MY
NAME IS ERICK artist name KINGKAPITA before was known as RICHBOI from
Tanzania Dar es Salaam HIPHOP artist wit HIT banger HERE WE GO wen with
WAKACHA - JUx, gigga FLO, NAS 3, ACHAAAaa with ma boy NAS 3 and MTOTO
MLITO by Nas 3 as ma crew members.
Hii sasa ni new hit club banger SHIKAMOO PESA niliyomshirikisha TASH
mzee wa CHAPIA mulemule kutoka arachuga,Wimbo umerekodiwa katika STUDIO
za ROCCANA BASEMENT chini ya producer jimmy jizze na mastering
kumaliziwa HOME TOWN record chini ya master Traveller
naomba support yenu sana wadau!!
ASANTENI MUNGU BARIKI KAZI YA MIKONO YANGU, MUNGU BARIKI MUZIKI WA
TANZANIA.Inatoka kwa mdau.
Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Comments