Skip to main content

Posts

Showing posts from August, 2013

Karibu mdau wa Sinema katika anga za Blog

Naombeni wadau wa blog mnipokee nijikite nanyi mie Jimmy Master nikiwa kama mdau mkubwa katika tasnia ya Sinema nchini  kwa maelezo naomba nitembeleeni wadau katika  mtandao wangu  www.mzimuni.blogspot.com.

ETO'O HUYOOO CHELSEA

LONDON, England KOCHA Mkuu wa Chelsea, Jose Mourinho ameamua kuongeza kasi ya kumsajili mshambuliaji, Samuel Eto'o kutoka klabu ya Anzhi Makhachkala ya Russia. Mourinho ameamua kumuongezea kasi baada ya mipango yake ya kumnasa mshambuliaji, Wayne Rooney kutoka Manchester United kukwama. Kocha huyo kutoka Ureno amefikia uamuzi huo baada ya saa 48 alizotoa kwa Rooney, akimtaka aamue moja, kumalizika bila mchezaji huyo kutoa tamko lolote. Mourinho alitoa saa 48 kwa Rooney ili aamue iwapo atabaki Manchester United ama atatua Chelsea. Chelsea iliwasilisha ofa mara mbili kwa Manchester United ikitaka kumsajili Rooney, lakini mashetani hao wekundu wamekuwa wakigoma kumuuza mchezaji huyo. Awali, Rooney alionyesha nia ya kutaka kuondoka Manchester United baada ya Kocha David Moyes kusema, chaguo lake la kwanza katika nafasi ya mshambuliaji wa kati ni Van Persie. Mourinho amesema atakamilisha usajili wa mshambuliaji huyo wa Anzhi Makhachkala ndani ya saa 24 zijazo

CHEKA KAUTWAA UBINGWA WA DUNIA

HABARI/PICHA na bongostaz.blogspot.com BONDIA Mtanzania, Francis ‘SMG’ Cheka usiku wa kuamkia leo ametawazwa kuwa bingwa mpya wa dunia wa WBF, katika uzito wa Super Middle baada ya kumshinda Mmarekani, Phil Williams kwa pointi katika pambano la Raundi 12, lililofanyika kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee, Dar es Salaam. Jaji wa kwanza Eddie Marshall kutoka Afrika Kusini alitoa pointi 116 kwa 115, jaji wa pili Fidel Hayness alitoa pointi 119 kwa 118 na jaji wa tatu, John Chagu alitoa pointi 117 kwa 116 (wote wa Tanzania), wakimpa ushindi Cheka. Kwa ushindi huo, Cheka amefuata nyayo za bondia mwingine Mtanzania, Rodgers ‘Tiger’ Mtagwa ambaye aliwapiga Wamarekani kadhaa kwao, ambako anaishi tangu 1998. Bondia Francis Cheka wa Tanzania akimtupia konde Mmarekani, Phil Williams katika pambano la Raundi 12 kuwania ubingwa wa dunia uzito wa Super Middle usiku huu ukumbi wa Diamond Jubilee kuwania taji la WBF. Cheka ameshinda kwa pointi . Thomas Mashali kulia ames

TIMBERLAKE AMTETEA MILEY CYRUS

Justin Timberlake is coming to Miley Cyrus' defense after her MTV Video Music Awards performance that caused some backlash among some fans and critics.  JT gave an interview today to radio station Fresh 102.7  and said everyone should just lighten up.   “Listen, man, you know, it’s the VMAs. What did you guys expect?,” Justin said. “I like Miley. I like her a lot. I think, you know, she’s young. She’s letting everyone know that she’s growing up. I just think it’s the VMAs. It’s not like she did it at the GRAMMYs. Let her do her thing. You know?”

