Skip to main content

Mwigulu awasihi waTanzania wa Uingereza kutumia upeo waliyonayo kulisaidia taifa zaidi kimaendeleo kuliko kuwa na ushabiki wa siasa


Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Taifa na Mbunge wa Iramba Magharibi Mh. Mwigulu Lameck Nchemba akisisitiza Jambo katika hotuba yake aliyoitoa hapa nchini Uingereza iliyojaa mapenzi na Tanzania zaidi ya Itikadi na kupokelewa vyema na watanzania wengi hapa UK.
Mabadiliko hayatakuja kwa kubadilisha vyama bali ni nia zenu {Mindset) zikifanywa kuwa mpya na mapenzi ya nchi yenu.”
Katika hali iliyotajwa kuwa ni ya furaha, kutokana na changamoto zilizokuwepo siku ya jumamosi jijini Leicester Uingereza, kijana shupavu na “JEMBE” la kujivunia katika Taifa la Tanzania Naibu Katibu Mkuu wa CCM Taifa, na Mbunge wa Ilamba Magharibi Mheshimiwa Mwigulu Lameck Nchemba akiambatana na mshauri wa Rais mheshimiwa Rajabu Luhwavi, kwa pamoja waliweza kutoa majibu ya changamoto nyingi zinazolikabili Taifa kwa watanzania wengi waliojitokeza katika mkutano mkubwa uliohudhuriwa na watanzania wengi kutoka maeneo mbali mbali ya Uingereza.
Ujasiri, uwazi na ukweli wa mambo ya kiutendaji katika taifa letu ndio hasa imekuwa ni chachu na kivutio kikubwa kwa watanzania wengi waliohudhuria mkutano huo mkubwa jiji Leicester ambapo Mh. Mwigulu Nchemba aliweza kuweka wazi mengi ambayo serikali imeweza kuyafanya katika upande wa Elimu, Miundo mbinu na huduma za afya kwa watanzania pia kutoa kasoro katika maeneo yanayokuwa vikwazo katika kutoa huduma bora.
“Nchi yetu ipo katika mchakato wa kupata katiba mpya, mojawapo ya mambo ambayo tunayafanyia kazi ni suala la uraia pacha. Ni pendekezo lililowakirishwa na Chama Cha Mapinduzi katika baraza zake za uchangiaji maoni ya Katiba mpya. CCM inawajali watanzania wote hivyo ikaona ni vyema na nyinyi mlioko ughaibuni kupata fursa sawa za kimaendeleo katika nchi yenu” alisema Mhe. Mwigulu Nchemba.
Untitled 8
Mheshimiwa Nchemba aliendelea na kusema kwamba nchi yetu inapita katika kipindi cha mabadiliko. Idadi ya watanzania imeongezeka kwa kiasi kikubwa na wengi wa ongezeko hili ni vijana ambao ni watafutaji na wajasiliamali wengi. Kuna haja kubwa kama chama kubuni taratibu nzuri za kimaendeleo ili kuendana na wimbi hili la ongezeko la watu.
Mheshimiwa Nchemba kwa niaba ya Chama Cha Mapinduzi aliwasihi watanzania waishio Uingereza kutumia upeo (Exposure) waliyonayo katika kulisaidia taifa kupiga hatua zaidi za kimaendeleo kuliko kuwa na ushabiki wa siasa kama ilivyo kwa baadhi ya wanasiasa nyumbani na badala yake wawe chemichemi ya mawazo ya kimaendeleo katika nchi yao.


Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.