Skip to main content

Posts

Showing posts from October, 2015

Tazama ilikuwa (Live) mkutano wa Magufuli jijini Dar es Salaam

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli Mgombea urais kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Dkt. John Pombe Magufuli anaendelea kufanya mikutano ya kampeni kuelekea Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 25 mwaka huu. Magufuli amefanya kampeni katika Uwanja wa Biafra wilaya ya Kinondoni jijini Dar es Salaam.

NEC yabaini kasoro 300 katika Daftari

Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Mstaafu Damian Lubuva Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Nec), imesema uchakataji wa Daftari la Kudumu la Wapigakura umekamilika na wamebaini kasoro ndogo ndogo takriban 300 ambazo zimeondolewa. Mkurugenzi wa Daftari na Tehama wa Nec, Dk. Modest Kipilimba, alisema walianza na kasoro 17 zilizobainishwa na Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema). Ukawa walibainisha kasoro hizo katika kituo cha mpigakura cha Ofisi ya Kitongoji Azimio 1, chenye namba 10101010102, kilichopo mtaa wa Mahoma/Makulu, Kata ya Chahwa, jimbo la Dodoma Mjini. Ukawa walibainisha vivuli, mabati, hoteli, watu waliojipiga picha wenyewe, Wazungu, Wachina na vivuli vikiwa vimepewa namba ya mpigakura na majina yasiyoeleweka. “Tumeondoa kasoro nyingi sana na kituo cha Azimio kwa sasa hakuna kasoro yoyote, mbali na kasoro hizo, kasoro nyingi ni za jinsia, kujirudia, jina kutokuonekana,

CHEKI INSHU HII MBEYA CITY WAMKATA HARUNA MOSHI BOBAN

Kiungo mshambuliaji mpya wa Mbeya City, Haruna Moshi ‘Boban’ ameondolewa katika kikosi cha timu hiyo mpaka mzunguko wa pili wa Ligi Kuu Bara utakapoanza mwezi Desemba. Boban alikamilishiwa fedha zake za usajili na City wiki iliyopita na kujiunga na timu hiyo ili kuongeza nguvu baada ya kuwa na mwanzo mbovu msimu huu. Kocha Mkuu wa Mbeya City, Meja Mstaafu, Abdul Mingange,  alisema Boban hajacheza Ligi Kuu kwa muda mrefu na pia amenenepa sana hivyo anahitaji mazoezi maalum mpaka wakati wa mzunguko wa pili ndipo atakuwa fiti. “Boban ni mchezaji mzuri, ana kipaji na uzoefu mkubwa Ligi Kuu, tuna imani kuwa atatusaidia katika mechi zetu lakini siyo kwa sasa kwani amekuwa mzito sana,” alisema Mingange. “Anatakiwa kufanya mazoezi ya ziada, nimempa programu ya kukimbia kuzunguka uwanja mara tano au zaidi kila siku kabla ya mazoezi ya kawaida, anatakiwa kupungua ili aweze kwenda na kasi ya ligi.”Inatoka kwa mudau

Nyota ya Diamond yazidi kung'ara ashinda ‘Best African Act’ ya MTV EMA, kushindana na Priyanka Chopra katika ‘Best Worldwide Act’

Diamond akiwa na tuzo nchini Marekani Msanii Diamond Platnumz kutoka Tanzania ndio mshindi wa kipengele cha ‘Best African Act’ cha Tuzo za MTV Europe kilichokuwa kinashindaniwa na mastaa wengine wa Afrika ikiwemo AKA (South Africa), Yemi Alade (Nigeria), Davido (Nigeria) na DJ Arafat. Diamond ameungana na mshindi wa India Priyanka Chopra kuwania Tuzo ya ‘Best Worldwide Act: Africa/India’. Tuzo alizonyakuwa Diamond Mwaka jana Sauti soul waliibuka washindi wa kipengele cha African Act japo hawakufanikiwa kushinda Tuzo ya ‘World Wide’.

van Persie apeleka kilio Uholanzi

Wachezaji wa Uholanzi wakiwa hoi baada ya kufungwa na Czech 3-2 Uholanzi imeshindwa kufudhu mashindano ya Euro 2016 baada ya Robin van Persie kujifunga goli mwenyewe wakifungwa nyumbani na Jamhuri ya Czech iliyokuwa na wachezaji 10. Uholanzi ilihitaji ushindi na Iceland ikiifunga Uturuki waweze kuingia kwa mlango wa nyuma (play-off), lakini Van Persie aliipatia Czech goli pamoja na mchezaji wao Mark Suchy kuonyeshwa kadi nyekundu. Robin van Persie alijifunga mwenyewe dakika ya 66 na kuifanya Czech kuwa mbele kwa 3-0 Klaas-Jan Hunterlaar na Van Persie waliifungia Uholanzi lakini Pavel Kaderabek na Josef Sural nao waliifungia Uturuki na hivyo kushika nafasi ya tatu. Kundi A lilkionyesha timu zilizoshiriki Uholanzi imefunga 3-2 na Jamhuri ya Czech. MATOKEO YA MECHI NetheRland 2-3 Czech Rep Wales 2 – 0 Andorra Latvia 0 – 1 Kazakhstan Turkey 1 – 0 Iceland Belgium 3 – 1 Israel Cyprus 2 – 3 Bos-Herze Bulgaria 2 – 0 Azerbaijan Italy

