Skip to main content

Posts

Showing posts from September, 2011

Yanga yaisambaratisha Coasta

Send to a friend Mshambuliaji wa Yanga, Davis Mwape akimtoka beki wa Coastal Union, Mbwana Hamis wakati wa mechi ya Ligi Kuu ya Tanzania Bara kwenye Uwanja Taifa jijini Dar es Salaam jana. Yanga ilishinda mabao 5-0. Picha na Jackson Odoyo. Sosthenes Nyoni MSHAMBULIAJI Kenneth Asamoah alifunga mabao mawili na kuiongoza Yanga kuwasambaratisha vibonde wa ligi Coastal Union kwa mabao 5-0 kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Mabingwa hao waliopoteza mvuto kwa mashabiki wao kutokana na kuanza ligi kwa kusuasua jana walionekana tofauti kabisa kwani katika dakika ya nne mshambuliaji wao wa kimataifa wa Ghana, Asamoah alifunga bao la kwanza kabla ya Shamte Ally, Davies Mwape, Nurdin Bakari na Mghana huyo kufunga kalamu hiyo ya kishindo. Kiungo Idrisa Rajabu alitoa mchango mkubwa kwenye mauaji hayo kwa kutengeneza mabao matatu kati ya matano ikiwa ni mechi yake ya tatu kuanza kuitumikia Yanga. Umakini huo wa safu ya ushambuliaji ya Ya

Knockout Nation: Butch Lewis' Spectacular Homegoing Service

LIFESTYLE By Seandra Sims Wilmington, Del. – “The Crew” had all assembled at Ronald E. “Butch” Lewis’ casket to pay their final respects – as TV’s Judge Joe Mathis described them, “40 Black men he connected over the years.” Lewis’ coveted “Crew” included actor Denzel Washington, actor/director Robert Townsend, comedian Michael Colyer, actor Leon, actor/comedian Darryl “Chill” Mitchell, Morehouse College President Robert M. Franklin, retired boxer Michael Spinks, singer Keith Washington, Great Debaters actor/nephew Stephen Rider, and many more Black men of stature and note. “Butch Lewis was the glue,” Rev. Al Sharpton, the eulogist of the h

HILI HAPA DUDE LA CHADEMA HUKO IGUNGA !

MBILI ZA CCM ZASHINDWA KUTUA ZABAKI KIA, YA CUF KUPASUA ANGA LEO Waandishi Wetu, Igunga WAKATI Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) jana kilitikisa anga la Igunga baada ya kuanza kutumia helikopta kufanya kampeni zake, zile mbili za wapinzani wao, CCM zikishindwa kuwasili jimboni humo na kubaki Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) kutokana na sababu za kiufundi.Wakati Chadema ikipasua anga na mbili za CCM zikibaki KIA, helikopta ya Chama cha Wananchi (CUF) nayo imeshindwa kutua Igunga jana na sasa inatarajiwa hapa leo. Helikopta ya Chadema ilianza kuonekana katika anga la Igunga saa 10:40 jioni ikiwa na maandishi makubwa ya chama hicho na rangi ya bluu.Ujio wa helikopta hiyo ulivuta kwa muda idadi kubwa ya wananchi waliokuwa kwenye Viwanja vya Sabasaba wakisubiri ujio wa helikopta mbili za CCM, ambazo awali, ilielezwa kuwa zingewasili saa 8:00 mchana. Baadaye ilielezwa kwamba helikopta hizo za CCM zingetua Igunga saa 11:30 jioni zikiw

Part 8: The Way Home

LIFE'SGREATEST question Here are the key elements by which we become reconciled to the Father. Each is vitally important. Any, if absent, could keep our new relationship from being complete. Our condition: First, we must understand that we are separated from God. The chasm dividing us is both wide and deep. We inherited a fatal defect at birth. As a result, we have lived our lives independently from him. The Bible emphasizes this stark reality: “For all have sinned and fall short of the glory of God” (Romans 3:23). If we can’t come to grips with the fact that sin separates us from God, we’ll never come home spiritually, for there is no need for a savior. God’s remedy: Second, we need to be very clear in understanding who Jesus is and what he has done for us, in order that we might confidently place our faith in him. He bridged the chasm separating us from God. In the apostle John’s words: “For God so loved the world that he gave his one and only So

