Skip to main content

Msako wa Kenya yalenga magenge ya Eastleigh


Na Sargajan bin Kadii, Nairobi
Wanachama wa makundi mawili pinzani ambayo yametisha wakaazi na Wasomali wanaomiliki biashara katika kitongoji cha Eastleigh mjini Nairobi kwa miaka mitatu iliyopita wako katika kukimbiakimbia baada ya kuchukuliwa kwa hatua kali za usalama, maofisa wa eneo hilo walisema.
Kijana asiye wa kabila wa Kisomali akijiandaa kupambana kwa mawe katika makabiliano ya tarehe 19 Novemba, 2012 wakati wa mapambano ya kulipiza kisasi dhidi ya kabila la Wasomali ambayo yalitokea huko Eastleigh baada ya mlipuko wa bomu uliodaiwa kufanywa na al-Shabaab na kuua na kujeruhi watu kadhaa. Wakati wa mapambano hayo, makundi pinzani ya Wasomali yaliungana kulinda maslahi ya Wasomali [Tony Karumba/AFP]
Makundi hayo mawili, yanayojulikana kama Superpower na Sitaki Kujua (SK) yanajumuisha hasa Wasomali.
"Tayari tumeshawakamata wanachama zaidi ya 500 wa makundi hayo," alisema Ndumba Thangalani, ofisa wa uchunguzi wa uhalifu wa wilaya ya Starehe, ambapo Eastleigh iko huko.
Mwishoni mwa mwezi Julai, operesheni ya polisi iliwakamata wanachama 51, wengi wao walishtakiwa mahakamani na kuachiwa baada ya kulipa dhamana ya fedha taslimu ya shilingi milioni moja (dola 11,400) kila mmoja, aliiambia Sabahi. Wale walioshindwa kulipa waliwekwa rumande na wanasubiri hukumu.
"Kwa kuwepo kwa kesi chache sana ziliripotiwa [kwa polisi wakati wa] Ramadhani ni ishara kwamba tunashinda vita dhidi ya Superpower na SK," Thangalani alisema.
Baadhi ya wanachama wa kikundi ambao walikamatwa tangu mwishoni mwa 2012 baadaye walikiuka dhamana na kushindwa kufika mahakamani tarehe walizotakiwa, lakini viongozi wametoa hati za kukamatwa kwao, alisema.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...