Skip to main content

Rwanda yawa mwanachama wa muda wa Baraza la Usalama la UN

Rais Paul Kagame wa Rwanda (Shoto) akiwa na Rais Joseph Kabila wa Kongo
Rwanda imechaguliwa kuwa kiti cha mwanachama wa muda wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, licha ya nchi hiyo kushutumiwa na jopo la Umoja wa huo kuwaunga mkono waasi wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo.
Rwanda haikupingwa katika jitihada zake za kuwania kiti hicho kutoka Afrika kwenye Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa ambalo Afrika Kusini itamaliza muda wake mwezi Disemba mwaka huu, lakini bado ilikuwa inahitaji idhini ya theluthi-mbili ya kura za wanachama wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa ili kupata kipindi cha muda wa miaka miwili. Rwanda ilishinda baada ya kupata kura 148 kati ya 193.
Katika uchaguzi huo Argentina pia ilichaguliwa bila kupingwa baada ya kupata kura 182, huku Australia ikishinda kwa kupata kura 140. Luxembourg ilipata kura 131 na Korea Kusini kura 149.
Rwanda yazungumza baada ya kuchaguliwa
Baada ya kuchaguliwa katika chombo hicho cha Umoja wa Mataifa, Rwanda imesema itafanya kazi kwa kushirikiana na wanachama wote wa baraza hilo kuhakikisha inakuwa sikivu na kutafakari maoni na matarajio ya mataifa yanayoendelea.
Kabla ya uchaguzi huo, ujumbe wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo uliliambia Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa kuwa unapinga Rwanda kujiunga na Baraza la Usalama la umoja huo, huku ikiituhumu nchi hiyo jirani kwa kuwasaidia waasi wanaoendesha shughuli zao mashariki mwa Kongo.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

RAIS WA ZANZIBAR DKT. SHEIN AFANYA MAHOJIANO NA MAMLAKA YA VITAMBULISHO VYA TAIFA

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Ali Moh amed Shein,alipokuwa akifanya mahojiano na Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa kupitia ZBC TV na kutoa wito kwa Watanzania hasa wa Zanzibar kushiriki kikamilifu katika zoezi la uandikishaji vitambulisho hivyo,ambapo zoezi hilo  linatarajia kuwanza Oktoba 15 mwaka. Mazungumzo hayo yalifanyika Ikulu mjini Zanzibar leo,(kulia) Mtangazji wa ZBC TV Nasra Nassor. Picha na Ramadhan Othman,Ikulu

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...