Skip to main content

Posts

Showing posts from September, 2012

Mali yajitayarisha kwa vita; Majirani wana shaka

Viongozi wa Mali wanajitayarisha na vita, kulikomboa eneo la kaskazini linalodhibitiwa na makundi ya waasi wa Kiislamu: ni ujumbe kutoka Bamako katika mkutano wa umoja wa mataifa,licha ya majirani zake kuwa na shaka. Tunahisi kuwa jumuiya ya kimataifa inawajibika kwa upande wetu, ikiwa ni mshikamano na Mali, duru karibu na rais Dioncounda Traore ililiambia shirika la habari la AFP. Alikuwa akizungumza katika mkutano siku ya Jumatano mjini New York, pembezoni mwa mkutano wa hadhara kuu ya umoja wa mataifa, ambao ulikuwa unalenga kujadili kuhusu mzozo wa eneo la Sahel. Maafisa wa Mali wanatambua kuwa majirani wa nchi hiyo Algeria inajaribu kuleta hali ya maelewano na Mauritania na Niger ili kuzuwia uwekaji wa majeshi ya kigeni nchini Mali, kimesema chanzo hicho. Lakini Ufaransa itafanya kila linalowezekana kuhakikisha kuwa baraza la usalama linakutana na azimio linaloidhinisha kuingilia kati linapatikana, ameongeza afisa huyo. Raia wanaunga mkono

KUZIONA SIMBA NA YANGA BUKU TANO

Kiingilio cha chini kwenye mechi ya Yanga na Simba itakayochezwa Jumatatu (Oktoba 3 mwaka huu) Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam kitakuwa sh. 5,000 kwa viti vya rangi ya kijani ambavyo ni 19,648 kwenye uwanja huo wenye uwezo wa kuchukua watazamaji 60,000. Mechi hiyo namba 80 ya Ligi Kuu ya Vodacom itachezwa kwenye uwanja huo kuanzia saa 11 kamili jioni. Watazamaji watakaotaka kuona mechi hiyo wakiwa wameketi kwenye viti vya rangi ya bluu ambavyo ni 17,045 watalipa sh. 7,000 kwa tiketi moja. Viingilio vingine kwenye mechi hiyo ni sh. 10,000 kwa viti vya rangi ya chungwa ambavyo viko 11,897 wakati VIP C inayochukua watazamaji 4,060 itakuwa sh. 15,000. Kwa upande wa VIP B tiketi ni sh. 20,000 na VIP A yenye watazamaji 748 tu kiingilio kitakuwa sh. 30,000.Inatoka kwa mdau.

CHEKA AMDUNDA NYILAWILA

Bondia Fransic Cheka akinyooshwa mkono juu na mmoja wa mashabiki wa Kigeni waliokuja kuangalia mpambano wake dhidi ya Karama Nyilawila Cheka alishinda katika raundi ya sita baada ya karama kusalimu amri kushoto ni Rais wa PST Emanuel Mlundwa na wa pili kulia ni mgeni rasmi Kamanda wa polisi wa Kanda Maalumu Mkoa wa Dar es salaam Suleiman Kova.Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com

VODACOM YAMALIZANA NA KLABU ZA LIGI KUU

Kufuatia kukaa katika kikao cha majadiliano kati ya Mdhamini mkuu wa ligi kuu Vodacom Tanzania, kamati ya ligi, TFF na vilabu vinavyoshiriki ligi hiyo, Mashabiki na wapenzi wa soka nchini wameondolewa hofu juu ya udhamini wa ligi inayoendelea hivi sasa. Mdhamini mkuu wa ligi hiyo Vodacom Tanzania, imekubali kuendelea kuunga mkono ligi hiyo na kuwaomba mashabiki wa soka kutegemea msimu mzuri wa ligi mwaka huu. Kwa mujibu wa Mkuu wa Kitengo cha Masoko na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania, Kelvin Twissa, amesema kuwa mvutano ambao umekuwepo baina ya baadhi ya Vilabu vya soka na Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) pamoja na wadhamini sasa yamepatiwa ufumbuzi. “Kulikuwa na sinto fahamu kati ya Klabu za ligi kuu TFF na sisi kama wadhamini, tulikaa kikao siku ya ijumaa na wadau wote wa ligi na sasa mambo yote yamewekwa katika msitari,” alisema Kelvin na kuongeza kuwa “ Tumedhamiria kuendelea kuiunga mkono Ligi kuu ya Vodacom hatukuwa na matatizo yoyote katika ku

