Skip to main content

Posts

Showing posts from March, 2012

SHOW YA DIAMOND FOREVER YAFUNIKA MLIMANI CITY USIKU WA KUAMKIA LEO

Picha zote Na Jiachie Blog

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AWEKA JIWE LA MSINGI KATIKA JENGO LA OFISI ZA TAWI LA CCM MWANAKWEREKWE B, MKOA WA MJINI MAGHARIBI UNGUJA

  Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiweka Jiwe la Msingi kwenye Jengo la Ofisi za Tawi la CCM Mwanakwerekwe B, Mkoa wa Mjini Magharibi, Unguja jana. Kushoto ni Mbunge wa Jimbo hilo, ambaye pia ni Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Shamsi Vuai Nahodha.     Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiteta jambo na Mwenyekiti wa CCM wa Mkoa wa Mjini Magharib, Mohammed Yussuf, wakati alipofika mkoa huo kwa ajili ya kuweka Jiwe la Msingi kwenye Jengo la Ofisi za Tawi la CCM Mwanakwerekwe B, Mkoa wa Mjini Magharibi, Unguja jana. Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akifurahia jambo na Mbunge wa Jimbo la Mwanakwerekwe, ambaye pia ni Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Shamsi Vuai Nahodha (kushoto) na mmoja kati ya wazee wa eneo hilo ambaye ni kati ya wazee waliokuwa na kucheza ‘Chandim’ pamoja. Hapa ilikuwa ni baada ya kuweka Jiwe la Msing

WAASI WA MALI WATWAA MJI WA KADAL

Waasi wa Tuareg nchini Mali wameutwaa mji wa Kidal kaskazini mwa Mali,wiki moja tu baada ya wanajeshi kuipindua serikali, wakisema kuwa jeshi linahitaji silaha za kupambana na waasi hao. Msemaji wa waasi aliambia BBC kuwa wamethibiti mji huo, tamko lililothibitishwa na raia wa eneo hilolo Kiongozi wa waasi waliopindua serikali, Amadou Sanogo ametoa wito kwa jamii ya kimataifa kusaidia jeshi kupambana na waasi hao. Shirika la nchi za kanda ya Magharibi mwa Afrika, ECOWAS, limelaani kitendo cha wanajeshi, huku nchi hizo zikitishia kuiwekea vikwazo Mali. Viongozi wa nchi za magharibi mwa Afrika wamewapa wanajeshi waliopindua serikali ya Mali makataa ya saa 72 kuondoka madarakani au waadhibiwe kwa kuwekewa vikwazo vya kiuchumi. Viongozi hao wametangaza kuwa watafunga mipaka yote ya Mali na kufunga akaunti ya nchi hiyo.

Yule mwanamke aliyemwagiwa Tindikali nchini Pakistani ajiua baada ya miaka 12

Fakhra Younus kushoto kabla ya kumwagiwa tindikali na kulia baada ya kumwagiwa tindikali Yule aliyekuwa mchezaji muziki wa Pakistani ambaye alimwagiwa tidikali mwezi wa Mei mwaka 2000 hatimae amejiua. Fakhra Younus, 33 amejijiua kwa kujirusha kutoka katika ghorofa ya sita huko Rome nchini Italia baada ya takribani miaka 12 tangu amwagiwe tindikali ambayo mwenyewe alisema imemfanya aonekane kama si binaadamu. Tukio la kumwagiwa kwa tindikali ambalo inasadikiwa aliyekuwa mumewe, Bilal Khar aliingia nyumbani kwa mama yake mwanamke huyo na kumwagia tindikali Fakhra usoni mwake wakati akiwa amelala. Unyama huo ambao uliharibu uso wa mrembo huyo na kupelekea kufanyiwa operesheni mara 39 ili kuweka sawa sehemu za uso zilizoharibika. Kutokana na kumwagiwa tindikali hiyo aliunguza nywele zake, alipoteza pua, midomo, sikio la kushoto, kuunguza matiti na hata kupofua moja ya jicho lake. Younus, kushoto, akiwa na Tehmina Durrani, ambaye alikuwa akimsaidia wakati

