Skip to main content

Waandamanaji Misri watolewa msikitini



egypt 3e6d2
Majeshi ya usalama ya Misri yameondoa watu katika msikiti mmoja mjini Cairo, baada ya mvutano wa muda mrefu na wafuasi wa chama cha Muslim Brotherhood. Waandamanaji hao waliokuwa ndani wametolewa nje ya msikiti, na wengi wamekamatwa, kwa mujibu wa majeshi ya usalama. (HM)

Comments