Skip to main content

Posts

Showing posts from May, 2009

ARTHER ALBERT NI MTAYARISHAJI WA MUZIKI ANAYETIKISA

Huyu jamaa alifanya juhudi za hatari sana miaka ya nyuma kidogo!! alikuwa akiandaa matamasha mbali mbali nchini na katika uandaaji wake alipokuwa akifanya maonesho kanda ya ziwa alijikuta kuwakutanisha wasanii hao ambao kwa sasa huwa ni marafiki wakubwa sana . Ni kati ya waandaaji wa chache wanao weza kusifiwa kwa kutumia mfano, "kipindi nilipokuwa ziarani kwenye maonesho niliyoandaa kanda ya Ziwa , tulikutana na Fareed Kubanda hapondiponilipowakutanisha wasanii hao na ikawa safari ya muziki kwa Fi -Q kuja kujikita Dar,"anasema. Mtayalishaji huyo ambaye alikuwa wakwanza kuwapeleka wasanii nyota Unique Siste Philipo Nyandindi na wengine kama Mbagafreshi pamoja na wasanii waliowika miaka ya nyuma katika jukwaala maigizo Bambo na marehemu Max pamoja na Dokii. Mara kwa mara tulifanya shoo za maana katika miji ya Musoma , Shinyanga' Buritiama Disco' iliyokuwa chini ya meneja Minza mtuanayependa sana kunyanyua sana muziki kwani hadi sasa mhindi huyo bado anafanya biashara

Wondaz Crew Waibuka.

KUNDI la muziki wa Bongofleva liitwalo Wondez Crew wameanza kujipanga upya ilikuja kivingine baada ya kuwa wamekaa kimpya kwa muda , tayari wamekamilisha ujio wao mpya wa albamu itakayoitwa 'Salam kwa wote' itakayokuwa na jumla ya nyimbo kumi. Akizingumza na gazeti hili , mmoja wa wasanii wanao unda kundi hilo Frank Maneno amsema kuwa tayari wamekamilisha baadhi ya nyimbo kwa ajili ya ujiowao huo. Baada ya kuwa kimya kwa muda mure wakiwa wanajipanga kufanya rekodi kwa ujio huo , awali walisha toa vibao vyao kama wimbo ulio pigwa sana katika vituo vya redio ulioitwa jina la Salam zao wakiwa wamemshirikisha Q Chilla iliyorekodiwa katika studio ya Jag Records , studio iliyokuwa ikimilikiwa na Gadna G Habash na mwana dada Lady Jay Dee. Kundi hilo linaloundwa na wasanii wawili akiwepo mwingine aitwaye Evarist Ngufuli a.k.a Fakili.

AY Akana Kuingia kwa Wadosi

AY Snare S.O.G AY alikuwa wa kwanza kujitoa kwa mara ya kwanza kabisa ambapo kundi liliundwa na Snare , Buff-G na Ay, wote hawa walisoma Sekondari moja ya Ifunda wakati wako na kundi jipya lililo itwa CBM Crew singo kali ya Ay iliyoitwa 'Niraha tu ' Ay akajitoa kutokana na singo hiyo 'kushaini' . Kwa mujibu wa Snare aliniambia kuwa singo hiyo ilisababisha Ay kujitoa , duu !! inaleta raha kwani wakati mwingine tena msanii huyo huyo wakiwa ndani ya East Cost Team alikuwa wa kwanza kujitoa baada ya GK kuanzisha kampuni na kundi hilo kubadilika na kuitwa East Coast Campany . Ay akajitoa tena kwa mtazamo wa kuangalia maslahi zaidi , nakumbuka sanasiku aliponiita nyumbani kwake Kijito nyama jioni amabapo ilikuwa kijua chausoni kuzama yaani jioni ambapo niliwakuta wasanii Buff - G , Snare na yeye m

DJ Q ni dj bomba sana Katika Ramani kwa hivi sasa

Dj Q Joh Makini Adili aka Hisabati Bwana Misosi DJ Q ni dj bomba sana katika ramani kwa hivi sasa , baadhi ya maonesho yake anayokuwa anayatangaza katika steheni anayo fanyia kazi ya redioni , kituo cha Magic FM , maonesho yake katikauandaaji ebana unadatisha kwani ua una full wasanii nguli shoo yako ya Zamani Hunters wakati wa Easter iliyopitai meenda shule. Wasanii kama Joh Makin , Bwana misosi pamoja na mkalimwingine kutoka chapakazi Production Adili , ebana shoo ilidadishawengi wakazi wa huko Kigamboni. Mkubwa Q ukojuu na slogan yako ya mlipuko wa Bongo kati. Pichani Joh Makini na msanii Adil.