VODACOM YAMALIZANA NA KLABU ZA LIGI KUU

Kufuatia kukaa katika kikao cha majadiliano kati ya Mdhamini mkuu wa ligi kuu Vodacom Tanzania, kamati ya ligi, TFF na vilabu vinavyoshiriki ligi hiyo, Mashabiki na wapenzi wa soka nchini wameondolewa hofu juu ya udhamini wa ligi inayoendelea hivi sasa. Mdhamini mkuu wa ligi hiyo Vodacom Tanzania, imekubali kuendelea kuunga mkono ligi hiyo na kuwaomba mashabiki wa soka kutegemea msimu mzuri wa ligi mwaka huu. Kwa mujibu wa Mkuu wa Kitengo cha Masoko na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania, Kelvin Twissa, amesema kuwa mvutano ambao umekuwepo baina ya baadhi ya Vilabu vya soka na Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) pamoja na wadhamini sasa yamepatiwa ufumbuzi. “Kulikuwa na sinto fahamu kati ya Klabu za ligi kuu TFF na sisi kama wadhamini, tulikaa kikao siku ya ijumaa na wadau wote wa ligi na sasa mambo yote yamewekwa katika msitari,” alisema Kelvin na kuongeza kuwa “ Tumedhamiria kuendelea kuiunga mkono Ligi kuu ya Vodacom hatukuwa na matatizo yoyote katika k

String of Iraq car blasts targeting police kill at least 13

Gunmen killed a policeman in Baghdad, and a car bomb exploded after a police patrol came to investigate. (AFP) By AL ARABIYA WITH AGENCIES A wave of bombings and a shooting in Iraq killed at least 13 people and wounded 33 on Sunday, security and medical officials said, with the most deadly explosions taking place in northern Baghdad. Four car bombs exploded in Taji, north of Baghdad, killing at least six people and wounding eight others, an interior ministry official and a medical source said, according to AFP news agency, Reuters news agency reported eight were killed and 22 others were wounded in Tajj. The overall death toll was put at 17 by Reuters news agency citing police and hospital source. The reports by AFP stated that a car bomb targeting a police convoy killed two police and wounded seven others in Baquba, farther north, while another car bomb exploded near the city, killing one person and wounding seven, a police lieutenant colonel and

Hatimaye Mwakalebela Ashinda Iringa Mjini

MWENYEKITI CCM WILAYA IRINGA MJINI Kura zilizopigwa 586 zilizoharibika 2 kura halali 584 Omary Iddy Mchomba 62 Eliudi Mvela 224 Abeid kiponza 298 MJUMBE NEC Idadi ya kura 538 kura zililozoharibika 14 kura halali 524 Enock Ugulumu 62 Michael Mlowe 86 Vitus Mushi 243 Mahmudu Madenge 281 Zainabu kufakunoka Chiku masanja Nafasi ya wazazi halmashauri kuu nafasi mbili Donald 21 Chande salum mbega 47 Aloyce kibiki 141 All mbata 269 Bernad mbigili 244 Shedraki Tito mkusa 334 UWT nafasi nne Donisia Daudi 128 Christina Mgongolwa 150 Hellen Machibya 162 Sarida ally 167 Midaw William 204 Halima hsaasn 266 Ashura jongo 291 Nikolina Lulandala 325 Fatuma daudi 338 UWT Vijana nafsi 4 Barton Sanga 83 Asaki oketo 152 Pendo ojwano 188 Nuru mwinuka 198 Adam Ramadhan 235 Ester Mobo 243 Ally Simba 250 Salum kaita 264 Mwaija mwinyikayoka 270 Clara Shirima 299 MKUTANO MKUU WA TAIFA wajumbe watano Said Rubea 73 George Mwaitege 74 Mfamlopela luvambe 74 Lukasi Mgongolwa 75 Mich

AFRICAN GREEN REVOLUTION FORUM HONOURS LEADERS IN THE DEVELOPMENT OF AFRICA’S AGRICULTURAL ECONOMY.

