Majeshi ya usalama ya Misri yameondoa
watu katika msikiti mmoja mjini Cairo, baada ya mvutano wa muda mrefu na
wafuasi wa chama cha Muslim Brotherhood. Waandamanaji hao waliokuwa
ndani wametolewa nje ya msikiti, na wengi wamekamatwa, kwa mujibu wa
majeshi ya usalama. (HM)
Comments