Skip to main content

Posts

Showing posts from October, 2012

NSA JOB KWENDA INDIA KWA MATIBABU ZAIDI A YA KUVUNJIKA KWA GOTI

Mshambuliaji wa Coastal Union ya Tanga, Nsa Job akiwa amefungwa bandeji gumu (POP) baada ya kuvunjika goti wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara dhidi ya JKT Ruvu uliofanyika juzi kwenye Uwanja wa Chamazi Complex jijini Dar es Salaam. Katika mchezo huo Coastal Union ilishinda 3-0. (Picha na Habari Mseto Blog)

BANDAMA, INI VINAMTESA MTOTO HUYU

Na Haruni Sanchawa “UKIONA mwezio ananyolewa na wewe tia maji maana yake kuna siku nawe yanaweza kukufika.” Hiyo ni kauli ya mama aliyejitambulisha kwa jina la Felister Ramadhan kutoka mkoani Manyara ambaye amefika jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kumuuguza mwanaye anayeugua bandama na ini.Felister aliliambia gazeti hili maeneo ya Tegeta Msichoke katika Manispaa ya Kinondoni hivi karibuni kuwa, mwanaye aitwaye Magdalena Daniel (7) hali ya afya yake ilianza kudhoofu alipofikisha miaka miwili tangu kuzaliwa. Mama huyo kwa masikitiko makubwa alikuwa na haya ya kusema:“Tatizo la mwanangu ni bandama na ini. Vipimo vilionyesha viungo hivyo vina matatizo, nikashauriwa nije katika hospitali kubwa ndiyo maana nipo hapa. “Mimi sina uwezo wa kugharamia matibabu na mume wangu naye ni mgonjwa, niliamua kuja Dar lakini ile nauli ya kwenda Hospitali ya Muhimbili nayo inanishinda.” Naye Mjumbe wa Serikali ya Mtaa wa Tegeta Msichoke, Clemence Ngusa alimwa

WATAJWA KUGOMBEA TUZO YA MCHEZAJI BORA WA DUNIA

Sergio Aguero (Argentina, Manchester City) Mario Balotelli (Italy, Manchester City) Karim Benzema (France, Real Madrid) Gianluigi Buffon (Italy, Juventus) Sergio Busquets (Spain, FC Barcelona) Iker Casillas (Spain, Real Madrid) Didier Drogba (Ivory Coast, Chelsea and Shanghai Shenhua) Radamel Falcao (Colombia Atletico Madrid) Zlatan Ibrahimovic (Sweden AC Milan, and Paris-SG) Andrés Iniesta (Spain, FC Barcelona) Lionel Messi (Argentina FC Barcelona) Manuel Neuer (Germany, Bayern Munich) Neymar (Brazil, Santos) Mesut Özil (Germany, Real Madrid) Gerard Piqué... Read More

Gazeti la Kiu

Ayoub Rioba Atetea Andiko Lake

  Ayub Rioba dissertation Tampere Ayub Rioba dissertation Tampere 004 Prof Kaarle Nordenstreng, Dr Rioba and Prof Audrey Gadzekpo  defending of the doctorate dissertation of SJMC lecturer and former MISA chairperson Ayub Rioba today at the University of Tampere in Finland. The title of the dissertation is "Media Accountability in Tanzania´s multiparty Democracy  Does self-regulation work?"

