Skip to main content

Mwandishi mwengine auawa Somalia






Mwandishi wa habari katika jimbo lililojitenga na Somalia, Somaliland, ameuawa na watu waliokuwa wamejihami alipokuwa anarejea nyumbani kutoka kazini.

Ahmed Farah Ilyas alikuwa mwandishi katika eneo Las Anod, mji ambao umekumbwa na msukosuko akifanyia kazi kampuni ya Somalia ya Universal TV.Kabla ya kuuwawa kwake, Farah alikuwa anafuatilia taarifa ya mlipuko wa mabomu ya ardhini ambayo serikali imelaumu Al Shabaab kulifanya.


Ilyas ni mwandishi habari wa kumi na sita kuuawa nchini Somalia mwaka huu.

Tangu kuong'olewa mamlakani kwa Rais Siad Barre mwaka 1991, Somalia daima imeshuhudia wanamgambo wa Somalia wakipigania udhibiti wa Somalia.

Somaliland ilijitangazia uhuru wake baada ya kung'olewa kwa Barre na imekuwa salama ikilinganishwa na Somalia.

Eneo la Sool liko katika sehemu ambayo inadaiwa na jimbo la Puntland na imeshuhudia msukosuko siku za hivi karibuni.

Mwandishi wa BBC Hagar Jibril ambaye yuko katika eneo jirani la Burao, anasema kuwa watu walishuhudia tukio hilo wanasema Ilyas alipigwa risasi na watu wawili waliokuwa wamejihami nyakati za jioni.

Mapema siku ya Jumanne, watu wanne walijeruhiwa baada ya kulipukiwa na mabomu ya kutega ardhini ambayo gavana wa eneo la Sool Mahamed Mahamud Ali alisema yalitegwa na Al Shabaab.

Duru zinaarifu kuwa kesi dhidi ya wanamgambo hao ilianza kusikilizwa mjini Las Anod siku ya Jumanne.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...