Skip to main content

Waandishi wa habari wa Tanzania kwenye mzingiro


Waandishi wa habari nchini Tanzania wanakabiliwa na vitisho vinavyoongezeka na ukosefu wa kulindwa na serikali, ambapo kumetokea kwa uchache mashambulizi 10 dhidi ya wafanyakazi wa vyombo vya habari tangu Septemba 2012, ilisema Kamati ya Kuwalinda Waandishi wa Habari (CPJ) siku ya Jumanne (tarehe 6 Agosti).
"Licha ya heshima ya Tanzania kwa uwazi na demokrasia, raia wake wananyimwa haki muhimu ya habari," ilionya CPJ. "Kuzuka kwa mashambulizi dhidi ya waandishi wa habari, sheria za ukandamizaji wa vyombo vya habari, kunapandikiza hisia za kujichuja wenyewe miongoni mwa waandishi wa habari wa Tanzania, hasa wale wanaofanya kazi kwenye maeneo ya vijijini."
Mashambulizi ya karibuni zaidi yanajumuisha kuuawa kwa mpiga picha Daudi Mwangosi, aliyepigwa kwa bomu la machozi wakati akiripoti maandamano mwezi Septemba, na kupigwa vibaya kwa mhariri Absalom Kibanda mwezi wa Machi, ambapo alipofuliwa jicho na sehemu ya kidole chake kukatwa.
"Kuzorota kwa hali ya vyombo vya habari kumesadifiana na woga miongoni mwa wanachama wa chama tawala wasiozoea kukosolewa na wasiojiandaa kwa changamoto ya kisiasa," ilisema ripoti hiyo.
CPJ ilisema ingawa serikali ya Tanzania iliahidi kuzifanyia mabadiliko sheria za vyombo vya habari, kuna mambo machache sana yaliyotekelezwa.
"Ukandamizaji wa serikali ya Tanzania dhidi ya uhuru wa habari na kujieleza ni dalili ya wazi kwamba inahisi inatishiwa kwenye uchaguzi wa urais na wabunge wa mwaka 2015," alisema mwandishi wa ripoti hiyo ya CPJ, Tom Rhodes, kwa mujibu wa AFP.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them ...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Mwana muziki Marufu kwa jina la Chuck Brown Afariki Dunia Akiwa na umri wa miaka 75

View Photo Gallery — Chuck Brown dies at 75: The “godfather of go-go” has died By Chris Richards, Updated: Wednesday, May 16, 4:42 PM Chuck Brown, the gravelly voiced bandleader who capitalized on funk’s percussive pulse to create go-go, the genre of music that has soundtracked life in black Washington for more than three decades, died May 16 at the Johns Hopkins University hospital in Baltimore. He was 75. The death, from complications from sepsis, was confirmed by his manager, Tom Goldfogle. Mr. Brown had been hospitalized for pneumonia. Known as the “Godfather of Go-Go,” the performer, singer, guitarist and songwriter developed his commanding brand of funk in the mid-1970s to compete with the dominance of disco. Like a DJ blending records, Mr. Brown used nonstop percussion to stitch songs together and keep the crowd on the dance floor, resulting in marathon performances that went deep into the night. Mr. Brown said the style got its name because “the music j...