Lukuvi: Wabunge wengi wamo orodha ya dawa za kulevya

:   Dodoma. Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge), William Lukuvi amesema baadhi ya majina ya wabunge yametajwa miongoni mwa watu wanaoshukiwa kujihusisha na biashara ya dawa za kulevya lakini Serikali haiwezi kuwataja hadharani kwa haraka. Majibu hayo ya Waziri Lukuvi yamekuja baada ya wabunge kumbana na wengine wakizomea baada ya kueleza ugumu wa kutaja majina ya washukiwa pasi na ushahidi wa kutosha. “Serikali haiwezi kutaja majina haraka kiasi hicho kwani inaogopa kukurupuka na kushindwa mahakamani, hivyo lazima tuwe makini sana na jambo hilo. Hatuwezi kukurupuka tu eti ni fulani wakati hatuna vithibitisho. “Kumbukeni wengine mpo humu ndani ya Bunge na tukianza wengi mtakwisha maana katika orodha hiyo kubwa na ninyi mmo na orodha ni kubwa kweli ambayo wakati mwingine inatakiwa umakini wa hali ya juu,” alisema Lukuvi alipokuwa akijibu swali la nyongeza la Mbunge wa Karatu (Chadema), Mchungaji Israel Natse. Katika s

For King's Adviser, Fulfilling The Dream 'Cannot Wait'

For the month of August, Morning Edition and The Race Card Project are looking back at a seminal moment in civil rights history: the March on Washington for Jobs and Freedom, where the Rev. Martin Luther King Jr. delivered his iconic "I Have a Dream Speech" Aug. 28, 1963. Approximately 250,000 people descended on the nation's capital from all over the country for the mass demonstration. Through The Race Card Project's six-word stories, we'll meet some of the people who witnessed that history and hear their memories and reflections on race relations in America today. This is the second in a two-part report about Clarence B. Jones and the March on Washington. Aug. 28, 1963, was a tense day for Clarence B. Jones. As the longtime attorney and adviser for the Rev. Martin Luther King Jr., Jones had a long list of worries as people started to fill the streets around the monuments on the National Mall. Were the right permits filed? Would the

BONDIA BOTHA ATUA JIJINI DAR

Bondia wa Dunia wa uzito wa juu  Francois Botha akionyesha jinsi ya kupambana kulia ni Yasini Abdalla Rais wa Shirikisho la ndondi nchini ,kushoto ni mdau wa ndondi , uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius  Nyerere  leo  jijini Dar es salaam.  Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Maendeleo ya  Michezo Bi.Juliana Yassoda akiwa na  Bondia wa Dunia   wa uzito wa juu Francois Botha alipowasili katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere  leo  jijini Dar es salaam kwa ajili ya kuzungumzia masuala ya  mchezo wa ndondi utakaofanyika  30 Agosti mwaka huu katika ukumbi wa Diamond.  Bondia wa Dunia wa uzito wa juu  Francois Botha  akionyesha mmoja ya mkanda alioishinda kwa   muuandaaji wa pambano hilo J Msangi,kushoto ni Rais wa  Shirikisho la Ndondi  Howard Goldberg katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere  leo  jijini Dar es salaam Bondia wa Dunia  Francois Botha akiwa na muuandaaji wa pambano hilo J Msangi,kushoto ni Rais wa 

THE 2013 MTV VIDEO AWARDS RED CARPRT

This year’s MTV Video Music Awards was all about the skin, as some of our favorite chicks walked the red carpet in designer gowns that showed off their bodies. Meanwhile, the fellas kept it more casual than usual  (with the exception of Big Sean) as they graced this year’s red carpet in Timbaland boots, sneakers, shirts that promoted their albums, and Versace, Versace, Versace. Catch the red carpet pics below:  Ciara’s Fall 2010 Givenchy Haute Couture gown was so hot , it received a post of it’s own earlier, especially since it was a creation that was very similar to a dress that Beyonce wore last year .  Ciara may have won the battle of who wore it best since she took the risk of wearing no undergarments, and her body fit the dress perfectly. BTW, did Ciara clean up Future or what? He’s been on his GQ-grown man since they started dating. Iggy Azalea was also feeling fearless as she rocked the carpet in a gold Emilio Pucci gown that barely covered her asse

Joe Mmm !

Fat Joe is headed behind bars today to begin his four-month sentence for tax evasion . But before checking in , the Bronx rapper penned a farewell note to his fans and left them with some new music. The 43-year-old was sentenced in June for failing to pay taxes on $3 million in income between 2007-2010, totaling a tax loss of $718,038. He is scheduled to be released in late December, just in time for New Year’s. “FARE WELL MY PEOPLE IM BOUT TO TAKE THAT RIDE SEE U AT DIDDYS HOUSE FOR NEW YEARS#GODWILLINGINSHALLAH,” tweeted Joe. He also dropped his album The Darkside 3 for free via source. The 10 tracks include the Action Bronson-assisted single “Your Honor,” with production from DJ Premier, 9th Wonder, and Cool & Dre.

