Skip to main content

YANGA YASALIMU AMRI KWA FIFA

KLABU ya Yanga imeahidi kuyafanyia kazi malalamiko ya mchezaji wake wa zamani, John Njoroge na Kocha Kostadin Papic yaliyowasilishwa kwa Shirikisho la Soka la Dunia (FIFA).
Makamu Mwenyekiti wa Yanga, Clement Sanga alisema mjini Dar es Salaam jana kuwa, wamepokea taarifa ya malalamiko hayo kutoka kwa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF).
"Haya mambo hatukuwa tukiyajua, tumeyakuta kwa uongozi uliopita, lakini baada ya kupokea taarifa hizi, hatuna budi kuyashughulikia,"alisema.
Sanga alisema watahakikisha suala hilo linashughulikiwa kikamilifu ili kuiepusha klabu hiyo na hatari ya kufungiwa ama kushushwa daraja.
Papic amefungua mashitaka FIFA dhidi ya Yanga, akidai malimbikizo yake ya mishahara, inayokadiriwa kufika dola 12,300 za Marekani (sh. milioni 17) wakati Njoroge anatakiwa kulipwa sh. milioni 17 kutokana na klabu hiyo kukatisha mkataba wake kienyeji miaka mitatu iliyopita.
Katibu Mkuu wa TFF, Angetile Osiah alikaririwa juzi akisema kuwa, walijaribu kuwasiliana na viongozi wa Yanga ili Papic asiwasilishe malalamiko hayo, lakini juhudi zao hizo hazikuweza kufanikiwa.
Yanga imetakiwa kuwasilisha vielelezo vyake FIFA kuhusu malalamiko hayo ya Papic, vinginevyo huenda ikakumbana na adhabu ya kushushwa daraja ama kuzuiwa kuajiri makocha wa kigeni.
Njoroge aliishtaki Yanga kwa FIFA na kushinda kesi yake iliyoamuliwa Januari mwaka huu na Kitengo cha Usuluhishi wa Migogoro cha shirikisho hilo.
Ushindi wa Njoroge unamaanisha kwamba, iwapo Yanga itashindwa kumlipa mchezaji huyo, itapokonywa pointi katika mechi zake za ligi na kushushwa daraja.Inatoka kwa mdau.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...