Bondia Fransic Cheka akinyooshwa mkono juu na mmoja wa mashabiki wa
Kigeni waliokuja kuangalia mpambano wake dhidi ya Karama Nyilawila Cheka
alishinda katika raundi ya sita baada ya karama kusalimu amri kushoto
ni Rais wa PST Emanuel Mlundwa na wa pili kulia ni mgeni rasmi Kamanda
wa polisi wa Kanda Maalumu Mkoa wa Dar es salaam Suleiman Kova.Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
Comments