Skip to main content

Muda wa Matukio: Waandishi wa habari wa Somalia waliouawa mwaka wa 2012


Na wafanyakazi wa Sabahi
Waandishi wa habari kumi na sita wameuliwa hadi sasa mwaka huu kwa mabomu na watu wenye silaha, jambo linalothibitisha kwa nini watetezi wa haki za vyombo vya habari, Waandishi wa Habari Wasio na Mipaka (RSF) wameuita mwaka 2012 kuwa "mwaka wa vifo" katika kumbukumbu za waandishi wa habari wa Somalia, kupita mwaka 2009 ambapo waandishi tisa walifariki.
Waombolezaji wakibeba mwili wa mwandishi wa habari wa Somalia Abdisatar Dahir Sabriye aliyeuawa katika mashambulio mawili ya kujitoa muhanga kwenye mkahawa hapo tarehe 20 Septemba katikati ya Mogadishu. [Na Mohamed Abdiwahab/AFP]
RSF waliita nchi hivyo baada ya mabomu mawili ya kujitoa muhanga kuua kiasi cha watu 14, ikiwa ni pamoja na waandishi wa habari watatu hapo tarehe 20 Septemba. Wiki moja baadaye, waandishi wa habari wawili zaidi waliuliwa katika mji mkuu.
Wasimamizi wa Haki za Binadamu (HRW) waliitaka serikali mpya ya Somalia kuagiza ufanyike uchunguzi katika mauaji ya waandishi wa habari.
"Waandishi wa habari wa Somalia wamekuwa kwa muda mrefu wa mwanzo katika orodha ya walengwa wa pande zote wakati wa vita vya kikatili vya wenyewe kwa wenyewe," Leslie Lefkow, naibu mkurugenzi wa HRW sehemu ya Afrika, alisema hapo tarehe 24 Sepetemba. "Rais mpya wa Somalia anaweza kuchukua hatua za kumaliza mtindo huu wa kutisha kwa kuagiza kufanyika uchunguzi wa haraka na makini kuhusu mauaji haya."
Hii sio mara ya kwanza kwa RSF kutoa tahadhari juu ya vurugu dhidi ya waandishi wa habari nchini Somalia. Mwaka 2011, waliita Somalia kuwa ni taifa la vifo vingi zaidi vya waandishi wa habari barani Afrika, na kuongeza kuwa tayari waandishi wa habari 25 waliuawa nchini Somalia kuanzia mwaka 2007 hadi 2011.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...