Skip to main content

Vimbwanga vya Cossy Katika Siku Yake ya Kuzaliwa



LAGOS, Nigeria
MWANADADA Cossy Orjiakor mwishoni mwa wiki iliyopita alifanya kioja cha mwaka baada ya kuwakaribisha wageni aliowaalika kwenye hafla ya siku yake ya kuzaliwa kwa kucheza muziki kwa staili ya aina yake.
Mcheza filamu huyo, ambaye pia ni mwimbaji na mcheza shoo, aliandaa sherehe hiyo nyumbani kwake, nje kidogo ya mji wa Lagos na kuwaalika rafiki zake mbali mbali.
Wakati wageni hao walipoanza kuwasili nyumbani kwake, mwanadada huyo aliyekuwa amevaa nusu uchi, alikuwa akiwakaribisha kwa kucheza dansi kwa staili ya kumwaga lazi.
Baadhi ya wageni hao walionekana kufurahishwa na staili hiyo ya Cossy na kumtaka arudie kucheza mara kwa mara, lakini wengine walione aibu.
Hafla hiyo ilihudhuriwa na wacheza filamu wachache pamoja na waandishi wa habari wa vyombo mbali mbali.
Cossy si mwigizaji maarufu sana nchini Nigeria, lakini ni machachari kutokana na kuandamwa na kashfa mbali mbali kwenye vyombo vya habari.
Mwaka jana, Cossy aliamua kutengana na mpenzi wake baada ya kushindwa kumnunulia gari aina ya Range Rover Sport Jeep wakati wa sherehe yake ya kuzaliwa.
Baada ya kutengana na mpenzi wake huyo, Cossy aliamua kujitosa kimapenzi kwa mwanasoka, Abumere Ededuan.
Baadhi ya mashuhuda wameueleza mtandao wa nigeriafilms kwamba, Cossy na Abumere, ambaye kwa sasa ni wakala wa wachezaji, anayetambuliwa na Shirikisho la Soka la Dunia (FIFA), wamekuwa wakionekana sehemu mbali mbali za starehe pamoja.
Mashuhuda hao wamesema, mapenzi ya Cossy na mchezaji huyo wa zamani wa Nigeria, ni mwanana mithili ya watu waliojitosa kwa mara ya kwanza katika ulimwengu huo.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...