President Jakaya Kikwete of Tanzania, Kofi Annan and Jørgen Ole Haslestad of Yara International with Yara Prize recipients. Leaders and visionaries in promoting a Green Revolution in Africa were honoured last night at the African Green Revolution Forum (AGRF) (http://www.agrforum.com) Awards gala dinner in Arusha. The AGRF Awards recognize Africa’s top leaders in the quest to create awareness of public/private initiatives to build a sustainable African agri-business industry, inspire a Green Revolution in Africa and make Africa food and nutrition secure. The following individuals and organizations were recognized for their commitment and excellence in the following areas: -Media and Journalism – Joshua Kato, Uganda -Private Sector Organizations – Neema Agricole du Faso (Nafaso), Burkina Faso -Farmer Organizations – Faso Jigi, Mali -Academia & Research Institutions –The African Centre for Crop Improvement, at the University of KwaZulu-Nata

Shitambala Ashinda Mbeya Mjini

TAARifa kutoka wa kalulunga.blogspot.com zimesema kuwa aliyekuwa Mwenyekiti wa Chadema mkoani Mbeya  Sambwee Shitambala ameshinda nafasi ya ujumbe wa kamati kuu ya CCM wilaya ya Mbeya Mjini. Na taarifa zisizorasmi zilizotufikia kutoka wilayani Rungwe zimesema kuwa Prof. Mark Mwandosya naye amepata kura za ndiyo na kushinda wilayani humo. akipewa kura za ndiyo katika uchaguzi uliofanyika leo katika uwanja wa Sokoine Mbeya, pia Mwandishi wa habari wa Gazeti la Majira mkani Mbeya Charles Mwakipesile ameshinda na kuchaguliwa katika nafasi ya Mkutano mkuu wa Taifa.

Mdee Afungua Shina La CHADEMA Boko

Jana jioni.Inatoka kwa Mjenga.

"Sina Mpango Wa Kugombea Urais"-Makamba

January Makamba alipokuwa Studio kwenye kipindi cha makutano.Inatoka kwa Mjengwa.

Gazeti la Tanzania Daima

Vodacom Na Udhamini Wa Ligi Kuu

m Taarifa kwa vyombo vya habari. Ligi kuu ya Vodacom sasa mambo safi. ·         Sintofahamu kati ya TFF na Klabu zafikia mwisho. ·          Vodacom yatoa fedha na Vifaa kwa timu zinazoshiriki ligi kuu. ·          Yaahidi makubwa zaidi. Dar es Salaam, 30 Septemba, 2012.    Kufuatia kukaa katika kikao cha majadiliano kati ya Mdhamini mkuu wa ligi kuu Vodacom Tanzania, kamati ya ligi, TFF na vilabu vinavyoshiriki ligi hiyo, Mashabiki na wapenzi wa soka nchini wameondolewa hofu juu ya udhamini wa ligi inayoendelea hivi sasa . Mdhamini mkuu wa ligi hiyo Vodacom Tanzania, imekubali kuendelea kuunga mkono ligi hiyo na kuwaomba mashabiki wa soka kutegemea msimu mzuri wa ligi mwaka huu. Kwa mujibu wa Mkuu wa Kitengo cha Masoko na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania, Kelvin Twissa, amesema kuwa mvutano ambao umekuwepo baina ya baadhi ya Vilabu vya soka na Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) pamoja na wadhamini sasa yamepatiwa ufumbuzi. “Kulikuwa na sinto fahamu k

Rappers Young Jeezy and Rick Ross in angry fight at BET Awards which 'saw shots fired in parking lot'

By SNEJANA FARBEROV Shots were allegedly fired on Saturday night outside the taping of the BET Hip Hop Awards in Atlanta following a shoving match that broke out backstage between rappers Young Jeezy and Rick Ross. According to TMZ sources, the two performers exchanged heated words during the ceremony and started pushing each other before their bodyguards and BET security intervened and separated the two men. But that was apparently not the end of the incident. According to eyewitnesses, soon afterwards a member of Ross's entourage went to the parking lot of the Boisfeuillet Jones Atlanta Civic Center and pulled out a gun, firing several shots.    Fisticuffs: Rapers Rick Ross, right, and Young Jeezy, left, allegedly got into a shoving match backstage at the BET Hip Hop Awards, which resulted in shots being fired No injuries were reported, and police have denied that shots were in fact fired. Sources said that the concert venue was temporar

