Skip to main content

Serikali Yasema Sanaa Ni Ajira Rasmi


 Na Mwandishi Wetu 
Serikali imesema inatambua kwamba Sanaa ni ajira rasmi licha ya kuwa sekta hiyo inakabiliwa na changamoto mbalimbali za kiuratibu, uongozi na kupewa kipaumbele katika mipango ya kimaendeleo na Serikali. Akiwasilisha mada ya Umuhimu wa Tasnia ya Sanaa katika kukuza Ajira nchini, katika Jukwaa la Sanaa, Mkurugenzi wa Sera na Mipango wa Wizara ya Kazi na Ajira, bwana Haji Janabi amesema sanaa ina mchango mkubwa katika kukuza na kuendeleza upatikanaji wa nafasi za ajira na kipato. “Kwa Tanzania iwapo tutatumia vyema uwepo wa ubunifu muafaka katika sekta ya sanaa zetu bila shaka tasnia hii inaweza kuchangia sana upatikanaji wa nafasi za ajira na hivyo kuchangia kwa kiasi kikubwa katika kuondoa tatizo la ajira hapa nchini,” alisema Janabi. Janabi amesema kwamba pamoja na hivyo kuna changamoyo kubwa ya kiuratibu na kimuundo ikiwa ni pamoja na Serikali kutotoa kipaumbe katika masuala yanayohusu sanaa na wasanii pamoja na mgongano wa kimamlaka kati ya vyombo vinavyohusika na uratibu wa masuala ya sanaa. Aidha amesema pamoja na nafasi nzuri ya kukuza ajira, ujio wa teknolojia umeanza kubana soko la ajira ya sanaa ambapo kwa sasa teknolojia inapunguza uhitaji wa watu katika ufanyikaji wa sanaa kwa akitolea mfano katika muziki ambapo vitu vingi vinafanywa na mtu mmoja hivyo kupunguza nafasi za watu wengine. Pia amesema ili sekata hii iweze kuwa ajira nzuri zaidi ni muhimu kukaandaliwa viwango na vigezo kama ilivyo kwa fani zingine ili kuwe na maradaja ya wafanyaji kazi kulingana na viwango vya umahiri na taaluma. CAPTION 1. Katibu Mtendaji wa Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) Ghonche Materego akizungumza jambo wakati akifunga jukwaa la sanaa, Kushoto kwakwe ni Mkurugenzi wa Sera na Mipango wa Wizara ya Kazi na Ajira , Haji Janabi.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.