Pistorius kuachiwa huru wiki ijayo

Oscar Pistorius kuachiwa huru wiki ijayo Mwanariadha aliyeko jela Oscar Pistorius anatarajiwa kuachiwa huru Jumanne baada ya kutumikia miezi 11 tu ya kifungo cha miaka mitano gerezani. Mwanasheria wa mwanariadha huyo anayetumia miguu ya bandia alifanikiwa kuhoji kwamba Oscar anapaswa kuachiwa huru na kutumikia kifungo cha nje baada ya kutumikia mwaka mmoja wa kifungo cha miaka mitano kwa kumuua mpenzi wake Reeva Steenkamp mwaka 2013. Oscar alikutwa na hatia ya kumuua mpenzi wake Reeva Steenkamp mwaka 2013 Awali, Pistorius alitakiwa kuachiwa huru Agosti, lakini waziri wa sheria aliingilia kati na kusababisha kuchelewa kabla bodi ya msamaha kufanya uamuzi. Hata hivyo, bado anakabiliwa na rufaa ya Mahakama Kuu mwezi ujao, ambapo kama itafanikiwa, ataongezewa mashtaka ya mauaji na kumfanya afungwe tena kwa kipindi cha miaka 15. Oscar ni mwanariadha anayetumia miguu bandia

Dr. John Pombe Joseph Magufuli atoa ufagio kwa wasanii

Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), John Magufuli amemmwagia sifa lukuki, mkali wao ndani ya muziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ kutokana na ushindi wa tuzo tatu za Afrimma zilizofanyika wikiendi iliyopita nchini Marekani Tukio hili lilitokea katika Viwanja vya Shule ya Msingi Mpilipili mkoani Lindi baada ya staa wa Bongo Fleva, Ali Saleh Kiba kushuka jukwaani kukamua kwenye kampeni za mgombea huyo wa urais, ndipo Magufuli alishika kipaza sauti na kumsifia Diamond aliyeshinda tuzo za Msanii Bora wa Kiume Afrika Mashariki, Msanii Bora wa Mwaka na Utumbuizaji Bora wa Video. “Ukweli nampongeza sana msanii Diamond kwa jinsi anavyojituma na kuipeperusha vyema bendera ya taifa letu…,” alisema Magufuli huku pia akiwapongeza Ommy Dimpoz na Vanesa Mdee walioshinda tuzo tofauti katika kinyang’anyiro hicho. Aidha, katika kampeni hizo Magufuli aliwaahidi wakazi wa mji huo kuwajengea Lindi mpya ambayo itakuwa ya neema kupitia gesi inayopatikana kwenye ukanda huo

Rayuu Complain, Why Four Men She Slept With Did Not Marry Her

  Rayuu Complain, Why Al Men She Have Been Dating With Are Not Marrying Her [Photos] Film star Alice Bagenzi ' Rayuu' said she feel like a woman with misfortune after four men she had slept with them will not show willingness to marry her , but suddenly they flee and leave her and waving her dream of becoming a wife.   Talking To this newspaper, the actress said her age allows her to get married and she does all the way including a man obey all instructions to impress enter him in marriage, but she wonder why all men leave her. Source: Gpl

Wasifu wa Edward Lowassa

Edward Ngoyai Lowassa anatoka katika ya jamii ya wafugaji Kaskazini mwa Tanzania. Alizaliwa August 26 mwaka 1953 kijijini Ngarashi Wilaya ya Monduli, mkoani Arusha. Kitaaluma Lowasa ni msomi , akiwa na shahada kwanza kutoka chuo Kikuu cha Dar es salaam na shahada ya Uzamili kutoka Chuo Kikuu cha Bath huko Uingereza (1983-1984). Uzoefu katika siasa Edward Lowasa ni mtoto wa tatu wa Mzee Ngoyayi. Ingawa baba yake alikuwa mfugaji aliwahi pia kufanya kazi kama tarishi katika serikali ya wakoloni.   Licha ya kuwa mwanachama wa CCM kwa miaka 38, bwana Lowassa aliwashangaza wanachama wa CCM kwa uamuzi wake wa kukihama chama hicho.