YANGA YASALIMU AMRI KWA FIFA

KLABU ya Yanga imeahidi kuyafanyia kazi malalamiko ya mchezaji wake wa zamani, John Njoroge na Kocha Kostadin Papic yaliyowasilishwa kwa Shirikisho la Soka la Dunia (FIFA). Makamu Mwenyekiti wa Yanga, Clement Sanga alisema mjini Dar es Salaam jana kuwa, wamepokea taarifa ya malalamiko hayo kutoka kwa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF). "Haya mambo hatukuwa tukiyajua, tumeyakuta kwa uongozi uliopita, lakini baada ya kupokea taarifa hizi, hatuna budi kuyashughulikia,"alisema. Sanga alisema watahakikisha suala hilo linashughulikiwa kikamilifu ili kuiepusha klabu hiyo na hatari ya kufungiwa ama kushushwa daraja. Papic amefungua mashitaka FIFA dhidi ya Yanga, akidai malimbikizo yake ya mishahara, inayokadiriwa kufika dola 12,300 za Marekani (sh. milioni 17) wakati Njoroge anatakiwa kulipwa sh. milioni 17 kutokana na klabu hiyo kukatisha mkataba wake kienyeji miaka mitatu iliyopita. Katibu Mkuu wa TFF, Angetile Osiah alikaririwa juzi akisema kuwa, walijaribu kuwasiliana na vion

Leo ni Mtanange Kati ya Simba na Prisons Live Dar

MABINGWA watetezi wa ligi kuu ya Tanzania Bara, Simba leo wanaendelea na kampeni za kuwania tena taji hilo kwa kumenyana na Prisons kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Pambano hilo linatarajiwa kuanza saa 11 jioni na litaonyeshwa moja kwa moja na kituo cha televisheni cha SuperSport cha Afrika Kusini. SuperSport imeingia mkataba na Shirikisho la Soka la Tanzania (TFF) wa kuonyesha moja kwa moja mechi tano za ligi hiyo zitakazochezwa kwenye Uwanja wa Taifa na Chamazi, Dar es Salaam. Kituo hicho kilianza kazi hiyo jana kwa  kuonyesha moja kwa moja mechi kati ya Azam na JKT Ruvu iliyochezwa kwenye uwanja wa Taifa. Katika mechi hiyo, Azam iliibuka na ushindi wa mabao 3-0. Ligi hiyo itaendelea tena kesho wakati Yanga itakapomenyana na African Lyon kwenye uwanja huo huo. Pambano hilo pia limepangwa kuanza saa 11 jioni. Oktoba Mosi mwaka huu, Mtibwa Sugar itashuka dimbani kwenye uwanja wa Chamazi kumenyana na Ruvu Shooting kuanza saa 10.30 jioni. Mahasibu wa soka nchini, Sim

Super Sport Yaitangaza Tanzania Kimataifa Katika Medani Ya Michezo Kwa Kuzindua Wiki Ya Soka Tanzania

Meneja Mkuu wa Multichoice Tanzania Bw. Peter Fauel akifafanua ujio wa Super Sport nchini Tanzania na kuipongeza TFF kwa kuonyesha ushirikiano na kuwa Chaneli hiyo itaonyesha mechi tano za Ligi ya Tanzania kuanzia leo Ijumaa Septemba 28 hadi Jumatano Oktoba 3 mwaka 2012

