Skip to main content

Pinda aihofia CHADEMA


=WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda, amesema Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kiko jirani na Chama cha Mapinduzi (CCM). Pinda alitoa kauli hiyo juzi wilayani hapa kabla ya kuanza ziara yake katika Vijiji vya Bugulula na Senga wilayani Geita kwa ajili ya kuzindua miradi ya maendeleo.

Katika kijiji cha Bugulula, Waziri Mkuu alizindua mradi wa ufugaji wa kisasa wa nyuki na Senga alifungua jengo la kliniki ya baba, mama na watoto.

Wakati Waziri Mkuu akitoa kauli hiyo, alikuwa akimtambulisha Mbunge wa Bukombe, Profesa Kulikoyela Kahigi (CHADEMA).

Baada ya kauli hiyo, baadhi ya viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na serikali walionekana kucheka.

“Mkuu wa Mkoa, ngoja, ngoja kwanza, Profesa Kahigi hebu simama, unajua wengi hawakujui, ndugu zangu, huyu hapa (Profesa Kahigi) ni Mbunge mwenzangu ingawa yeyé yuko Jimbo la Bukombe, kupitia kile chama kilicho jirani yetu.

“Hamuwezi kuamini, pamoja na kwamba ni Mbunge kupitia hiki chama kilicho jirani yetu, ninachotaka kusema ni kwamba huyu ni rafiki yangu mkubwa, tena naweza kusema hakuna rafiki yangu mkubwa kama ilivyo kwa Profesa Kahigi,”alisema Waziri Mkuu Pinda na kusababisha viongozi wote waliokuwa eneo hilo kuvunjika mbavu kwa kicheko.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.