Marekani yasema Syria ilitumia silaha za kemikali dhidi ya wapinzani

Na Victor Melkizedeck Abuso Marekani inasema itachukua hatua dhidi ya Syria baada ya kutokea kwa shambulizi la silaha za kemikali wiki iliyopita jijini Damascus na kusababisha vifo vya mamia ya watu. Waziri wa Mambo ya nje wa Marekani John Kerry Waziri wa Mambo ya nje John Kerry amesema kuwa kilichotokea nchini Syria hakikubaliki kamwe na ni lazima serikali ya rais Bashar Al Assad iwajibike kwa mauaji hayo. Marekani na washirika wake kama Ufaransa na Uingereza wanasema wakati umefika kwa Syria kuvamiwa kijeshi pendekezo ambalo washirika wa karibu wa rais Assad China na Urusi wanapinga. Leo ni siku ya pili ya uchunguzi unaofanywa na watalaam wa Umoja wa Mataifa kubaini ikiwa kweli silaha za kemikali zilitumiwa dhidi ya raia wasiokuwa na wakati. Rais Bashar Al Assad amesema kuwa tishio la Marekani kuwa ikiwa uchunguzi utabaini kuwa silaha hizo zilitumiwa, italazimika kuingilia mzozo huo kijeshi ni jambo ambalo halikubaliki kamwe. Akihojiwa

Official: UK military drawing up contingency plans on Syria

The guided-missile destroyer U.S.S. Gravely. (File photo: AFP) Al Arabiya Britain’s armed forces are drawing up contingency plans for military action in response to last week’s alleged chemical weapons attack in Syria, Agence France-Presse (AFP) quoted Prime Minister David Cameron’s spokesperson as saying on Tuesday. Cameron will decide later on Tuesday whether to recall lawmakers from their summer break to debate possible military intervention, Downing Street said. “We are continuing to discuss with our international partners what the right response should be, but, as part of this, we are making contingency plans for the armed forces,” AFP quoted the spokesperson as saying. “This is about deterring the use of chemical weapons.” Meanwhile, Britain will continue talks with other world leaders to agree on a “proportionate response” to the alleged chemical attack in a Damascus suburb, which killed hundreds of civilians. The Guardian newspaper

Balozi Seif Ataja Sababu Mabadiliko ya Serekali

Na Mwantanga Ame, Dar es Salaam MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Ali Iddi, ametaja sababu za msingi zilizoifanya serikali kufanya marekebisho ya baadhi ya wizara na watendaji. Akizungumza na watendaji wa taasisi za serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar zilizopo Dar es Salaam, alisema dhamira ya serikali ni kuona kunakuwa na uwiano katika baadhi ya wizara kiutendaji na kuongeza ufanisi. Kutokanana hali hiyo,aliwataka watumishi kuyapokea mabadiliko hayo kama ni sehemu ya kuleta mafanikio. Alisema natambua kuna changamoto ndani ya taasisi hizo na serikali itajitahidi kuona inayafanyia kazi ili kuhakikisha kunakuwa na mabadiliko ya haraka na yenye nguvu na kuifanya Zanzibar kuinuka kiuchumi. Alisema ofisi hiyo iliyopewa mamlaka ya kuratibu uwajibikaji wa Taasisi zote za SMZ zilizopo mjini Dar es Salaam hivi sasa itakuwa chini ya ofisi Makamu wa Pili wa Rais jambo ambalo litazifanya shughuli za idara hizo kufanya kazi zake kwa ufanisi. Ali

NYUMA YA PAZIA FIESTA 2013

 Mmmh... Linah umetisha wawili double .....?  Recho ..... utamtaja tu wewe jishebedue!!!!  Haaaaa... Shilole unamkonyeza huyo hapo ama nini.....??  Shilole hizo ndiyo pamba za America au??  Nay vipi tena hicho kibinti au ndiyo baridi la Serengeti Fiesta 2013 .....??  Msechu tumekuona ....  Zirro,Muli B, mnatisha hata bila pozi.....  Aaah Shafii umekutana na mdau mwenzako wa soka nini mbona unatabasamu sanaaa????  Nani anadowea kwa mwenzake sasa.... nawauliza nyie hapo B12 & Shetta????  Recho,Nalee... pozi hilo mnapendana kweli au ndio urafiki wa msimu wa Serengeti Fiesta 2013???  Shetta si unamke na mtoto wewe eeeh???  Mmesomeka...,Msechu,Mchomvu,G Walawala & B12 !!!