Push To Improve Service Delivery

             NEWS RELEASE New Push to Improve Service Delivery to 2.6 million Tanzanians US$255 million to strengthen 18 local governments WASHINGTON, October 24, 2012  – The World Bank Board of Executive Directors yesterday approved an International Development Association (IDA*) credit of US$255 million for a new initiative to improve financial management performance of 18 local governments and strengthen their ability to deliver urban services to 2.6 million Tanzanians. The Urban Local Government Strengthening Program (ULGSP) will use the Bank’s new financing instrument known as Program-for-Results (P for R) that directly links disbursement of funds to verified development results.  The program will deliver a range of improvements in urban services, including construction of small bridges, installation of street lights, and improved waste management among others.  The capacity-building component will support urban planning, revenue mobilization, streng

Kikwete calls for free views on Katiba

By AMINA JUMA President Jakaya Kikwete has called on the public to freely air their views on the new constitution when the Constitutional Review Commission visits their regions. President Jakaya Kikwete He said that the idea behind collecting views on the new constitution is to ensure that the document benefits all Tanzanians.Mr Kikwete made the call on Sunday during a public rally in Same District, saying that contributions from the public would make the new constitution people friendly. He said that members of the commission were keen to make sure that all views were accommodated in the constitution.The commission is currently collecting views in Kilimanjaro Region, among others.The president noted that the commission is expected to cover all districts in all regions in the country to make sure that everyone is reached. President Kikwete is on a four day working tour of Kilimanjaro Region and he laid a foundation stone for eight houses for vi

Kimbunga Sandy kimeharibu vibaya baadhi ya Majimbo ya Marekani mwa Mashariki

Kwa Mujibu wa taratibu zinavyokwenda Atlantic City tayari imeshavamiwa na kimbunga na hapa mitaa yetu ambapo tupo kando kando kitaapita mida ya saa tisa mchana yani 3:PM na kinatarajiwa kuungana na vimbunga vingine viwili kutoka kaskazini na kusababisha hali mbaya ya hewa itakayotanda kwa upana wa kilomita 1,200 na kuathiri wakazi milioni 60. Mitaa ya Norfolk, Virginia nako tayari kumeshazongwa na wimbi la Hurricane Sandy Atlantic City nako kumeshafamiwa na kimbunga kinachoendelea hivi sasa! Wakaazi wa mji wa Milford, Connecticut wakionekana kusukuma gari lililonasa katika Maji yaliosababishwa na Kimbunga kinachoendelea baadhi  maeneo ya mashariki mwa Marekani. Mti uliopata dharupa ya kimbunga katika mitaa ya Hoboken,jijini New Jersey Hali inazidi kutia simazi dhidi ya dharuba ya kimbunga kikali kinachoendelea Maeneo mwa Mashariki mwa Marekani hii hapa picha ya nyumba ilioelemewa na Mti mkubwa katika maeneo Delaware County, Jijini Pennsylvani Bad

Saudi Arabia declares hajj 2012 one of the most successful

Saudi Arabia said the number of pilgrims ranged this year between 3.16 to 3.65 millions, blaming the inaccuracy on the enormous number of unregistered pilgrims. (AFP) By AL ARABIYA WITH AGENCIES Hajj 2012 was one of the most successful Muslim pilgrimage seasons despite the enormous number of close to 4 million pilgrims, said on Sunday Saudi Prince Khalid al-Faisal, Governor of Mecca Region and Chairman of Central Hajj Committee. In a press conference held in Mecca, the prince said the number of pilgrims ranged this year between 3.16 to 3.65 millions, blaming the inaccuracy on the enormous number of unregistered pilgrims. This huge number of unregistered pilgrims has caused many problems for the hajj organizing committee, he said. He pointed out that there were more than 120,000 security men had been mobilized to provide services for pilgrims, in addition to 10,000 vehicles, 25 civil defense helicopters and public security 20 helicopters operated b

Zitto Kabwe:'' Tutaweka wazi majina ya Watanzania wenye akaunti Uswiss kwa utaratibu na umakini.Nitataja orodha hiyo Bungeni na kamwe sitataja nje ya Bunge. Hii ni kazi kubwa inahitaji utulivu.”

Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA na Mbunge wa Kigoma Kaskazini (CHADEMA), Zitto Kabwe --- “ Kwa nchi za wenzetu magazeti ya uchunguzi yanafanya kazi hizi. Kwetu magazeti yanasubiri wanasiasa wafanye. Orodha ya Watanzania wenye akaunti Uswiss inakuja. Hoja Binafsi kuhusu suala hili imeruhusiwa na sasa naandaa maelezo ya Hoja. Sio suala la kutaja orodha tu bali pia hatua za kuchukua dhidi ya fedha hizo na wenye fedha haramu zilizofichwa huko. Zitto Kabwe Kuna baadhi ya Watanzania wenzangu wanabeza kazi hii. Ninachowaambia sitakata tamaa. Ninaifanya kazi hii kwa umakini mkubwa kwa kuwa najua uhatari wake. Sikurupuki tu. Ninafanya kazi hii kwa niaba ya Kambi ya Upinzani nikiwa Waziri kivuli wa fedha. Hii ni kazi ya CHADEMA, sio kazi ya Zitto. Wengine wanasema mbona 'list of shame' tulitaja majina. Ni kweli. Lakini ilituchukua wiki kadhaa kutaja majina. Katika mkutano wa Jangwani wakati napokelewa kutoka Bungeni baada ya kusimamishwa ubunge kufuati

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging

Obama, Romney wayalenga majimbo yasiyoegemea upande wowote

Rais Obama akiwa katika kampeni za urais huko Las Vegas, Nevada October 24, 2012. Rais wa Marekani Barack Obama anafanya kampeni zake nchi nzima Alhamis huku mpinzani wake Mitt Romney wa chama cha Republican analenga juhudi zake za kampeni kwenye jimbo muhimu la Ohio. Obama amepita kufanya kampeni Alhamis katika majimbo ya Florida, Virginia, Illinois na Ohio. Huko Illinois atapiga kura yake ya uchaguzi mkuu wa mwaka huu akizingatia kwamba ni makazi aliyokulia kabla ya kuingia White House na vile vile jimbo hilo lina sheria iliyopitishwa kwa kila mtu anayestahiki kupiga kura anaweza kupiga kura yake siku kadhaa kabla ya siku ya mwisho ya uchaguzi mkuu. Vituo vingine vitatu ni kwa ajili ya kampeni za kuwahamasisha wapiga kura ambao bado hawajaamua wampigie nani kura katika uchaguzi mkuu wa urais. Anatarajiwa kurudi Washington Alhamisi jioni. Wakati huo huo bwana Romney ataendelea kuwepo katika jimbo la Ohio akitembelea miji ya Cincinnati, Worthington na De

Mustafa Hassanali Launches AFRILAAL In South Africa

OMOTOLA: NOLLYWOOD SASA NI HABARI NINYINGINE HOLLYWOOD

Achengua mashabiki katika uzinduzi wa filamu yake mpya ya Amina LONDON, Uingereza MCHEZA filamu nyota wa kike wa Nigeria, Omotola Jalade amesema fani hiyo inaweza kupiga hatua kubwa zaidi kimaendeleo kuliko Marekani. Omotola alisema hayo mwishoni mwa wiki iliyopita alipokuwa akihojiwa katika kipindi cha Focus on Africa kilichorushwa hewani na kituo cha televisheni cha BBC. Mwanadada huyo mwenye sura na umbo lenye mvuto alisema, kwa sasa Wanigeria (Nollywood) wamepiga hatua kubwa katika fani ya filamu na wanakaribia kuwapiku Wamarekani (Hollywood). Alisema hilo linatokana na kiwango cha filamu za Kinigeria kuwa juu na kukubalika na mashabiki wengi katika sehemu mbali mbali duniani. Omotola alisema kwa sasa, filamu za Kinigeria zinaweza kuingia kwenye ushindani na zile za Hollywood. Mwanadada huyo, ambaye ni mama wa watoto wanne, aliwekuwepo mjini London kwa ajili ya uzinduzi wa filamu yake mpya, inayojulikana kwa jina la Amina. Uzinduzi wa filamu hiyo ulihudhuriwa n

