Skip to main content

Viongozi wa Uamsho wapelekwa rumande baada yakunyimwa zamana


Na Khaleed Gwiji Zanzibar
Viongozi wa Uamsho wamepelekwa rumande baada ya Hakimu wa Mahakama ya Wilaya iliyopo Mwanakwerekwe, Zanzibar, kuwanyima haki yao ya dhamana.
Ulinzi katika Mahakama hiyo na maeneo yaliyo pembezoni mwake ulikuwa ni mkali mno asubuhi ya leohadi kumaliza kwa shauri husika.
Washtakiwa walipandishwa kizimbani mnamo majira ya saa tano akiwemo: Sh. Mselem, Sh. Farid, Sh. Azzan, Sh. Mussa, Sh. Suleiman, Sh. Khamis na Nd. Hassan. Wote walisomewa shtaka lao baada ya kusomwa Hati ya Mashtaka (Charge Sheet) na Wakili wa Serikali anaetoka Afisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka, Zanzibar ambayo pamoja na maelezo mengine, inaeleza shtaka hilo kuwa ni: matamko ya uchochezi yaliyopelekea kufanyika kwa fujo na uvunjifu wa amani yaliyotolewa tarehe 17, August, 2012, Magogoni, Zanzibar.
Baada ya washtakiwa kusomewa shtaka na wote kulikataa, Wakili wa Serikali aliiomba Mahakama kuipangia kesi tarehe nyengine kwa kuwa upelelezi hakuwa umekamilika.
Unade wa Mawakili wa washtakiwa ukiongozwa na Mh. Abdallah Juma na wenziwe wawili: Mh. Rajab na Mh. Suleiman kwa pamoja waliiomba Mahakama mambo mawili:
Moja, wapatiwe Hati ya Mashtaka (Charge Sheet) ili kupitia kwayo wataweza kuwatetea wateja wao kwa ubora zaidi.
Pili, waliiomba Mahakama kuwapatia washtakiwa wote 7 dhamana zao sio tu kwa kuzingatia kwamba dhamana ni haki ya washtakiwa ya Kikatiba; bali pia kutokana na nature ya shtaka lenyewe la incitement to violence ambalo ni kosa dogo (misdemeanour) na hivyo kulifanya kuwa ni bialable offence.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.