Skip to main content

NEC yabaini kasoro 300 katika Daftari


Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Mstaafu Damian Lubuva
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Mstaafu Damian Lubuva
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Nec), imesema uchakataji wa Daftari la Kudumu la Wapigakura umekamilika na wamebaini kasoro ndogo ndogo takriban 300 ambazo zimeondolewa.
Mkurugenzi wa Daftari na Tehama wa Nec, Dk. Modest Kipilimba, alisema walianza na kasoro 17 zilizobainishwa na Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema).
Ukawa walibainisha kasoro hizo katika kituo cha mpigakura cha Ofisi ya Kitongoji Azimio 1, chenye namba 10101010102, kilichopo mtaa wa Mahoma/Makulu, Kata ya Chahwa, jimbo la Dodoma Mjini.
Ukawa walibainisha vivuli, mabati, hoteli, watu waliojipiga picha wenyewe, Wazungu, Wachina na vivuli vikiwa vimepewa namba ya mpigakura na majina yasiyoeleweka.
“Tumeondoa kasoro nyingi sana na kituo cha Azimio kwa sasa hakuna kasoro yoyote, mbali na kasoro hizo, kasoro nyingi ni za jinsia, kujirudia, jina kutokuonekana, majina kukosewa kulingana na wananchi wanavyopiga simu katika kituo chetu kilichopo Nec,” alisema.
Aidha, alisema ni vugumu kueleza kasoro hizo zilibainika katika vituo vingapi, lakini kwa sasa vyama husika vimekabidhiwa Daftari ambalo halina kasoro zozote.
“Daftari limeshapelekwa katika vituo mbalimbali na limebandikwa, wananchi wanapokwenda kwenye vituo kuangalia taarifa zao wanapoona hazipo wanaruhusiwa kuwasiliana nasi moja kwa moja kupitia ‘Calling center’ yetu, apige namba 0800782100 ili kupata msaada, nasi tunarekebisha taarifa zake,” alifafanua Dk. Kipilimba.
Alisema marekebisho yataendelea kwa kadiri wananchi wanavyopiga simu kwa kuwa ni jambo la kawaida kuchanganya majina ambayo siyo rahisi kuyabaini kama ni ya kike au kiume kwa kuwapa jinsia halisi.
Dk. Kipilimba alisema kasoro nyingine ni za waliojiandikisha zaidi ya mara moja kwa kuwa wapo ambao wamejiandikisha mara nane, lakini Daftari la mwisho linapaswa kumtambua mtu mmoja.
Mkurugenzi huyo alisema vyama vyote vimeshapewa Daftari lingine ambalo limekamilika na vinaruhusiwa kuwasilisha kasoro watakazoziona kwa kuwa kasoro nyingi ni za kawaida na za kibinadamu zaidi.
Alisema kuwa kasoro hizo hazitabadili idadi ya wapigakura kwa kiasi kikubwa na kwamba haitazidi 100 kwani hadi sasa wenye sifa ya kupiga kura ni 22, 751,292.
Awali baada ya kukamilika uandikishaji wapigakura Nec ilisema watu wenye sifa ya kupiga kura ni zaidi ya milioni 23.78, na baada ya uchakataji ilibainika watu milioni 22.75 ndiyo wapiga kura halali.
Chanzo: NIPASHE

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...