Skip to main content

Mkulima mmoja mkoani Singida auawa kwa kukatwakatwa baada ya kudhaniwa kuwa na fedha za mauzo ya mazao.


Na Nathaniel Limu.
Mkulima mkazi wa kijiji cha Mkuru tarafa ya Ndago wilaya ya Iramba mkoa wa Singida Said Juma (32), amefariki dunia baada ya kukatwa katwa kwa mapanga na watu watatu wanaodhaniwa kuwa ni majambazi.
DSC02443
Kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Singida, ACP Geofrey Kamwela akitoa taarifa ya mauaji ya mkulima mkazi wa kijiji cha Mkuru tarafa ya Ndago wilaya ya Iramba, Said Juma ambaye pia aliporwa shilingi 250,000 na majambazi hayo.(Picha na Nathaniel Limu).
Kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Singida ACP Geofrey Kamwela amesema tukio hilo limetokea Agosti 7 mwaka huu saa saba usiku hulo katika kijiji cha Mkuru.
Amesema watu hao walimwambia Said (marehemu) kuwa wanazo taarifa kwamba ameuza mazao na hivyo wanazihitaji fedha zote za mauzo ya mazao.
Kamanda Kamwela amesema “Said alipodai kuwa hana fedha na kwamba hajauza mazao yoyote, walianza kumkata kata kwa mapanga katika sehemu mbalimbali za mwili wake na kusababisha kifo chake papo hapo.
Baada ya kutimiza azma yao hiyo, wakipora shilingi 250,000 za marehemu na kukimbilia kusiko julikana”.
Amesema kwa sasa wanamshikilia Athumani Dotto (36), Chinko Shaban (29) na Kisiku Juma (28) wote wakazi wa kijiji cha Mkingi.
Upelelezi ukikamilika, watafikishwa mahakamani kujibu tuhuma ya mauaji na uporaji wa shilingi 250,000.
Habarii hii kwa hisani ya Moblog

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.