Gazeti la Sani

GUARDIOLA, CAPELLO WAMMWAGIA SIFA FALCAO

MADRID, Hispania MSHAMBULIAJI Radomel Falcao wa klabu ya Atletico Madrid ya Hispania yupo njia panda baada ya klabu za Chelsea ya England na Real Madrid kumtolea udenda huku zikipigana vikumbo kuwania saini yake. Mshambuliaji huyo wa kimataifa wa Colombia kwa sasa ndiye tegemeo kubwa la Atletico Madrid, ambayo imeshatamka wazi kuwa haina kipingamizi cha kumuuza. Atletico Madrid imesema itamuuza Falcao wakati wa usajili wa dirisha dogo Januari mwakani, iwapo klabu inayomtaka itakuwa tayari kulipa ada ya uhamisho ya pauni milioni 45. Kwa upande wake, Falcao (26) ametoa masharti ya kupatiwa mkataba wa miaka minne na mshahara wa pauni milioni tano kwa mwaka baada ya kukatwa kodi. Chelsea ndiyo inayopewa nafasi kubwa ya kumsajili Mcolombia huyo kutokana na ukweli kwamba, haitakuwa rahisi kwa Falcao kujiunga na Real Madrid, ambao ni wapinzani wakubwa wa Atletico Madrid. Chelsea imekuwa na uhusiano mzuri na wawakilishi wa Falcao, akiwemo wakala maarufu, Jorge Mendes.

SIMBA YAITOA NISHAI AZAM, YANGA YAPAA

SIMBA jana iling'ara katika michuano ya soka ya ligi kuu ya Tanzania Bara baada ya kuichapa Azam mabao 3-1 katika mechi iliyopigwa kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Mshambuliaji Emmanuel Okwi kutoka Uganda ndiye aliyeing'arisha Simba baada ya kuifungia mabao mawili kati ya matatu. Bao lingine lilifungwa na Felix Sunzu. Azam ilikuwa ya kwanza kupata bao kupitia kwa mshambuliaji wake nyota, John Bocco, ambaye alishindwa kuendelea na mchezo baada ya kuumia dakika ya 20. Ushindi huo uliiwezesha Simba kuendelea kuongoza ligi hiyo ikiwa na pointi 22 baada ya kucheza mechi 10, ikifuatiwa na Yanga yenye pointi 20 na Azam yenye pointi 18. Yanga ilichupa nafasi ya pili baada ya jana kuichapa JKT Oljoro bao 1-0 katika mechi iliyopigwa kwenye Uwanja wa Sheikh Amri Abeid mjini Arusha. Bao pekee na la ushindi la Yanga lilifungwa na beki wa kimataifa wa Rwanda, Mbuyu Twite. Katika mechi zingine za ligi hiyo zilizochezwa jana, African Lyon ilitoka sare ya bao 1-1

Magazeti Leo

 

Nape Afunga Kambeni Za CCM Bugarama Kahama

  Nape akihutubia mamia ya watu katika mkutano wa kufunga kampeni za CCM za udiwani Kata ya Bugarama, Kahama mkoani Shinyanga.

Kukataa Posho Ilikuwa Unafiki

Mbunge wa Kigoma Mjini kupitia CCM Mhe Peter Serukamba amesema suala la baadhi ya wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupinga posho lilikuwa ni unafiki. Serukamba aliyasema hayo katika kipindi cha Makutano kinachoendeshwa na Fina Mango kupitia Magic FM. Fina aliuliza moja ya swali kutoka kwa wasilizaji ambapo alisema biashara ya kukataa posho ni unafiki tu huku akimwambia Fina ataje mbunge gani karudisha au kukataa posho, alisema "Tumeongezewa mafuta tumechukua, tumeongezewa vingine tumechukua hakuna ambaye amerudisha na next day ilipokuwa confirmed wengine wakaanza kukopa" huku akisema hakuna umuhimu wa kupinga posho za wabunge badala yake wabunge waombe serikali iwaongezee posho na watumishi wengine. Alipoulizwa kwa nini wasiiombe serikali ianze na sehemu nyingine kabla ya kuwaongezea mshahara wabunge akitolea mfano wa shirika la ndege la taifa ATCL Serukamba alijibu kuwa siku zote binadamu anaanza na "mimi" kabla hujawa

