Skip to main content

Mkali Prodyuza Bonny Luv Mwenye Kipaji Cha Ukoo

Mtayari shaji huyo wa muziki amechangia kwa kiasi kikubwa maendeleo ya kueleweka kwa vipaji vya muziki wa kizazi kipya nchini.
Alianza muziki miaka ya nyuma sana na tishio la kuja kuwa bab kubwa katika masualaa muziki anasema lilianzia miaka ya nyuma sana nipale alipo ongoza partyao alipokuwa anamaliza shule ya misingi muhumbili
Anasema alisimama upande masuala ya u dj siku hiyo nakusababisha mambo kwenda safi, hivyo muonekanowakuja kuwa dj ulianzia hapo.


Katika ubora amabo ni nadra sana kuwepo , yeye ameweza kuwarisisha kipaji cha u dj wadogo zake wawili dj Venture pamoja na dj Mackey ambao wote kwa sasa ni matawi ya juu katika masuala ya u d jnchini hapa.

Bopniface Kilosa amabye amekuwa maarufu sana kwa jina la Bonny Luv,kabila lake ni Mkelewe kabla dogo lililopo huko kanda ya ziwa.

Tuliwai kuchonga nae mambo mengi tu wakati akimtengeneza msanii wa bongofleva Jenebi Mbarouk 'Jebi' aliyevuma sana na singo zake kama 'Swahiba'na maongezi yake alisema nikumtoa 'Jebi' kwa kipindi hicho.


Raha Hasha! kipindi hicho alikuwa akibiga disko la nguvu Latervenamaeneo ya Mikocheni Dar, na msanii huyo ameonekana kuwa ni msaniiwa mwisho kuwa lebo ya Mawingu Studio kwani baada ya msaniihuyo kupewa ramani ya muziki atujasikia msanii mwingine kuwepo Lebojapokuwa aliwika tena msanii huyo alipohamia Kiumeni kwa Meneja Fella.

Bonny anashahada muhimu za kuendesha udj sawa sawa, kwani alishatua Ungereza na kuchukua masomo yanayo husiana na utaalam huo anacho cheticha Technology & Studio Engnearing alicho kipata chini huko muda mrefu sana na mara kwa mara uruka na ndege kwenda kucheki masuala mengine yanavyoendelea katika muziki , washikaji wingi kwa sasa umwita Mjomba Bon.

Histiria ujirudia Bab yake alikuwa akijitwalia zawadi mara kwa mara huko Ukelewe kwa kuimba nyimbo za hasili.Anasema.

Na kwa sasa Bon anatoa burudani kila siku za jumamosi , ambapo disko hilo urindima kwa wale waliokuwa vijana wa dhamani ukumbushiana sana hisia zamiaka ya nyuma kutokana na miziki ya enzi hizo kupigwa.



Disko lipofrshi sana .

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.