Skip to main content

Waandishi wa habari wa Tanzania kwenye mzingiro


Waandishi wa habari nchini Tanzania wanakabiliwa na vitisho vinavyoongezeka na ukosefu wa kulindwa na serikali, ambapo kumetokea kwa uchache mashambulizi 10 dhidi ya wafanyakazi wa vyombo vya habari tangu Septemba 2012, ilisema Kamati ya Kuwalinda Waandishi wa Habari (CPJ) siku ya Jumanne (tarehe 6 Agosti).
"Licha ya heshima ya Tanzania kwa uwazi na demokrasia, raia wake wananyimwa haki muhimu ya habari," ilionya CPJ. "Kuzuka kwa mashambulizi dhidi ya waandishi wa habari, sheria za ukandamizaji wa vyombo vya habari, kunapandikiza hisia za kujichuja wenyewe miongoni mwa waandishi wa habari wa Tanzania, hasa wale wanaofanya kazi kwenye maeneo ya vijijini."
Mashambulizi ya karibuni zaidi yanajumuisha kuuawa kwa mpiga picha Daudi Mwangosi, aliyepigwa kwa bomu la machozi wakati akiripoti maandamano mwezi Septemba, na kupigwa vibaya kwa mhariri Absalom Kibanda mwezi wa Machi, ambapo alipofuliwa jicho na sehemu ya kidole chake kukatwa.
"Kuzorota kwa hali ya vyombo vya habari kumesadifiana na woga miongoni mwa wanachama wa chama tawala wasiozoea kukosolewa na wasiojiandaa kwa changamoto ya kisiasa," ilisema ripoti hiyo.
CPJ ilisema ingawa serikali ya Tanzania iliahidi kuzifanyia mabadiliko sheria za vyombo vya habari, kuna mambo machache sana yaliyotekelezwa.
"Ukandamizaji wa serikali ya Tanzania dhidi ya uhuru wa habari na kujieleza ni dalili ya wazi kwamba inahisi inatishiwa kwenye uchaguzi wa urais na wabunge wa mwaka 2015," alisema mwandishi wa ripoti hiyo ya CPJ, Tom Rhodes, kwa mujibu wa AFP.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.