Kukataa Posho Ilikuwa Unafiki

Mbunge wa Kigoma Mjini kupitia CCM Mhe Peter Serukamba amesema suala la baadhi ya wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupinga posho lilikuwa ni unafiki. Serukamba aliyasema hayo katika kipindi cha Makutano kinachoendeshwa na Fina Mango kupitia Magic FM. Fina aliuliza moja ya swali kutoka kwa wasilizaji ambapo alisema biashara ya kukataa posho ni unafiki tu huku akimwambia Fina ataje mbunge gani karudisha au kukataa posho, alisema "Tumeongezewa mafuta tumechukua, tumeongezewa vingine tumechukua hakuna ambaye amerudisha na next day ilipokuwa confirmed wengine wakaanza kukopa" huku akisema hakuna umuhimu wa kupinga posho za wabunge badala yake wabunge waombe serikali iwaongezee posho na watumishi wengine. Alipoulizwa kwa nini wasiiombe serikali ianze na sehemu nyingine kabla ya kuwaongezea mshahara wabunge akitolea mfano wa shirika la ndege la taifa ATCL Serukamba alijibu kuwa siku zote binadamu anaanza na "mimi" kabla hujawaf

HASSANALI KUIWAKILISHA TANZANIA MAONYESHO YA MAVAZI AFRIKA KUSINI

Mbunifu maarufu wa mavazi kutoka Tanzania, Mustafa Hassanali ndiye Mtanzania pekee katika fani ya mitindo aliyepewa mualiko wa kushiriki katika maonyesho ya Wiki ya Mitindo Afrika chini ya African Fashion International (AFI) yatakayofanyika kwa siku nne kuanzia tarehe 24-28 Oktoba, 2012 katika ukumbi wa Melrose Arch, jijini Johannesburg, Afrika ya Kusini. Mashindano hayo yanayodhaminiwa na kampuni ya kutengeneza Magari ya Mercedes-Benz yanatarajiwa kuwashirikisha wabunifu wa mavazi zaidi ya 35 kutoka sehemu mbalimbali barani Afrika, baadhi ya nchi hizo ni wenyeji Afrika ya Kusini, Ivory Coast, Morocco, Msumbiji, Cameroon, Rwanda, Angola, DRC, Nigeria, Ghana na Tanzania. “Ni maonyesho ya pekee na yenye heshima yake barani Afrika na hata duniani kwa ujumla kwani wabunifu walioalikwa ni wazoefu na bora katika fani ya Mitindo barani Afrika. Hivyo mwaliko wangu si tu utaweza kutangaza kazi ni nazofanya bali pia utasaidia kutangaza nchi yetu ya Tanzania kupitia maon

Vimbwanga vya Cossy Katika Siku Yake ya Kuzaliwa

LAGOS, Nigeria MWANADADA Cossy Orjiakor mwishoni mwa wiki iliyopita alifanya kioja cha mwaka baada ya kuwakaribisha wageni aliowaalika kwenye hafla ya siku yake ya kuzaliwa kwa kucheza muziki kwa staili ya aina yake. Mcheza filamu huyo, ambaye pia ni mwimbaji na mcheza shoo, aliandaa sherehe hiyo nyumbani kwake, nje kidogo ya mji wa Lagos na kuwaalika rafiki zake mbali mbali. Wakati wageni hao walipoanza kuwasili nyumbani kwake, mwanadada huyo aliyekuwa amevaa nusu uchi, alikuwa akiwakaribisha kwa kucheza dansi kwa staili ya kumwaga lazi. Baadhi ya wageni hao walionekana kufurahishwa na staili hiyo ya Cossy na kumtaka arudie kucheza mara kwa mara, lakini wengine walione aibu. Hafla hiyo ilihudhuriwa na wacheza filamu wachache pamoja na waandishi wa habari wa vyombo mbali mbali. Cossy si mwigizaji maarufu sana nchini Nigeria, lakini ni machachari kutokana na kuandamwa na kashfa mbali mbali kwenye vyombo vya habari. Mwaka jana, Cossy aliamua kutengana na mpenz

