Skip to main content

Rwanda yawa mwanachama wa muda wa Baraza la Usalama la UN

Rais Paul Kagame wa Rwanda (Shoto) akiwa na Rais Joseph Kabila wa Kongo
Rwanda imechaguliwa kuwa kiti cha mwanachama wa muda wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, licha ya nchi hiyo kushutumiwa na jopo la Umoja wa huo kuwaunga mkono waasi wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo.
Rwanda haikupingwa katika jitihada zake za kuwania kiti hicho kutoka Afrika kwenye Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa ambalo Afrika Kusini itamaliza muda wake mwezi Disemba mwaka huu, lakini bado ilikuwa inahitaji idhini ya theluthi-mbili ya kura za wanachama wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa ili kupata kipindi cha muda wa miaka miwili. Rwanda ilishinda baada ya kupata kura 148 kati ya 193.
Katika uchaguzi huo Argentina pia ilichaguliwa bila kupingwa baada ya kupata kura 182, huku Australia ikishinda kwa kupata kura 140. Luxembourg ilipata kura 131 na Korea Kusini kura 149.
Rwanda yazungumza baada ya kuchaguliwa
Baada ya kuchaguliwa katika chombo hicho cha Umoja wa Mataifa, Rwanda imesema itafanya kazi kwa kushirikiana na wanachama wote wa baraza hilo kuhakikisha inakuwa sikivu na kutafakari maoni na matarajio ya mataifa yanayoendelea.
Kabla ya uchaguzi huo, ujumbe wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo uliliambia Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa kuwa unapinga Rwanda kujiunga na Baraza la Usalama la umoja huo, huku ikiituhumu nchi hiyo jirani kwa kuwasaidia waasi wanaoendesha shughuli zao mashariki mwa Kongo.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.