Skip to main content

Wasiwasi waibuka kuhusu maandalizi ya vikosi vya usalama vya Somalia

Reactions: 


 
Na Abdi Moalim, Mogadishu

Kuongezeka kwa mashambulio ya hivi karibuni huko Mogadishu na mashambulio ya al-Shabaab wakati wa Ramadan kumeibua wasiwasi miongoni mwa Wasomali wengi kuhusu uwezo wa serikali kukabiliana na vurugu.

Askari wa Somalia walipigwa picha baada ya wanamgambo wa al-Shabaab kushambulia eneo la Umoja wa Mataifa huko Mogadishu tarehe 19 Juni, 2013. [Mohamed Abdiwahab/AFP]
Aliyekuwa mkuu wa Shirika la Upelelezi na Usalama la Taifa la Somalia (NISA) Ahmed Moalim Fiqi alisema serikali ya shirikisho hairithishi uwezo wa jeshi kitaifa wa kuhakikisha usalama, na inakabiliwa na matatizo mengi ambapo inahitaji msaada.
Fiqi alisema serikali inahitaji kuja na mpango bayana wa kupambana na al-Shabaab, kushughulikia migogoro ya kikabila na kupanga kwa ufanisi na kutoa mafunzo kwa askari wa Somalia ili kupata msaada huo.
"Tawala za mkoa, uma, maulamaa, wasanii, vijana, wazee wa kimila, wote wana jukumu katika mapambano hayo [kwa ajili ya amani] -- kisha tunaweza kuita dunia," alisema.

Mlinzi wa usalama wa Uturuki, ambaye alijeruhiwa katika bomu la al-Shabaab la kujitoa muhanga katika ubalozi wa Uturuki huko Mogadishu, alibebwa katika gari ya wagonjwa kupelekwa uwanja wa ndege wa Ankara tarehe 28 Julai. [Stringer/AFP]
Mpango unaofaa kutoka kwenye utawala ungevutia na kutoa mwitikio kwenye mahitaji ya maeneo mbalimbali ya jamii ya Wasomali, na kufanikiwa kungehitaji pia kila upande kusaidia serikali katika kutekeleza hilo, Fiqi alisema.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.