Skip to main content

Mrimbwende Rose Albert Atwaaa Taji la Vodacom Miss Talent 2011


Baadhi ya warembo wanaoshiriki katika shindano la Vodacom Miss Tanzania wakipozi kwa picha katika kinyang’anyiro cha Vodacom miss talent 2011 ambapo Rose Albert alifanikiwa kunyakua taji hilo, hapo jana katika hotel ya Giraffe jijini Dar es Salaam.
Majaji wa shindano la Vodacom miss Talent 2011 wakiwa kazini,kutoka kushoto Jacqueline Walper,Rachel Sindbard,Bosco Majaliwa.
------
Na Mwandishi Wetu
Mrembo Rose Albert anaeshiriki katika shindano la Vodacom Miss Tanzania 2011, Jana aliwabwaga baadhi ya Washiriki wenzake aliochuana nao vikali na kunyakua taji hilo katika siku ya kuonyesha vipaji”Vodacom Miss Talent” iliyofanyika kwenye hotel ya Giraffe iliyopo Mbezi jijini Dar es Salaam.

Wakiadhimisha siku hiyo washiriki hao wa shindano hilo linalosubiriwa kwa hamu na mashabiki wa tasnia ya urembo nchini walichuana kwa kuonyesha vipaji vyao mbalimbali ikiwemo kuimba, kucheza miziki mbalimbali ya Bongo flava,nyimbo zetu za kiutamaduni,maigizo.

Akizungumzia siku hiyo Meneja Uhusiano na Habari za Mtandao Matina Nkurlu alisema lengo la siku hiyo ni kutaka kutambua vipaji mbalimbali walivyonavyo warembo wakiwa tayari kuelekea kwenye hatua ya mwisho ya shindano hilo lenye hadhi ya kimataifa litakalofanyika mlimani city tarehe septemba 10.

Akifafanua Nkurlu alisema kwamba mbali ya kutaka kujua vipaji vyao pia imesaidia kuibua vipaji vya warembo hao mbali na fani ya urembo wanayojihusisha nayo.
“Tukiwa kwenye siku ya Vodacom Miss Talent warembo wameonesha vipaji vyao vya kipekee jambo lililowafanya pia kuendelea kuwa pamoja kama ilivyo tasnia hiyo kwamba inawaunganisha watu wote bila kujali dini rangi au kabila.

Nae mrembo Rose Albert alienyakua taji hilo amesema siku hiyo ni ya faida kwake kwani ameweza kuonyesha vipaji vyake mbalimbali alivyonavyo na kujifunza mengi toka kwa washiriki wenza .

Akifafanua Rose alisema mbali ya kuonesha viapaji vyake pia amepanua mtazamo wa kiakili kwani ni moja ya fani zinazoenda kushindaniwa katika shindano la Miss World kwa atakayebahatika kuliwakilisha Taifa letu.

“Vipaji ni moja ya vipengele kwenye shindano la urembo la dunia, hivyo kwa atakayebahatika atafanya vizuri kwani vipaji kitu muhimu tayari kwa kwenda kushiriki michuano hiyo ya urembo ya dunia.
Nae Mkuu wa kitengo cha Itifaki wa Kamati ya Vodacom Miss Tanzania Albert Makoye alisema ari waliyonayo warembo inaonesha utayari wao katika kuliwakilisha Taifa katika medani za kimataifa.

“Mmejionea wenyewe baadhi ya washiriki wetu walivyochuana katika shindano hili la Vodacom Miss Talent 2011 katika kuadhimisha siku ya vipaji kwa warembo. Hili tu linadhihirisha kwamba shindano la mwaka huu litakuwa na changamoto kubwa ikilinganishwa na mengine yaliyopita,” alisema Makoye.

Nawaomba watanzania wenzangu waendelee kuwapigia kura washiriki hao wanaoishi ndani ya jumba la Vodacom na watazame vituo vya televisheni Star tv na Clouds TV baada ya maisha yao ndani ya nyumba kuoneshwa moja kwa moja na vituo hivyo.

END.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...