu ya kuanzisha familia na Al Mana, ambaye walianzisha uhusiano wa kimapenzi tangu 2010.

"Anataka watoto. Kama hawezi kuwapata, ataasili,"kimesema chanzo hicho cha habari.

Al Mana ni mume wa tatu wa Janet. Awali, aliolewa na James DeBarge na Rene Elizondo. Pia alikuwa na uhusiano wa muda mrefu na Jermaine Dupri.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...