Mwandishi mwengine auawa Somalia

Mwandishi wa habari katika jimbo lililojitenga na Somalia, Somaliland, ameuawa na watu waliokuwa wamejihami alipokuwa anarejea nyumbani kutoka kazini. Ahmed Farah Ilyas alikuwa mwandishi katika eneo Las Anod, mji ambao umekumbwa na msukosuko akifanyia kazi kampuni ya Somalia ya Universal TV.Kabla ya kuuwawa kwake, Farah alikuwa anafuatilia taarifa ya mlipuko wa mabomu ya ardhini ambayo serikali imelaumu Al Shabaab kulifanya. Ilyas ni mwandishi habari wa kumi na sita kuuawa nchini Somalia mwaka huu. Tangu kuong'olewa mamlakani kwa Rais Siad Barre mwaka 1991, Somalia daima imeshuhudia wanamgambo wa Somalia wakipigania udhibiti wa Somalia. Somaliland ilijitangazia uhuru wake baada ya kung'olewa kwa Barre na imekuwa salama ikilinganishwa na Somalia. Eneo la Sool liko katika sehemu ambayo inadaiwa na jimbo la Puntland na imeshuhudia msukosuko siku za hivi karibuni. Mwandishi wa BBC Hagar Jibril ambaye yuko katika eneo jirani la B

Kenya kuzuia hotuba za chuki wakati uchaguzi unakaribia

Na Rajab Ramah, Nairobi Serikali ya Kenya imeweka miongozo mikali ya kikemea hatuba za chuki wakati nchi inajitayarisha kufanya uchaguzi mkuu mwezi Machi. Katibu Mkuu wa Baraza la maimamu na Wahubiri wa Kenya Sheikh Mohamed Dor akifikishwa katika mahakama ya Mombasa hapo tarehe 18 Oktoba ambako alishitakiwa kwa kuchochea vurugu. [Na AFP] Sheria hizo mpya, zinazoitwa "Miongozo ya Kuzuia Upelekaji wa Ujumbe wa Siasa Usiotakiwa kupitia Mitandao ya Mawasiliano ya Elektroniki", zilitangazwa mjini Nairobi siku ya Jumatano (tarehe 24 Oktoba). Miongozo hiyo itasimamia ujumbe zinazotumwa kupitia simu za mikononi pamoja na usambazaji wake katika mitandao ya kijamii ili kuhakikisha hakuna ujumbe za kuchokoza au kushawishi unatumwa katika Twitter au Facebook, alisema Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari na Mawasiliano Bitange Ndemo. Miongozo hiyo inawataka wanasiasa kupeleka maandiko ya ujumbe wa kampeni zao na matangazo ya kisiasa kwa

Treni Ya Mwakyembe Yanukia Dar

Wafanyakazi wakipiga kazi m aeneo ya Tabata mwananchi. Inatoka kwa mdau.

Shikamoo Pesa!

