Jijini Dar es Salaam hali si tofauti na hiyo maeneo ya Kariakoo maduka
kadhaa yamefungwa kufuatia vurugu kama hizo baada ya Swala ya Ijumaa
kufuatia pia kukamatwa kwa Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu
Tanzania Sheikh Ponda yamekuwa ni matokeo ya vurugu watu kukimbizana
huku Polisi wakidhibiti Usalama na Amani kuelekea harijojo.(Picha na
Maktaba).
Maeneo ya Posta karibu na Wizara ya Mambo ya Ndani Askari wameweka utepe
wa kudhibiti watu kuingia katika maeneo hayo kitendo kilichosababisha
shughuli nyingi kusimama.
Comments