Skip to main content

Mwigulu awasihi waTanzania wa Uingereza kutumia upeo waliyonayo kulisaidia taifa zaidi kimaendeleo kuliko kuwa na ushabiki wa siasa


Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Taifa na Mbunge wa Iramba Magharibi Mh. Mwigulu Lameck Nchemba akisisitiza Jambo katika hotuba yake aliyoitoa hapa nchini Uingereza iliyojaa mapenzi na Tanzania zaidi ya Itikadi na kupokelewa vyema na watanzania wengi hapa UK.
Mabadiliko hayatakuja kwa kubadilisha vyama bali ni nia zenu {Mindset) zikifanywa kuwa mpya na mapenzi ya nchi yenu.”
Katika hali iliyotajwa kuwa ni ya furaha, kutokana na changamoto zilizokuwepo siku ya jumamosi jijini Leicester Uingereza, kijana shupavu na “JEMBE” la kujivunia katika Taifa la Tanzania Naibu Katibu Mkuu wa CCM Taifa, na Mbunge wa Ilamba Magharibi Mheshimiwa Mwigulu Lameck Nchemba akiambatana na mshauri wa Rais mheshimiwa Rajabu Luhwavi, kwa pamoja waliweza kutoa majibu ya changamoto nyingi zinazolikabili Taifa kwa watanzania wengi waliojitokeza katika mkutano mkubwa uliohudhuriwa na watanzania wengi kutoka maeneo mbali mbali ya Uingereza.
Ujasiri, uwazi na ukweli wa mambo ya kiutendaji katika taifa letu ndio hasa imekuwa ni chachu na kivutio kikubwa kwa watanzania wengi waliohudhuria mkutano huo mkubwa jiji Leicester ambapo Mh. Mwigulu Nchemba aliweza kuweka wazi mengi ambayo serikali imeweza kuyafanya katika upande wa Elimu, Miundo mbinu na huduma za afya kwa watanzania pia kutoa kasoro katika maeneo yanayokuwa vikwazo katika kutoa huduma bora.
“Nchi yetu ipo katika mchakato wa kupata katiba mpya, mojawapo ya mambo ambayo tunayafanyia kazi ni suala la uraia pacha. Ni pendekezo lililowakirishwa na Chama Cha Mapinduzi katika baraza zake za uchangiaji maoni ya Katiba mpya. CCM inawajali watanzania wote hivyo ikaona ni vyema na nyinyi mlioko ughaibuni kupata fursa sawa za kimaendeleo katika nchi yenu” alisema Mhe. Mwigulu Nchemba.
Untitled 8
Mheshimiwa Nchemba aliendelea na kusema kwamba nchi yetu inapita katika kipindi cha mabadiliko. Idadi ya watanzania imeongezeka kwa kiasi kikubwa na wengi wa ongezeko hili ni vijana ambao ni watafutaji na wajasiliamali wengi. Kuna haja kubwa kama chama kubuni taratibu nzuri za kimaendeleo ili kuendana na wimbi hili la ongezeko la watu.
Mheshimiwa Nchemba kwa niaba ya Chama Cha Mapinduzi aliwasihi watanzania waishio Uingereza kutumia upeo (Exposure) waliyonayo katika kulisaidia taifa kupiga hatua zaidi za kimaendeleo kuliko kuwa na ushabiki wa siasa kama ilivyo kwa baadhi ya wanasiasa nyumbani na badala yake wawe chemichemi ya mawazo ya kimaendeleo katika nchi yao.


Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...