MY NAME IS ERICK artist name KINGKAPITA before was known as RICHBOI from Tanzania Dar es Salaam HIPHOP artist wit HIT banger HERE WE GO wen with WAKACHA - JUx, gigga FLO, NAS 3, ACHAAAaa with ma boy NAS 3 and MTOTO MLITO by Nas 3 as ma crew members. Hii sasa ni new hit club banger SHIKAMOO PESA niliyomshirikisha TASH mzee wa CHAPIA mulemule kutoka arachuga,Wimbo umerekodiwa katika STUDIO za ROCCANA BASEMENT chini ya producer jimmy jizze na mastering kumaliziwa HOME TOWN record chini ya master Traveller naomba support yenu sana wadau!! ASANTENI MUNGU BARIKI KAZI YA MIKONO YANGU, MUNGU BARIKI MUZIKI WA TANZANIA .Inatoka kwa mdau.

Tino Katika Harakati za Kipelelezi

MCHEZA filamu machachari wa Tanzania, Hissan Muya 'Tino' ameibuka na movi mpya kali inayokwenda kwa jina la CID. Akizungumza mjini Dar es Salaam wiki hii, Tino alisema filamu hiyo inahusu mambo ya upepelezi dhidi ya mtandao wa majambazi na wauaji. Tino alisema filamu hiyo inatarajiwa kuzinduliwa rasmi kesho katika onyesho litakalofanyika kwenye ukumbi wa Business Park, ulioko Mikocheni, Dar es Salaam. Alisema uzinduzi wa filamu hiyo utapambwa na burudani mbali mbali, zikiwemo muziki wa dansi na kizazi kipya. Mcheza filamu huyo mwenye mvuto alisema, kwa sasa ameamua kuachana na filamu za mapenzi, badala yake atakuwa akicheza filamu za mapigano. Alisema uamuzi wake huo umelenga kupiga hatua kubwa zaidi kimaendeleo katika fani hiyo baada ya kubaini kwamba, filamu za mapenzi hazina mvuto mkubwa kwa mashabiki. Tino, ambaye amecheza filamu zaidi ya 20 alisema, mbali na filamu za mapigano, atakuwa akicheza filamu zenye mwelekeo wa kuielimisha jamii juu ya masu

MILOVAN AWATOSA BOBAN NA NYOSO

KOCHA Mkuu wa Simba, Milovan Cirkovic amesema hajutii kuwakosa beki Juma Nyoso na mshambuliaji Haruna Moshi 'Boban', ambao wamesimamishwa na uongozi kwa muda usiojulikana. Kocha huyo kutoka Serbia ameelezea msimamo wake huo siku moja baada ya uongozi wa Simba kutangaza kuwasimamisha wachezaji hao kwa makosa ya utovu wa nidhamu. Milovan alisema wachezaji hao wanastahili adhabu waliyopewa na uongozi kwa vile wamekithiri kwa utovu wa nidhamu na pia ni chanzo cha timu kufanya vibaya katika michuano ya ligi. Kocha huyo alisema, licha ya wachezaji hao kuwa muhimu kwenye kikosi chake na kusimamishwa kwao ni pengo katika timu, suala la nidhamu ni la muhimu zaidi kuliko mchezaji binafsi. "Boban na Nyoso ni wachezaji wazuri na wanapokosekana katika timu huwa inapwaya, lakini mambo wanayofanya hayawezi kuvumilika,"alisema. Hata hivyo, Milovan alisema kikosi chake kinaundwa na wachezaji wengi wazuri, wakiwemo waliopandishwa daraja msimu huu, hivyo anaam

Katibu Wa BAKWATA Aliyepigwa Kwa Kitu Kinachodhaniwa Ni Bomu

Kupigwa kwa bomu nyumbani kwa Katibu wa Bakwata Mkoa wa Arusha Abdul Kareem Jonjo. Baadhi ya vongozi wa ulinzi na usalama Mkoa wa Arusha wakiongozwa na mkuu wa Mkoa wa Arusha wakiwa kwenye matukio mbali mbali nyumbani na hospitalini jijini hapa leo baada ya tukio la kupigwa kwa bomu kwa katibu huyo nyumbani kwake eneo la Mtaa wa Kanisani Kata ya Sokon 1 jijini hapa. (Picha na zote na Mahmoud Ahmad)