Soma Mwananchi

Al-Shabaab wakaribia kuipoteza Kismayo

Jeshi la Umoja wa Afrika nchini Somalia (AMISOM) pamoja na Jeshi la Kenya wamethibitisha kupambana na wanamgambo wa al-Shabaab ndani ya mji wa bandari wa Kismayo, wakidai kukaribia kuuchukua mji huo muhimu kimkakati. "Lengo la AMISOM ni kuwakomboa watu wa Kismayo na kuwawezesha kuendelea na maisha yao kwa amani, utulivu na usalama. Operesheni zetu zinaendelea kulenga shabaha maalum za al-Shabaab mjini Kismayo," alisema Kamanda Andrew Gutti wa AMISOM, akiwataka wapiganaji wote wa al-Shabaab walio ndani ya Kismayo kuweka chini silaha zao. Katika hatua nyengine, Jeshi la Kenya limesema kwamba wapiganaji wake wamelichukua eneo la kusini ya Kismayo, ngome ya mwisho ya kundi la al-Shabaab. Msemaji wa Jeshi hilo, Cyrus Oguna, aliliambia shirika la habari mapema leo kwamba wanajeshi wa Kenya walikumbana na upinzani mdogo wakati wa kuliteka eneo hilo. Al-Shabaab, wakaazi wa Kismayo wakanusha Hata hivyo, wakaazi wa huko pamoja na wanamgambo wa al-Shabaab wamekanus

Hajj commission suspends all flights to Mecca

With the on-going diplomatic row between Nigeria and the Kingdom of Saudi Arabia over the detention of almost 1,000 female pilgrims and deportation of 171 females for coming to Hajj without male companions, the National Hajj Commission of Nigeria (NAHCON) has temporarily suspended all Hajj flights for the next 48 hours. This was announced in a statement on Thursday, signed by Abdullahi Mukhtar Muhammad, despite the optimism expressed by the Saudi Arabian ambassador to Nigeria. The ambassador, Mr. Khaled Abdrabuh, had earlier stated that the controversy over the detention of 908 female Nigerian pilgrims in Saudi Arabia and the deportation of some will be resolved later today. According to the statement, the Hajj Commission claimed it has been “compelled to temporarily suspend all Hajj flights for the next 48 hours”, “following the unprecedented and worrisome development of detaining over 1000 female pilgrims from Nigeria at the King Abdulazeez International Airport Jeddah a

Obama urges unity against global extremism

Barack Obama, the US president, has challenged the international community to confront the causes of turmoil in the Middle East, saying the attacks on US citizens in Libya "were attacks on America'' and the world faces "a choice between the forces that would drive us apart and the hopes we hold in common''. Obama's speech to an annual gathering of world leaders at the UN General Assembly on Tuesday, was his last before the November election, and campaign politics shadowed his words as he also spoke forcefully on Iran's nuclear programme, the violence in Syria, the peace prospects between Israelis and Palestinians and the tensions that can come with freedom of speech.

JK awaapisha Mnadhimu Mkuu wa JWTZ na Mkuu wa JWTZ leo Ikulu Dar es salaam

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete akimuapisha Mnadhimu Mkuu wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) Luteni Jenerali Samuel Albert Ndomba leo Ikulu jijini Dar es salaam Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete akimjuapisha Meja Jenerali Raphael Mugoya Muhuga Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, Waziri Mkuu Mizengo Pinda, Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Mhe Shamsi Vuai Nahoda na Mkuu wa Majeshi Jenerali Davis Mwamunyange katika picha ya pamoja na Luteni Jenerali Samuel Albert Ndomba na Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) Meja Jenerali Raphael Mugoya Muhuga   Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete katika picha ya pamoja na wakuu wa vikosi vya Ulinzi na Usalama na waapishwa   Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

RICH KUOZEA JELA?

Single Mtambalike ‘Rich'. Hamida Hassan na Gladness Mallya   TUHUMA zinaonesha kwamba muigizaji Single Mtambalike ‘Rich’ amezoea kupiga wenzake na kuwajeruhi lakini tukio la sasa linaweza kumfanya aozee jela. Kwa sasa, Rich anatuhumiwa kumpiga na kumjeruhi, mpigapicha za video wa Televisheni ya Taifa, TBC1, Moses Friday. Kwa mujibu wa Friday, Rich amemkongoa meno saba na kumvunja taya, hivyo kumsababishia maumivu makali ya kinywa. Habari zinasema kuwa Rich alichukizwa na kitendo cha Friday kumpiga picha, hivyo akaamua kumvaa, akampiga ngwala kabla ya kumshushia ngumi mfululizo zilizomsababishia akongoke meno na kuvunjika taya. Awali, chanzo chetu kilisema kuwa Friday na Rich walikutana Sinza, Mapambano, Dar es Salaam, nyumbani kwa muigizaji, Gladys Chiduo ‘Zipompa’.