Balozi Seif Ataja Sababu Mabadiliko ya Serekali

Na Mwantanga Ame, Dar es Salaam MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Ali Iddi, ametaja sababu za msingi zilizoifanya serikali kufanya marekebisho ya baadhi ya wizara na watendaji. Akizungumza na watendaji wa taasisi za serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar zilizopo Dar es Salaam, alisema dhamira ya serikali ni kuona kunakuwa na uwiano katika baadhi ya wizara kiutendaji na kuongeza ufanisi. Kutokanana hali hiyo,aliwataka watumishi kuyapokea mabadiliko hayo kama ni sehemu ya kuleta mafanikio. Alisema natambua kuna changamoto ndani ya taasisi hizo na serikali itajitahidi kuona inayafanyia kazi ili kuhakikisha kunakuwa na mabadiliko ya haraka na yenye nguvu na kuifanya Zanzibar kuinuka kiuchumi. Alisema ofisi hiyo iliyopewa mamlaka ya kuratibu uwajibikaji wa Taasisi zote za SMZ zilizopo mjini Dar es Salaam hivi sasa itakuwa chini ya ofisi Makamu wa Pili wa Rais jambo ambalo litazifanya shughuli za idara hizo kufanya kazi zake kwa ufanisi. Al

MECHI YA YANGA, ASHANTI YAINGIZA MIL 102/-

Release No. 141 TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Agosti 25, 2013 MECHI YA YANGA, ASHANTI YAINGIZA MIL 102/- Mechi ya Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) kati ya Yanga na Ashanti United iliyochezwa jana (Agosti 24 mwaka huu) katika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam imeingiza sh. 102,856,000. Watazamaji 17,744 walikata tiketi kushuhudia mecchi hiyo namba moja ya VPL msimu wa 2013/2014 iliyomalizika kwa mabingwa watetezi Yanga kuibuka na ushindi mnono wa mabao 5-1. Read more...

Vifo vya Goma vyachunguzwa;

Kikosi cha Umoja wa Mataifa mashariki mwa Jamhuri ya Demokrasi ya Congo kimeanzisha uchunguzi kuhusu vifo vya waandamanaji wawili mjini Goma. Walioshuhudia tukio hilo waliliambia shirika la habari la Ufaransa kwamba watu hao walikufa wakati waandamanaji walipojaribu kuvamia kambi ya kikosi hicho karibu na uwanja wa ndege. Read more...

Leiwing: kapombe anapoteza muda as Cannes, hapaswi kucheza daraja la nne

KIRAKA wa Tanzania, Shomari Kapombe ametambulishwa juzi Ahamisi kwenye mazoezi ya klabu ya AS Cannes ya Ufaransa, lakini Kocha Mfaransa aliyetimuliwa Simba, Patrick Liewig amesema timu hiyo haina hadhi ya Kapombe. Hata hivyo, Simba imemjibu Liewig kuwa asiwe na wasiwasi kwani tayari Kapombe anatakiwa na timu ya daraja la pili ya Ufaransa. Liewig aliiambia Mwanaspoti kwa simu kutoka jijini Paris, Ufaransa jana Ijumaa kwamba klabu hiyo ya daraja la nne ni ya hadhi ya chini sana kulinganisha na ubora wa Kapombe ambaye alipaswa kuchezea madaraja ya juu hivyo Simba imempeleka sehemu anakokwenda kupoteza muda wake. Liewig alisema; "Naijua Cannes ni timu ndogo sana, inashiriki daraja la nne ni ya chini sana kulinganisha na ubora wa Kapombe niliyemfundisha hapo Simba. Yeye hadhi yake ni daraja la kwanza au la pili, na zipo klabu nyingi tu ambazo angeweza kupata nafasi." "Simba na huyo wakala wanampotezea Kapombe muda wake, w

