Skip to main content

ETO'O HUYOOO CHELSEA




LONDON, England
KOCHA Mkuu wa Chelsea, Jose Mourinho ameamua kuongeza kasi ya kumsajili mshambuliaji, Samuel Eto'o kutoka klabu ya Anzhi Makhachkala ya Russia.

Mourinho ameamua kumuongezea kasi baada ya mipango yake ya kumnasa mshambuliaji, Wayne Rooney kutoka Manchester United kukwama.

Kocha huyo kutoka Ureno amefikia uamuzi huo baada ya saa 48 alizotoa kwa Rooney, akimtaka aamue moja, kumalizika bila mchezaji huyo kutoa tamko lolote.

Mourinho alitoa saa 48 kwa Rooney ili aamue iwapo atabaki Manchester United ama atatua Chelsea.
Chelsea iliwasilisha ofa mara mbili kwa Manchester United ikitaka kumsajili Rooney, lakini mashetani hao wekundu wamekuwa wakigoma kumuuza mchezaji huyo.

Awali, Rooney alionyesha nia ya kutaka kuondoka Manchester United baada ya Kocha David Moyes kusema, chaguo lake la kwanza katika nafasi ya mshambuliaji wa kati ni Van Persie.

Mourinho amesema atakamilisha usajili wa mshambuliaji huyo wa Anzhi Makhachkala ndani ya saa 24 zijazo ili kujenga upya safu yake ya ushambuliaji.

Chelsea tayari imemsajili winga, Willian kutoka Anzhi na Eto'o ni mchezaji wa pili kufuata baada ya klabu hiyo ya Russia kukumbwa na mzozo wa kimasilahi.

Habari za awali, zimedokeza kuwa Eto'o anaweza kutia saini mkataba wa mwaka mmoja.
Nguli huyo aliwahi kufanya kazi na Mourinho katika klabu ya Inter Milan. Pia amewahi kuzitumikia klabu za Mallorca na Barcelona za Hispania.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.