MAONYESHO YA SARAKASI YA TIGO MAMA AFRICA YAFUNGULIWA DAR

Trade Marketing Supervisor wa Kampuni ya Simu za Mkononi ya TIGO Gaudens Mushi (kulia) akizungumzia maonyesho hayo ambapo amefafanua kuwa kuanzia tarehe 27 Septemba hadi Novemba 4 mwaka huu maonyesho ya sanaa ya sarakasi yatafanyika katika ukumbi wa Mancom Centre-New World Cinema Mwenge yakiambatana na programu ya nyimbo za kitamaduni na za kisiasa, upindaji wa viungo, michezo ya viini macho, michezo ya angani, michezo ya Piramidi, michezo ya Ufito na boriti. Mkurugenzi Mkuu wa Mancom Entertainment Bw. Costantine Magavilla akizungumza na vyombo vya habari ambapo amesema maonyesho ya mwaka huu hayatakuwa tu bora bali pia yatakuwa ni maonyesho ambayo yanatukuza na kuunga mkono sanaa na utamaduni wa Tanzania. Pichani ni Baadhi ya wanasanaa hao wakionyesha sanamu mfano wa mamba ikitembea wakati wa maandalizi ya maonyesho hayo.

Ulaya Yasitisha Msaada Kwa Rwanda

Muungano wa Ulaya umeamua kusitisha msaada kwa Rwanda.Uamuzi wa Muungano huo umefikiwa kufuatia ripoti ya baraza la usalama la Umoja huo iliyodai kwamba Rwanda inaunga mkono waasi wa M23 dhidi ya serikali ya Congo.  Taarifa zinazohusiana Waasi hao wanadhibiti kimabavu sehemu kubwa ya Mashariki mwa Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo na hata kuwatoza kodi wananchi. Kundi hilo lilianza uasi katika eneo hilo mwezi Aprili na kusababisha takriban watu nusu milioni kukimbilia usalama wao.Lakini Rwanda imeendelea kukana madai hayo.  Umoja wa Mataifa unafanya mkutano na baadhi ya yatakayopewa kipaombele kwenye mkutano huo ni swala la mgogoro huo Mashariki mwa Congo. Mapema mwezi Julai Marekani ilizuia dola 200,000 zilizokusudiwa kulisaidia jeshi la Rwanda.Msaada wenyewe uliokatwa siyo mkubwa kwa jeshi la Rwanda, lakini hatua hiyo ilitoa ishara kubwa. Kwa kukata msaada huo, Marekani ni kama ilikuwa inasema "tunaamini ripoti kuwa Rwanda inatibua usalama wa kanda hi

Tanzania Delegation hand-in-hand as UN High-Level Debate kicks off

President of the General Assembly, Vuk Jeremic, today opened the High-Level Debate of the Sixty-Seventh Session and said that “those who drafted the UN Charter understood that when nations feel secure, they are much more likely to unclench their fists and give the process of peacefully settling disputes a genuine chance to suceed.” Hon. Bernard K. Membe (MP) (right), listens to U.S. President Barack Obama as he addresses the UN High-Level Debate of the 67th Session today in New York, USA. Second Left is Hon. Abubakar Khamis Bakary, the Minister for Justice and Constitutional Affairs in the Revolutionary Government of Zanzibar and Ambassador Tuvako Manongi (left), Permanent Representative of the United Republic of Tanzania to the United Nations. Other members of Tanzania Delegation included Chief Secretary Ambassador Ombeni Y. Sefue (behind right) and Ambassador Liberata Mulamula (behind right), Senior Advisor to President Kikwete (Diplomatic Affairs). In

