Anaitwa Joseph Kashinye, Mgombea ubunge kwa tiketi ya CHADEMA jimbo la Igunga. "Ninashughulikia kupata mtandao wa uhakika. Leo siku haitoisha, nitakuwa nimepata suluhu la tatizo la Mtandao. Nitawaporomoshea kila kinachojiri huku. Asubuhi hii nimebahatisha kuingiza picha hiyo kwa taabu, imenichukua saa mbili kuingiza picha moja! Pichani Kashindye alikuwa akihutubia maelfu ya wakazi wa Igunga katika uzinduzi wa kampeni jana.


Comments