Skip to main content

Msako wa Kenya yalenga magenge ya Eastleigh


Na Sargajan bin Kadii, Nairobi
Wanachama wa makundi mawili pinzani ambayo yametisha wakaazi na Wasomali wanaomiliki biashara katika kitongoji cha Eastleigh mjini Nairobi kwa miaka mitatu iliyopita wako katika kukimbiakimbia baada ya kuchukuliwa kwa hatua kali za usalama, maofisa wa eneo hilo walisema.
Kijana asiye wa kabila wa Kisomali akijiandaa kupambana kwa mawe katika makabiliano ya tarehe 19 Novemba, 2012 wakati wa mapambano ya kulipiza kisasi dhidi ya kabila la Wasomali ambayo yalitokea huko Eastleigh baada ya mlipuko wa bomu uliodaiwa kufanywa na al-Shabaab na kuua na kujeruhi watu kadhaa. Wakati wa mapambano hayo, makundi pinzani ya Wasomali yaliungana kulinda maslahi ya Wasomali [Tony Karumba/AFP]
Makundi hayo mawili, yanayojulikana kama Superpower na Sitaki Kujua (SK) yanajumuisha hasa Wasomali.
"Tayari tumeshawakamata wanachama zaidi ya 500 wa makundi hayo," alisema Ndumba Thangalani, ofisa wa uchunguzi wa uhalifu wa wilaya ya Starehe, ambapo Eastleigh iko huko.
Mwishoni mwa mwezi Julai, operesheni ya polisi iliwakamata wanachama 51, wengi wao walishtakiwa mahakamani na kuachiwa baada ya kulipa dhamana ya fedha taslimu ya shilingi milioni moja (dola 11,400) kila mmoja, aliiambia Sabahi. Wale walioshindwa kulipa waliwekwa rumande na wanasubiri hukumu.
"Kwa kuwepo kwa kesi chache sana ziliripotiwa [kwa polisi wakati wa] Ramadhani ni ishara kwamba tunashinda vita dhidi ya Superpower na SK," Thangalani alisema.
Baadhi ya wanachama wa kikundi ambao walikamatwa tangu mwishoni mwa 2012 baadaye walikiuka dhamana na kushindwa kufika mahakamani tarehe walizotakiwa, lakini viongozi wametoa hati za kukamatwa kwao, alisema.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them ...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Mwana muziki Marufu kwa jina la Chuck Brown Afariki Dunia Akiwa na umri wa miaka 75

View Photo Gallery — Chuck Brown dies at 75: The “godfather of go-go” has died By Chris Richards, Updated: Wednesday, May 16, 4:42 PM Chuck Brown, the gravelly voiced bandleader who capitalized on funk’s percussive pulse to create go-go, the genre of music that has soundtracked life in black Washington for more than three decades, died May 16 at the Johns Hopkins University hospital in Baltimore. He was 75. The death, from complications from sepsis, was confirmed by his manager, Tom Goldfogle. Mr. Brown had been hospitalized for pneumonia. Known as the “Godfather of Go-Go,” the performer, singer, guitarist and songwriter developed his commanding brand of funk in the mid-1970s to compete with the dominance of disco. Like a DJ blending records, Mr. Brown used nonstop percussion to stitch songs together and keep the crowd on the dance floor, resulting in marathon performances that went deep into the night. Mr. Brown said the style got its name because “the music j...