Jinsi CCM inavyowachukia watetezi wa Umma na kuwabeba wabadhirifu wa mali za Uma

Kamati Kuu (CC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) imebariki kuondolewa kwa majina ya baadhi ya vigogo wakiwamo wabunge kuwania nafasi ndani ya chama hicho, maamuzi yanayotoa picha ya kung’oa watu wenye tuhuma mbalimbali. Kwa mujibu wa habari kutoka ndani ya kikao hicho, kazi kubwa ambayo imefanywa na Kamati ya Usalama na Maadili ya chama hicho iliungwa mkono na CC, huku wajumbe wa vikao hivyo viwili wakimpongeza Mwenyekiti wa chama hicho, Rais Jakaya Kikwete, kwa kuridhia maamuzi magumu. Kikao cha CC ambacho kilifanyika juzi kuanzia mchana na kumalizika saa 6:30 usiku, kilielekeza shoka lake kwa majina yote ya wabunge waliowania nafasi ya ujumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ambao walihusika katika utiaji saini azimio la kumung’oa Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, mapema mwaka huu. Wabunge hao walisaini katika fomu maalum iliyoandaliwa na Mbunge wa Kigoma Kaskazini (Chadema), Zitto Kabwe, kwa ajili ya kupiga kura ya kutokuwa na imani na Waziri Mkuu. Wabunge

U Mad?: What Happened to the Angry Black Man?

by TRUTH Minista Paul Scott    No Comments             1 Vote Share with Shortlink: “Every show you see me in/ deep concentration/ cuz I’m no comedian” – “ I Ain’t No Joke”, Eric B and Rakim There was a time when Hip-Hop artist “Bro4Real “ put fear in the heart of America, as he was this country’s biggest nightmare – an angry Black man on a mission. Every time he picked up the mic, there was the threat that he would spark an uprising in every ‘hood in America. But that was before he went Hollywood and found out there was more money in making kiddie movies. Now you can catch him at Wally World some weekends, signing autographs for little White kids whose parents he once scared to death… Back in 2003, Cam’ron created a catchphrase when he put Fox News commentator Bill O’Reilly on blast with two simple words: “You mad?” Almost a decade later, if you asked the same question

Membe meets USAID Chief in New York

  The Minister for Foreign Affairs and International Cooperation, Hon. Bernard Kamilius Membe has met with the Administrator of the United States Agency for International Development (USAID), Dr. Rajiv J. Shah, at the Double Tree by Hilton Hotel in New York City yesterday. Minister for Foreign Affairs and International Cooperation, Hon Bernard Membe (R) as pictured with Boss of United States Agency for International Development (USAID), Dr. Rajiv J Shah in New York City yesterday (Thanks to Moblog) In the meeting Membe discussed with the USAID Chief about different issues but dominant one was the implementation of the G8 Summit Declaration of May 2012, along the lines of G8’s New Alliance for Food Security and Nutrition Program. Dr. Shah expressed satisfaction in President Jakaya Mrisho Kikwete’s leadership in championing for the Program. “I hope the Government of the United States of America is ready to expand the beneficiary countries to this Program to inclu

Mali inataka msaada wa jeshi la kimataifa kuidhibiti sehemu ya kaskazini

Mali imeuomba Umoja wa Mataifa utoe kibali cha haraka kwa jeshi la kimataifa liisaidie serikali ya nchi hiyo izidhibiti tena sehemu za kaskazini ya nchi hiyo. Habari hiyo imetolewa na waziri wa mambo ya kigeni wa Ufaransa, Laurent Fabius. Nchi hiyo ya Afrika magharibi ilitumbukia katika michafuko mwezi Machi mwaka huu, pale wanajeshi walipompindua kutoka madarakani rais, hivyo kuweko pengo wazi la madaraka. Hali hiyo iliwawezesha waasi wa Ki-Tuareg kutwaa thuluthi mbili ya nchi hiyo. Lakini makundi ya kiislamu, baadhi yao yakiwa na ushirikiano na mtandao wa Al-Qaeda, yaliuteka nyara uasi huo katika sehemu za kaskazini ya nchi na kuanzisha kutekelezwa sheria za kiislamu. Akiiashiria barua iliopelekwa na viongozi wa mpito wa Mali kwa katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki-moon, hapo Septemba 18, Laurent Fabius alisema Mali imeomba lipitishwe azimio la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa chini ya Ibara ya Saba ya Hati ya Umoja huo ili kutolewe kibali cha kutumiwa