Skip to main content

Waandishi wa habari wa Tanzania kwenye mzingiro


Waandishi wa habari nchini Tanzania wanakabiliwa na vitisho vinavyoongezeka na ukosefu wa kulindwa na serikali, ambapo kumetokea kwa uchache mashambulizi 10 dhidi ya wafanyakazi wa vyombo vya habari tangu Septemba 2012, ilisema Kamati ya Kuwalinda Waandishi wa Habari (CPJ) siku ya Jumanne (tarehe 6 Agosti).
"Licha ya heshima ya Tanzania kwa uwazi na demokrasia, raia wake wananyimwa haki muhimu ya habari," ilionya CPJ. "Kuzuka kwa mashambulizi dhidi ya waandishi wa habari, sheria za ukandamizaji wa vyombo vya habari, kunapandikiza hisia za kujichuja wenyewe miongoni mwa waandishi wa habari wa Tanzania, hasa wale wanaofanya kazi kwenye maeneo ya vijijini."
Mashambulizi ya karibuni zaidi yanajumuisha kuuawa kwa mpiga picha Daudi Mwangosi, aliyepigwa kwa bomu la machozi wakati akiripoti maandamano mwezi Septemba, na kupigwa vibaya kwa mhariri Absalom Kibanda mwezi wa Machi, ambapo alipofuliwa jicho na sehemu ya kidole chake kukatwa.
"Kuzorota kwa hali ya vyombo vya habari kumesadifiana na woga miongoni mwa wanachama wa chama tawala wasiozoea kukosolewa na wasiojiandaa kwa changamoto ya kisiasa," ilisema ripoti hiyo.
CPJ ilisema ingawa serikali ya Tanzania iliahidi kuzifanyia mabadiliko sheria za vyombo vya habari, kuna mambo machache sana yaliyotekelezwa.
"Ukandamizaji wa serikali ya Tanzania dhidi ya uhuru wa habari na kujieleza ni dalili ya wazi kwamba inahisi inatishiwa kwenye uchaguzi wa urais na wabunge wa mwaka 2015," alisema mwandishi wa ripoti hiyo ya CPJ, Tom Rhodes, kwa mujibu wa AFP.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...