Magazeti ya Leo

Tuliwakumbusha, CCM Wajihadhari Na ‘Fedha Za Bhangi’

SIKU zote Waswahili wanasema: “Msemea sikioni siyo majinuni!” Hata hivyo, ni wachache wanaoweza kuzingatia yale wanayoambiwa na daima wanapoyafanyia kazi huwa wanapata matokeo mazuri.  Suala la rushwa ndani ya Chama cha Mapinduzi limekuwa sugu, wenye fedha wamekuwa wakilangua kura ili kupata uongozi, hata kama hawana sifa stahiki. Lakini pamoja na ‘Wenye hekima wa Babeli’ kutahadharisha madhara ya mchezo huo mchafu, bado wahusika wameziba masikio kwa nta, hawataki kusikia la Muadhini wala Mnadi Swala!  Matokeo yake CCM limekuwa kokoro kama alivyopata kusema Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere. Kokoro linalovua samaki na konokono kwa pamoja, na inahitajika busara na hekima kuweza kuchambua samaki na konokono hao ambao ni hatari mno.  Uongozi ndani ya CCM ni sawa na kutangaza zabuni, ambayo mwenye fedha nyingi ndiye anayeshinda na kupewa uongozi huo. Rushwa imekuwa kansa mbaya ndani ya CCM, fedha zinamwagwa nje nje na viongozi wao wanaangalia na kuchekelea

Millions of pilgrims head to Mina as hajj 2012 officially kicks off

Muslim pilgrims circle the Holy Kaaba and pray at the Grand mosque during the annual Hajj in the holy city of Mecca. (Info-graphic design by Farwa Rizwan) By AL ARABIYA WITH AGENCIES Millions of pilgrims arrived this week in Mecca for Islam’s annual Hajj (pilgrimage), which officially starts on Wednesday. Around four million pilgrims were heading to Mina, where they will spend their night before heading to the Mount of Arafat in the early hours of Thursday. Many pilgrims began leaving for Mina on Tuesday night after circumambulating the Holy Kaaba, the first house of worship on Earth, built by Adam. Prophet Ibrahim and his son Ismail rebuilt it some 5,000 years ago. Most Hajj rituals are related to Prophet Ibrahim, his wife Hager and his son Prophet Ismail, and thus reflect the unity of humanity. The Saudi government has given top priority to the security and safety of pilgrims and has deployed thousands of security forces in Mecca, Mina, Arafat an

Uholanzi Inaendeleaza Mipango yake ya kusaidia Mataifa Manane machanga Ulimwenguni.

Na Othman Khamis Ame Serikali ya Uholanzi inakusudia kuunga mkono harakati za Kiuchumi na Maendeleo katika Mpango wake wa kusaidia Mataifa Manane machanga Ulimwenguni. Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akibadilishana mawazo na Balozi wa Uholanzi Nchini Tanzania Dr. Ad Koek Koek hapo Ofisini kwake Mtaa wa Vuga Mjini Zabzibar. Balozi wa Uholanzi Nchini Tanzania Dr. Ad Koek Koek alieleza hayo wakati alipokuwa akizungumza na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi hapo Ofisini kwake Mtaa wa Vuga Mjini Zanzibar. Balozi Koek Koek alisema Mataifa hayo manane yaliyoko Latin Amerika pamoja na Afrika Tanzania ikiwa miongoni mwake yanatarajiwa kufaidika na Mpango utakaohusisha miradi ya pamoja kati ya Makampuni ya Uholanzi na yale ya Mataifa Washirika. Aliitaja miradi hiyo kuwa ni pamoja na utengenezaji wa Hospitali Kuu ya Mnazi Mmoja, Uwanja wa Ndege sambamba na Miundo mbinu ya Bara bara ambapo utekelezaji wake utaanz