Skip to main content

Kadiri al-Qaida inavyoshuka ndivyo Ansar al-Sharia inavyopanda


Mahojiano na Mawassi Lahcen, Casablanca
Katika eneo la wazi lililoandaliwa na mapinduzi wa chemuchemu za Uarabuni (Arab Spring), Waislamu wenye siasa kali wanaunda vikundi vipya kadhaa kusukuma mbele ajenda yao.
Wanaounga mkono brigedi ya Libya inyojiita Ansar al-Sharia wakipiga kaulimbiu za kidini wakiwa wameshikilia bendera ya washirika wa al-Qaida kupinga maandamano ya umma dhidi ya wanamgambo huko Benghazi tarehe 21 Septemba. Wakaazi wa Benghazi wanalaumu Ansar al-Sharia kwa shambulio la tarehe 11 Septemba katika ubalozi wa Marekani, [Abdullah Doma/ AFP]
Kwenye mstari wa mbele wa wimbi kubwa la Wasalafi huko Tunisia, Libya na Yemen ni vikundi vinavyokusanyika chini ya kivuli cha "Ansar al-Sharia". Kwa mara ya kwanza, wachambuzi wengi waliamini kuwa vikundi hivi vilikuwa ni jaribio la Wasalafi wa sasa kufuata hali mpya na kwamba mwishoni wataachana na itikadi ya vurugu za jihadi.
Hata hivyo, kwa kadri mtafiti wa Morocco Abdellah Rami anavyoelezea, vikundi vya Ansar al-Sharia kwa sasa vinafanya kazi kama "taswira ya itikadi, hazina ya ubinadamu na watoaji wa fedha kwa wapiganaji wa al-Qaida." Sabahi ilikaa chini na Rami, mchambuzi wa masuala ya kisiasa aliyebobea katika vikundi vya Kiislamu katika Kituo cha Sayansi Jamii cha Morocco, kujadili tukio hili jipya na matarajio yake.
Sabahi: Unachukuliaje kutokea kwa vikundi kadhaa vipya vya Wasalafi vinavyojiita Ansar al-Sharia kuwa ni kutokea tu kwa bahati au ni sehemu ya mpango mkubwa?
Abdellah Rami: Mimi silifikirii hili kama tukio la bahati tu. Hili kwa hakika ni matokeo na mipango inayodhamiria kujizoesha tena mazingira mageni ya jihadi ya Wasalafi wa sasa kwenda kwenye hali mpya ambayo imetengenezwa na mapinduzi ya Chemuchemu ya Uarabuni (Arab Spring) katika kanda hiyo.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...

Poland’s GROM special services mastermind found dead

Brigadier General Slawomir Petelicki, responsible for the formation of the GROM special services unit in the 1990s, was found dead at his apartment, Saturday, with bullet wounds to the head. SÅ‚awomir Petelicki, 1946-2012. Photo: Archive/PAP/Radek Pietruszka Police spokesman Maciej Karczynski informed that Petelicki’s body was found by his wife in the garage of his Warsaw apartment on Saturday. He was 65. Primary investigations point to suicide as the cause of death. It is expected that prosecutors will decide on an investigation into Petelicki’s death on Monday. After examining the scene of the incident, “the body of General [Petelicki] has been taken to a forensic laboratory, although a post-mortem will probably take place on Monday,” prosecutor Katarzyna Calow-Jaszewska from the Warsaw District Prosecution told the PAP news agency. “He was a tough man, a brilliant soldier and commander,” Colonel Krzysztof Przepiorka, head of the ...