Skip to main content

Msako wa Kenya yalenga magenge ya Eastleigh


Na Sargajan bin Kadii, Nairobi
Wanachama wa makundi mawili pinzani ambayo yametisha wakaazi na Wasomali wanaomiliki biashara katika kitongoji cha Eastleigh mjini Nairobi kwa miaka mitatu iliyopita wako katika kukimbiakimbia baada ya kuchukuliwa kwa hatua kali za usalama, maofisa wa eneo hilo walisema.
Kijana asiye wa kabila wa Kisomali akijiandaa kupambana kwa mawe katika makabiliano ya tarehe 19 Novemba, 2012 wakati wa mapambano ya kulipiza kisasi dhidi ya kabila la Wasomali ambayo yalitokea huko Eastleigh baada ya mlipuko wa bomu uliodaiwa kufanywa na al-Shabaab na kuua na kujeruhi watu kadhaa. Wakati wa mapambano hayo, makundi pinzani ya Wasomali yaliungana kulinda maslahi ya Wasomali [Tony Karumba/AFP]
Makundi hayo mawili, yanayojulikana kama Superpower na Sitaki Kujua (SK) yanajumuisha hasa Wasomali.
"Tayari tumeshawakamata wanachama zaidi ya 500 wa makundi hayo," alisema Ndumba Thangalani, ofisa wa uchunguzi wa uhalifu wa wilaya ya Starehe, ambapo Eastleigh iko huko.
Mwishoni mwa mwezi Julai, operesheni ya polisi iliwakamata wanachama 51, wengi wao walishtakiwa mahakamani na kuachiwa baada ya kulipa dhamana ya fedha taslimu ya shilingi milioni moja (dola 11,400) kila mmoja, aliiambia Sabahi. Wale walioshindwa kulipa waliwekwa rumande na wanasubiri hukumu.
"Kwa kuwepo kwa kesi chache sana ziliripotiwa [kwa polisi wakati wa] Ramadhani ni ishara kwamba tunashinda vita dhidi ya Superpower na SK," Thangalani alisema.
Baadhi ya wanachama wa kikundi ambao walikamatwa tangu mwishoni mwa 2012 baadaye walikiuka dhamana na kushindwa kufika mahakamani tarehe walizotakiwa, lakini viongozi wametoa hati za kukamatwa kwao, alisema.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.