Skip to main content

Mkali Prodyuza Bonny Luv Mwenye Kipaji Cha Ukoo

Mtayari shaji huyo wa muziki amechangia kwa kiasi kikubwa maendeleo ya kueleweka kwa vipaji vya muziki wa kizazi kipya nchini.
Alianza muziki miaka ya nyuma sana na tishio la kuja kuwa bab kubwa katika masualaa muziki anasema lilianzia miaka ya nyuma sana nipale alipo ongoza partyao alipokuwa anamaliza shule ya misingi muhumbili
Anasema alisimama upande masuala ya u dj siku hiyo nakusababisha mambo kwenda safi, hivyo muonekanowakuja kuwa dj ulianzia hapo.


Katika ubora amabo ni nadra sana kuwepo , yeye ameweza kuwarisisha kipaji cha u dj wadogo zake wawili dj Venture pamoja na dj Mackey ambao wote kwa sasa ni matawi ya juu katika masuala ya u d jnchini hapa.

Bopniface Kilosa amabye amekuwa maarufu sana kwa jina la Bonny Luv,kabila lake ni Mkelewe kabla dogo lililopo huko kanda ya ziwa.

Tuliwai kuchonga nae mambo mengi tu wakati akimtengeneza msanii wa bongofleva Jenebi Mbarouk 'Jebi' aliyevuma sana na singo zake kama 'Swahiba'na maongezi yake alisema nikumtoa 'Jebi' kwa kipindi hicho.


Raha Hasha! kipindi hicho alikuwa akibiga disko la nguvu Latervenamaeneo ya Mikocheni Dar, na msanii huyo ameonekana kuwa ni msaniiwa mwisho kuwa lebo ya Mawingu Studio kwani baada ya msaniihuyo kupewa ramani ya muziki atujasikia msanii mwingine kuwepo Lebojapokuwa aliwika tena msanii huyo alipohamia Kiumeni kwa Meneja Fella.

Bonny anashahada muhimu za kuendesha udj sawa sawa, kwani alishatua Ungereza na kuchukua masomo yanayo husiana na utaalam huo anacho cheticha Technology & Studio Engnearing alicho kipata chini huko muda mrefu sana na mara kwa mara uruka na ndege kwenda kucheki masuala mengine yanavyoendelea katika muziki , washikaji wingi kwa sasa umwita Mjomba Bon.

Histiria ujirudia Bab yake alikuwa akijitwalia zawadi mara kwa mara huko Ukelewe kwa kuimba nyimbo za hasili.Anasema.

Na kwa sasa Bon anatoa burudani kila siku za jumamosi , ambapo disko hilo urindima kwa wale waliokuwa vijana wa dhamani ukumbushiana sana hisia zamiaka ya nyuma kutokana na miziki ya enzi hizo kupigwa.



Disko lipofrshi sana .

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...