27 WAUAWA, 350 WAKIJERUHIWA KATIKA MILIPUKO NCHINI LEBANON

Mwananchi huyu akchukua picha katika simu yake ya mkononi. Wananchi wakiangalia uhalibifu uliotokea baada ya mlipuko. Wananchi wakiwa wamekusanyika eneo la mlipuko nje ya msikiti wa Sunni uliopo jijini Tripoli, Lebanon. Magari yaliyohabiriwa katika mlipuko huo. MILIPUKO mikubwa miwili imetokea leo nje ya misikiti katika jiji la Tripoli lililopo Kaskazini mwa Lebanon jirani na Syria. Katika milipuko hiyo, watu 27 wanadaiwa kupoteza maisha, wakati 350 wakijeruhiwa. Milipuko hii imeongeza mvutano nchini Lebanon ikiwa ni matokeo ya vita ya wenyewe kwa wenyewe inayoendelea nchini Syria kati ya wafuasi na wapinzani wa utawala wa Rais wa Syria, Bashar Assad.

PICHA ZINGINE ZA MSANII MANAIK AKIZALILISHA WATOTO ZABAMBWA

Msanii maneke toka kundi la ze comedy akijivinjaari na watoto wa kila namna ,kitu ambacho kimemtia matatani sana mpaka kupelekea kutiwa mbaroni.   TAZAMA PICHA NYINGINE HAPO CHINI:    <<<<<<>>>>>>>

Kuachiwa Mubarak kwaleta hisia tofauti Misri.;

Rais wa zamani wa Misri Hosni Mubarak ambaye alikuwa kizuizini tangu Aprili 2011 Alhamisi ametolewa jela na kuhamishiwa kwenye hospitali moja ya kijeshi huko Cairo ataendelea kutumikia kifungo cha nje. Read more...

FAMILIA YA AGNES MASOGANGE YAFUNGUKA KUHUSU KESI YA MADAWA YA KULEVYA

 FAMILIA ya Video Queen wa Bongo, Agnes Gerald Waya ‘Masogange’ inadaiwa kumwachia Mungu ishu ya binti huyo kukamatwa na madawa ya kulevya Julai 5, mwaka huu nchini Afrika Kusini. Kwa mujibu wa ndugu mmoja wa familia hiyo aliyeomba jina lake lisitiriwe, wameamua kumwachia Mungu ishu hiyo kwani ndiye anayejua ukweli. “Unajua baba wa Masogange (mzee Gerald Waya) ni mlokole, sasa amekabidhi ishu nzima mikononi mwa Mungu kwa hiyo hayuko tayari kusemasema maneno ambayo hayatakuwa na faida,” alisema ndugu huyo. Habari zinazidi kudai kwamba, mzee huyo aliwahi kuchukizwa na kitendo cha binti yake huyo kujiingiza kwenye sanaa, hadi kuonekana akinengua kwenye muziki. Hilo liliwahi kubainishwa na Masogange mwenyewe miaka ya nyuma alipohojiwa na gazeti ndugu na hili (Ijumaa) kupitia safu ya Ten Questions (Maswali Kumi) ambapo ilikuwa hivi: TQ: Inasemekana umetokea kwenye familia ambayo imeiva kidini, walokole, wao wanachukuliaje suala la wewe kuingia kwenye mambo ya k

MANAIKI SANGA(MANEY IS PAPER ) ATIWA MBARONI KWA KUPIGA PICHA ZA UTUPU NA WATOTO WADOGO

Jeshi la polisi kanda ya Dar es Salaam linadaiwa kumtia mbaroni msanii anaetuhumiwa kupiga picha chafu na wanawake mchanganyiko wakiwema mamiss maarufu na baadae kusambaza kwenye mitandao yote ya kijamii pamoja na kuripotiwa kwenye magazeti pendwa.  Gazeti hili katika upekenyuaji wake limenasa picha hizi kwenye mtandao mmoja maarufu wa kijamii ukimuonesha Manaiki akiwa kwenye kibano kikali cha polisi huku akiwa amevishwa pingu na kurukishwa kichurachura. Habari za uhakika  zinasema kuwa msanii huyo aliyeshiriki kwenye filamu za Tikisa, Love Position, Last Coin na Sory my Soni alikamatwa siku chache baada kuvuja kwa picha zake za aibu zikimuonesha akiwa na wanawake tofauti tofauti. Aidha picha zaidi za tukio hilo la kukamatwa kwa Manaiki na haikufahamika kama alikamatwa kwa kosa jingine tofauti na kosa la kudhalilisha wanawake ambapo hali hiyo iliwalazimu waandishi wetu kufatilia kwa ukaribu tukio hilo la kukamtwa kwa msanii huyo ali