Skip to main content

Rwanda yawa mwanachama wa muda wa Baraza la Usalama la UN

Rais Paul Kagame wa Rwanda (Shoto) akiwa na Rais Joseph Kabila wa Kongo
Rwanda imechaguliwa kuwa kiti cha mwanachama wa muda wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, licha ya nchi hiyo kushutumiwa na jopo la Umoja wa huo kuwaunga mkono waasi wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo.
Rwanda haikupingwa katika jitihada zake za kuwania kiti hicho kutoka Afrika kwenye Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa ambalo Afrika Kusini itamaliza muda wake mwezi Disemba mwaka huu, lakini bado ilikuwa inahitaji idhini ya theluthi-mbili ya kura za wanachama wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa ili kupata kipindi cha muda wa miaka miwili. Rwanda ilishinda baada ya kupata kura 148 kati ya 193.
Katika uchaguzi huo Argentina pia ilichaguliwa bila kupingwa baada ya kupata kura 182, huku Australia ikishinda kwa kupata kura 140. Luxembourg ilipata kura 131 na Korea Kusini kura 149.
Rwanda yazungumza baada ya kuchaguliwa
Baada ya kuchaguliwa katika chombo hicho cha Umoja wa Mataifa, Rwanda imesema itafanya kazi kwa kushirikiana na wanachama wote wa baraza hilo kuhakikisha inakuwa sikivu na kutafakari maoni na matarajio ya mataifa yanayoendelea.
Kabla ya uchaguzi huo, ujumbe wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo uliliambia Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa kuwa unapinga Rwanda kujiunga na Baraza la Usalama la umoja huo, huku ikiituhumu nchi hiyo jirani kwa kuwasaidia waasi wanaoendesha shughuli zao mashariki mwa Kongo.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...