Diddy Discusses New Book "CULO" About Women's Backsides

By Roman Wolfe (AllHipHop News) Sean “Diddy” Combs has teamed with Interscope Records chairman Jimmy Iovine and fashion photographer Rafael Mazzucco to produce a new book focusing on womens' backsides. The book, titled “CULO by Mazzucco," is a collection of photographs of the female behind. Mazzucco traveled the world to shoot a number of stunning women, for the 240 page book. "Raphael is a true artist," Diddy said of the book, which he executive produced. "He relies on instinct- capturing a raw, natural sense of beauty through his lens in CULO by Mazzucco that celebrates the female form. His work is passionate and

Yanga, Azam usipime, Simba yachechemea

Mshambuliaji wa Yanga, Kenneth Asamoah (kushoto) akijaribu kuwatoka mabeki wa Villa Squad wakati wa mechi ya Ligi Kuu Tanzania Bara iliyochezwa jana kwenye Uwanja Azam Chamanzi jijini Dar es Salaam.Yanga ilishinda 3-2. Picha na Jackson Odoyo. Mwandishi Wetu MABINGWA watetezi Yanga wamewanyuka Villa Squad pungufu kwa mabao 3-2 kwenye Uwanja wa Chamazi huku vinara wa ligi Simba wakilazimisha sare ya 3-3 na Toto African jijini Mwanza.Wakati Yanga wakipata ushindi wao wa pili na kufikisha pointi tisa, matajiri wa Chamazi, Azam wenyewe wamesogea hadi nafasi ya pili kwenye msimamo kwa kufikisha pointi 14 na kuisogelea Simba inayoongoza kwa pointi 15 baada ya kupata sare ya tatu katika mechi saba. Macho ya wengi yalikuwa Uwanja wa Chamazi, ambapo Yanga ilipokuwa na kibarua kizito mbele Villa Squad waliokuwa wa kwanza kupata bao kupitia Nsa Job, lakini mabingwa hao walisawazisha kupitia Haruna Niyonzima na Kenneth Asamoah na Hamis Kiiza waliongeza mabao mengine

Why Floyd Mayweather Will Never Get The Respect He Deserves

By Andreas Hale of thewellversed.com Unfortunately for Floyd Mayweather , there’s nothing he can do to make people respect him as a fighter. They are too busy hating who he is as a person. Right or wrong, Mayweather’s brash personality and boastful antics overshadow his talent in the ring . And considering how extraordinary his accomplishments are inside of the squared circle, it speaks in volumes to how he is publicly perceived and how it is difficult to separate the talent from the persona. Last night’s finish of Victor Ortiz was a prime example of why Mayweather will never, ever get his just due. Even if you are a fan of Mayweather, you should understand that what happened did nothing for his credibility in the ring. Instead, it made his “Bad Boy Floyd” image grow in stature. Victor Ortiz was being dominated as expected before the controversial finish. T

Algeria yaishusha Tanzania viwango vya Fifa

GENEVA, Uswisi TANZANIA imeshuka kwa nafasi moja katika viwango vipya vya Shirikisho la Soka Duniani FIFA, ambapo imetoka nafasi ya 125 mpaka 126.Mwezi uliopita Tanzania ilipanda kwa nafasi mbili kutoka nafasi ya 127 iliyokuwa ikishikilia mwezi Julai mpaka nafasi ya 125.Kwa mujibu wa Fifa, Tanzania imeshuka kwa viwango hivyo kwa nafasi moja baada ya kushindwa kuutumia vizuri uwanja wa nyumbani na kulazimishwa sare ya bao 1-1 na Algeria katika mechi ya kufuzu kushiriki Fainali za Mataifa ya Afrika mwanzoni mwa mwezi huu. Uganda ambayo inaongoza katika viwango vya Fifa katika Ukanda wa Ukanda wa Afrika Mashariki yenyewe vilevile imeshuka kwa nafasi mbili kutoka nafasi ya 80 mpaka 82. Kenya yenyewe imepanda kwa nafasi tatu kutoka nafasi ya 133 mpaka 130, wakati Burundi imepanda kwa nafasi tano kutoka nafasi ya 145 mpaka 140 na Rwanda inashika nafasi ya mwisho katika Ukanda huu baada ya kushuka kwa nafasi nne kutoka nafasi ya 138 mpaka nafasi ya 142. Tanzania inatarajia kuch

