Skip to main content

Viongozi wa Uamsho wapelekwa rumande baada yakunyimwa zamana


Na Khaleed Gwiji Zanzibar
Viongozi wa Uamsho wamepelekwa rumande baada ya Hakimu wa Mahakama ya Wilaya iliyopo Mwanakwerekwe, Zanzibar, kuwanyima haki yao ya dhamana.
Ulinzi katika Mahakama hiyo na maeneo yaliyo pembezoni mwake ulikuwa ni mkali mno asubuhi ya leohadi kumaliza kwa shauri husika.
Washtakiwa walipandishwa kizimbani mnamo majira ya saa tano akiwemo: Sh. Mselem, Sh. Farid, Sh. Azzan, Sh. Mussa, Sh. Suleiman, Sh. Khamis na Nd. Hassan. Wote walisomewa shtaka lao baada ya kusomwa Hati ya Mashtaka (Charge Sheet) na Wakili wa Serikali anaetoka Afisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka, Zanzibar ambayo pamoja na maelezo mengine, inaeleza shtaka hilo kuwa ni: matamko ya uchochezi yaliyopelekea kufanyika kwa fujo na uvunjifu wa amani yaliyotolewa tarehe 17, August, 2012, Magogoni, Zanzibar.
Baada ya washtakiwa kusomewa shtaka na wote kulikataa, Wakili wa Serikali aliiomba Mahakama kuipangia kesi tarehe nyengine kwa kuwa upelelezi hakuwa umekamilika.
Unade wa Mawakili wa washtakiwa ukiongozwa na Mh. Abdallah Juma na wenziwe wawili: Mh. Rajab na Mh. Suleiman kwa pamoja waliiomba Mahakama mambo mawili:
Moja, wapatiwe Hati ya Mashtaka (Charge Sheet) ili kupitia kwayo wataweza kuwatetea wateja wao kwa ubora zaidi.
Pili, waliiomba Mahakama kuwapatia washtakiwa wote 7 dhamana zao sio tu kwa kuzingatia kwamba dhamana ni haki ya washtakiwa ya Kikatiba; bali pia kutokana na nature ya shtaka lenyewe la incitement to violence ambalo ni kosa dogo (misdemeanour) na hivyo kulifanya kuwa ni bialable offence.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

RAIS WA ZANZIBAR DKT. SHEIN AFANYA MAHOJIANO NA MAMLAKA YA VITAMBULISHO VYA TAIFA

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Ali Moh amed Shein,alipokuwa akifanya mahojiano na Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa kupitia ZBC TV na kutoa wito kwa Watanzania hasa wa Zanzibar kushiriki kikamilifu katika zoezi la uandikishaji vitambulisho hivyo,ambapo zoezi hilo  linatarajia kuwanza Oktoba 15 mwaka. Mazungumzo hayo yalifanyika Ikulu mjini Zanzibar leo,(kulia) Mtangazji wa ZBC TV Nasra Nassor. Picha na Ramadhan Othman,Ikulu

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...