Kutoka Facebook

Edward Ngoyai Lowassa 3 hrs · Nimepokea kwa mshtuko mkubwa taarifa za kifo cha Mwenyekiti wa NLD na mwenyekiti mwenza wa UKAWA katika uchaguzi mkuu huu, Mzee Emmanuel Makaidi, aliyefariki leo katika hospitali ya Nyangao Lindi kwa maradhi ya shinikizo la damu. Mzee Makaidi ulikuwa Simba wa mabadiliko. Pamoja na umri wako mkubwa lakini muda wote uliweza kuhimili vishindo vya mahasimu wa mabadiliko. Ulipambana mpaka pumzi yako ya mwisho katika kuleta mabadiliko ya kisiasa ambayo ndiyo kiu ya watanzania. Mzee Makaidi ulikuwa moja ya nguzo imara katika umoja wetu wa UKAWA, hekima, busara na uaminifu wako ndivyo vilivyoufanya umoja wetu wa UKAWA kuwa tumaini jipya na pekee kwa Watanzania. Umefariki siku 10 tu kabla ya kwenda kupiga kura. Nawaomba Watanzania tumuenzi shujaa huyu wa mabadiliko kwa kuwapatia kura wagombea wote wa UKAWA kuanzia ngazi ya udiwani hadi urais. Mzee Makaidi tunakuahidi kuendeleza bila kuchoka, kazi uliyoiacha ya kuwale

STARS WALIVYOITESA MALAWI

  . Taifa Stars imeanza vizuri kampeni ya kuwania kucheza Kombe la Dunia baada ya kuitwanga Malawi kwa mabao 2-0. Katika mechi hiyo iliyochezwa kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, Stars ilipata mabao yake yote mawili katika kipindi cha kwanza. Bao la kwanza, lilitupiwa kimiani mapema tu na Mbwana Samatta ambaye alikuwa mwepesi kuiwahi pasi maridadi ya Thomas Ulimwengu na kufunga kwa ustadi mkubwa. Ulimwengu, safari hii akipata ‘zawadi’ kutokana na kumfuatilia kipa wa Malawi aliyeutema mpira wa krosi wa Haji Mwinyi. Hata hivyo, Malawi walionekana matata zaidi katika kipindi cha kwanza mwanzo wakitawala dakika zote 15 za mwanzo. Stars ikageuka na kutawala dakika zote za katikati kabla ya wageni kurejea na kutawala kipindi cha pili mwishoni. Kipindi Kocha Charles Boniface Mkwasa akiwa anaingoza Stars kwa mara ya kwanza akiwa Kocha Mkuu mwenye mkataba, aliwatoa Mrisho Ngassa akamuingiza Salum Telela na Simon Msuva akaingia badala ya Thoma

Jaribu Kupia Macho kwa Jurgen Klopp

Jurgen Klopp anatarajiwa kuwa kocha wa Liverpool siku ya Ijumaa Jurgen Klopp anajiandaa kuwa kocha mpya wa Liverpool siku ya Ijumaa na Anfield wanaelewa kuwa wanakaribisha habari njema. Kocha wa zamani wa Borussia Dortmund amekuwa akiteka vichwa vya habari kwa sababu sahihi kwa miaka kadhaa ya wajihi na aina ya ukocha, lakini wachezaji wake wa zamani, wapinzani na wafanyakazi wenzie wana yapi ya kusema kuhusu yeye? Kutoka Jose Mourinho kwenda kwa Marco Reus, hizi hapa ni nukuu 15 kumhusu Klopp. PEP GUARDIOLA ‘I just liked those fights with Klopp. ‘It’s been a huge honour for me. He’s a super guy, and we both have nothing but the greatest respect for each other. He will find a big club soon. And those fights will continue. But for now. This will be our last game. He wants to win it, and so do I.’ MARCO REUS ‘Thank you boss for three years with you. I learned a lot from you, and I am thankful that you were always by my side, in good and i

Martial ashinda tuzo ya Mchezaji bora wa Mwezi

Anthony Martial akipeana mikono na kocha wake Louis van Gaal Mshambuliaji wa nyota wa Manchester United Anthony Martial ameshinda tuzo ya Mchezaji bora wa Mwezi ya PFA kwa mwezi wa Agosti/Septemba baada ya kucheza vizuri. Kinda, 19, ambayea amekuwa mchezaji mdogo agahli duniani baada ya kusaini United kutoka Monaco kwa pauni milioni 36 msimu huu, akifunga magoli matatu katika mechi mbili za Ligi Kuu, na kuwa nyota wa mechi katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Sunderland. Anthony Martial akishangilia moja ya magoli yake tangu atue Man Utd msimu huu Mshambuliaji wa Leicester City Riyad Mahrez na winga wa West Ham Dimitri Payet pia walitajwa, lakini walikosa kwa staa huyo wa Red Devils.

Music: Drake Feat. Beyoncé – Can I

JUMATANO SLAA KUIBUKIA CCM , SAMATTA AIPELEKA MAZEMBE FAINALI

. . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . 05 Oct 2015 Posted by Bongo fun