Igunga Kazi kweli kweli

Boniface Meena na Daniel Mjema, Igunga VURUGU zimezuka jana katika Kata ya Isakamaliwa, wilayani Igunga zikiwahusisha viongozi wa Chadema na Mkuu wa Wilaya ya Igunga, Fatma Kimario.Katika sakata hilo, wanachama wa Chadema walimkamata Mkuu huyo wa Wilaya kwa tuhuma za kuendesha mkutano wa ndani na watendaji wa serikali za vijiji, wakati akijua kuwa kulikuwa na mkutano wa kampeni za chama hicho karibu na eneo hilo. Msafara wa Chadema ulifika katika eneo la kampeni saa 8.00 mchana na kabla mkutano haujaanza, Meneja Kampeni wa chama hicho, Sylivester Kasulumbai, aliwaambia waandishi wa habari kuwa mkuu wa wilaya ya igunga alikuwa akifanya kikao cha ndani katika eneo hilo kinyume na taratibu, hivyo wanakwenda kumshughulikia. Kasulumbai ambaye ni Mbunge wa Maswa Mashariki akiwa na Mbunge wa Viti Maalum, Susan Kiwanga, baadhi ya wananchi na vijana wao, walifika katika ofisi ya Mtendaji wa Kata kulikokuwa kunafanyika mkutano huo na kuanza kuhoji aliko Mkuu huyo wa Wilaya. Mmoja wa

What If Tupac Lived: The Acceptance

EDITORIAL By Joe Walker Author’s Note: It is a thought likely pondered countless times over – where would Tupac be if he were still alive? Would he still be making music, and would he fit in today? In this exclusive tale for AllHipHop.com, I honor Pac’s life and death by creating an alternate reality, one where Tupac still lives. Enjoy. Editor's Note: click here if you want to read the original "What If Tupac Lived" AllHipHop published in 2006 . The entire place is silent. Each person seated is dressed in their best attire, all in attendance to pay their respects. An overwhelming presence of anxiety looms amongst them, but no one dares move. Not even the

Ni Mtikisiko Igunga ! Kampeni za Tikisa

Anaitwa Joseph Kashinye, Mgombea ubunge kwa tiketi ya CHADEMA jimbo la Igunga. "Ninashughulikia kupata mtandao wa uhakika. Leo siku haitoisha, nitakuwa nimepata suluhu la tatizo la Mtandao. Nitawaporomoshea kila kinachojiri huku. Asubuhi hii nimebahatisha kuingiza picha hiyo kwa taabu, imenichukua saa mbili kuingiza picha moja! Pichani Kashindye alikuwa akihutubia maelfu ya wakazi wa Igunga katika uzinduzi wa kampeni jana. Wanachi wa Igunga wakiwa na Mabango yenye ujumbe tofauti katika mkutano wa CHADEMA jana.

Ngeleja Tena Kuhusu Mgawo wa Umeme

MATUMAINI yaliyotolewa na Waziri wa Nishati na Madini, William Ngeleja kwamba makali ya mgawo wa umeme yangepungua kwa kiasi kikubwa kuanzia Septemba 7, mwaka huu yamekuwa kinyume chake kutokana na adha ya upatikanaji wa nishati hiyo kuongezeka. Maeneo mengi ya Jiji la Dar es Salaam hayana umeme yapata siku tatu sasa, huku mengine yakipata nishati hiyo mara moja katika muda wa saa 36 na 48. Ngeleja alitoa ahadi kwamba kungekuwa na nafuu ya mgawo baada ya kuwashwa kwa mitambo ya umeme ya Kampuni ya Symbion na ile ya Aggreko ambayo kwa ujumla wake, ilitarajiwa kuzalisha megawati 137.5. Hata hivyo, hadi jana jioni mitambo hiyo haikuwa imewashwa hivyo kusababisha maeneo mengi ya Dar es Salaam kuendelea kuwa gizani. Uchunguzi uliofanywa na gazeti hili jana umebaini kuwa baadhi ya maeneo ya yakiwamo Ubungo, Mwenge, Kimara, Temeke, Keko na Sinza makali ya mgawo wa umeme yamezidi huku Tabata kukiwa hakuna umeme kwa siku tatu mfululizo. Mtendaji Mkuu wa Symbion, St