Skip to main content

Mwandishi mwengine auawa Somalia






Mwandishi wa habari katika jimbo lililojitenga na Somalia, Somaliland, ameuawa na watu waliokuwa wamejihami alipokuwa anarejea nyumbani kutoka kazini.

Ahmed Farah Ilyas alikuwa mwandishi katika eneo Las Anod, mji ambao umekumbwa na msukosuko akifanyia kazi kampuni ya Somalia ya Universal TV.Kabla ya kuuwawa kwake, Farah alikuwa anafuatilia taarifa ya mlipuko wa mabomu ya ardhini ambayo serikali imelaumu Al Shabaab kulifanya.


Ilyas ni mwandishi habari wa kumi na sita kuuawa nchini Somalia mwaka huu.

Tangu kuong'olewa mamlakani kwa Rais Siad Barre mwaka 1991, Somalia daima imeshuhudia wanamgambo wa Somalia wakipigania udhibiti wa Somalia.

Somaliland ilijitangazia uhuru wake baada ya kung'olewa kwa Barre na imekuwa salama ikilinganishwa na Somalia.

Eneo la Sool liko katika sehemu ambayo inadaiwa na jimbo la Puntland na imeshuhudia msukosuko siku za hivi karibuni.

Mwandishi wa BBC Hagar Jibril ambaye yuko katika eneo jirani la Burao, anasema kuwa watu walishuhudia tukio hilo wanasema Ilyas alipigwa risasi na watu wawili waliokuwa wamejihami nyakati za jioni.

Mapema siku ya Jumanne, watu wanne walijeruhiwa baada ya kulipukiwa na mabomu ya kutega ardhini ambayo gavana wa eneo la Sool Mahamed Mahamud Ali alisema yalitegwa na Al Shabaab.

Duru zinaarifu kuwa kesi dhidi ya wanamgambo hao ilianza kusikilizwa mjini Las Anod siku ya Jumanne.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.