Mjue Mwimbaji wa nyimbo za Injili Miriam Mhembelo

Miriam Mhembelo akifanya kazi ya Client Service Manager katika Bank ya Standard Chareter jijini Dar es Salaam ni moja kati ya wanawake mfano wa kuigwa , katika shughuli za kusukuma guludumu la Taifa. Kwa kuwa elimu ni ufunguo wa maisha anaanza kwa kusema kuwa amesoma kuanzia masomo ya awali mpaka kufikia masomo ya elimu ya juu Chuo kikuu Dar es Salaam , anasema kabla ya kufikia elimu hiyo ya juu . Miriam amesoma katika shule za Lutengano sekondari na kusoma kidato cha tano na sita Kilakala na baada yahapo alisoma masomo ya Bismak Instute, Hotel Mnagement na Aptech Compter College. Adi sasa anautaalam katika mambo ya Computer , Banking na masomo ya Hotel Management , anaelezakuwa katika familia yao wapo watoto watatu ambao ni David Mhembelo , pamoja na dada yake aitwaye Minza . Mwimbaji huyo wa muziki wa Injili anasema alizaliwa jijini Dar es Salaam chimbuko lao yeye ni Msukuma kabila lililoko kanda ya ziwa jijini Mwanza. Mwimbaji huyo anasema anapenda sana kusafiri nchi mbali mbali kuc

Bob Marley Day 2009 hiyo .

Msimamizi wa Chuo cha Tanzania Educatin College Elias Mbeki Ashangaa

Mmiliki huyo wa chuo hicho kilichopo Dar Salaam , maeneo ya Kariakooamesema anashangaa kwa kusikia anaitwa hivyo. Chuo hicho ambacho kime wai kutoa mchango kwa jamii licha ya utoaji wa elimu , kimeisha dhamini mambo mbli mbali kama michezo na masuala ya urembo. Mbeki ambaye naitwa na wanafunzi wa chuo hicho kwa sasasa jina la Prezi Dar, ambapo kwa mijibu wa wanafunzi wamesema wamempa jina hilo kutokana na chuo hicho kuwaridhisha wanafunzi katika nyanja mbali mbali za mazomo yao. Kwa miji wa Mbeki amesema kuwa tayari wanafunzi kadhaa wamebahatika kupata ajira kiurahisi kutokana mafunzi waliyoyapata chuoni hapo. Mbeki amsema chuo hicho kinatoa masomo ya Business Menagement(biashara), Mass Communication(mawasiliano),Hotel &Tourism(utalii na uhotelia) , Compyuter Technology (Kompyuta) , Human Resours (jamii na uhusiano) , Nursury Teachers apomoja na Jornalism (uandishi wa habari). Msimamizi huyo anasema chuo hicho kina mipango mingi ya maendeleo kwa jamii na kitazidi kujikita z

Mkali Prodyuza Bonny Luv Mwenye Kipaji Cha Ukoo

Mtayari shaji huyo wa muziki amechangia kwa kiasi kikubwa maendeleo ya kueleweka kwa vipaji vya muziki wa kizazi kipya nchini. Alianza muziki miaka ya nyuma sana na tishio la kuja kuwa bab kubwa katika masualaa muziki anasema lilianzia miaka ya nyuma sana nipale alipo ongoza partyao alipokuwa anamaliza shule ya misingi muhumbili Anasema alisimama upande masuala ya u dj siku hiyo nakusababisha mambo kwenda safi, hivyo muonekanowakuja kuwa dj ulianzia hapo. Katika ubora amabo ni nadra sana kuwepo , yeye ameweza kuwarisisha kipaji cha u dj wadogo zake wawili dj Venture pamoja na dj Mackey ambao wote kwa sasa ni matawi ya juu katika masuala ya u d jnchini hapa. Bopniface Kilosa amabye amekuwa maarufu sana kwa jina la Bonny Luv,kabila lake ni Mkelewe kabla dogo lililopo huko kanda ya ziwa. Tuliwai kuchonga nae mambo mengi tu wakati akimtengeneza msanii wa bongofleva Jenebi Mbarouk 'Jebi' aliyevuma sana na singo zake kama 'Swahiba'na maongezi yake alisema nikumtoa

Natengeneza Njia ya Coo - P Yaanza kubamba

Singo ya msanii Pascal Mwalia 'Coo-P' iitwayo 'Natengeneza njia' singo hiyo kwa sasa hipo katika kukamata kasi katika vituo mbali mbali vya redio nchini. Kwa mujibu wa Cool- P , amesema ametengeneza singo hiyo kupitia studio yaTongwe Recods iliyopo masaki jijini Dar akiwa amewashirikisha wasanii Nyota Fareed Kubanda 'Fid Q' na Joslin.