Tuzo Za Wanahabari Bora

Rais Dk. Jakaya Rais wa T-anzania Jakaya Kikwete akiwa amewasili ukumbini tayari kwa kukabidhi tuzo hizo za waandishi Ijumaa usiku hapa katika picha akionekana kufuatilia ngoma ya asili kutoka kundi la Simba Theatre la jijini Dar es salaam. kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa Baraza la habari Tanzania (MCT) Chande Omar na katikati ni Katibu Mtendaji wa Baraza la Habari Kajubi Mukajanga nao wakifuatilia burudani hiyo. Leo ndiyo leo kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee ambapo kunafanyika hafla kubwa ya utoaji wa tuzo ya Umahili wa uandishi wa habari kwa mwaka wa 2012 zinazoandaliwa na Baraza la Habari MCT na washirika wake ambapo mgeni rasmi ni Rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Dr. Jakaya Kikwete. Wamejitokeza wageni waalikwa mbalimbali wakiwemo wasomi na waandishi wa habari wakongwe kama picha ya kwanza inavyoonekana kutoka kulia ni Profesa Aisha Yahya Othman mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Mlimani, Jenrrali Ulimwengu, Jaji Mstaafu Thomas Mihayo aliyesimama

Nathan Mpangala Ashinda Tuzo Ya Mchora Katuni Bora(EJAT)

.Nathan Mpangala Kwa wiki kadhaa sasa yuko mafunzoni nchini Mexico, akihudhuria kozi fupi ya waandishi wa habari, inayohusu Civil Resistance and Non violence Conflict. Hapa akiwa na baadhi ya washiriki wenzake toka sehemu mbalimbali duniani, wakiandaa michoro kwa ajili ya video itakayotumika kwenye kampeni ya familia zilizopoteza ndugu, jamaa na marafiki kutokana na mauaji ya kila siku yanayohusishwa na biashara ya dawa za kulevya. Nathan Mpangala pia usiku huu ameshinda tuzo ya wachoraji bora wa katuni katika tuzo za (AJET) zilizoandaliwa na Baraza la Habari (MCT) zinazofanyika usiku huu kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es salaam. Hapa wakiendelea na kazi yao ya kuandaa katuzi hizo zinazohusu mauaji yanayotokana na  madawa ya kulevya nchini Mexico.

Kampeni Za CHADEMA Arumeru Jana

  Sehemu ya umati uliokuwa kwenye kampeni za CHADEMA Kikatiti jana.ni hapa ambapo jana saa saba hadi saa kumi,CCM na Lowasa walifanya mkutano,na baadaye CHADEMA kufanya mkutano hapohapo Kikatiti.Leo ndiyo CHADEMA wanahitimisha kampeni zao Tengeru walikohitimisha CCM jana pia.Tengeru ndiyo nyumbani kwa mwanzilishi wa CHADEMA mzee Edwine Mtei Msanii wa CHADEMA MwanaCotilde akihamasisha umma jukwaani,Kikatiti jana Na Mjumbe aliye Arumeru

Rais Kikwete Katika Tuzo Za EJAT

 Rais Jakaya Kikwete akiongea na Fili Karashani Mwandishi mkongwe naambaye ameshinda  tuzo ya Maisha ya Mafanikio katika Tasnia ya Habari mwaka 2011, katika tuzo za (EJAT) zilizoandaliwa na Baraza la Habari Nchini Tanzania (MCT) na washirika wake, hafla hiyo inafanyika kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee usiku huu, katika picha kushoto ni Mwandishi wa siku nyingi Khamis Ben Kiko.  Rais Jakaya Kikwete akimkabidhi Nevil Meena cheti cha ushindi wa jumla kwa katika tuzo hizo mara baada ya kutangazwa rasmi.  Kikundi cha Ngoma za asili cha Simba Thietre kikitumbuiza katika tuzo hizo.  Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Kampuni ya bia ya Serengeti (SBL) Teddy Mapunda akikabidhi tuzo kwa mwandhishi wa habari wa Mlimani Radio Tuma Dandi mshindi wa habari za watu wenye ulemavu- Redio  Mhariri wa gazeti la Tanzania Daima Absalom Kibanda akikabidhi tuzo kwa Abdallah Majura Mkurugenzi wa Radio Sports FM ya Dodoma. Kaimu Mkurugenzi Mtendaji na Mkurugenzi wa Fedha wa Kam

acheza shoo watakaocheza nusu uchi kukiona cha moto

BARAZA la Sanaa la Taifa (BASATA) limesema bado linakerwa na tabia ya uvunjifu wa maadili katika sanaa za maonyesho, hasa unenguaji na kutaka hali hiyo ifike mwisho. Katibu Mtendaji wa BASATA, Ghonche Materego alisema hayo mwishoni mwa wiki iliyopita mjini Dar es Salaam na kuongeza kuwa, ni lazima kuwe na mabadiliko dhidi ya uvunjifu wa maadili kwenye sekta ya sanaa, vinginevyo hatua zitaanza kuchukuliwa. “Haya si mambo yanayofurahisha, ni lazima jamii ionyeshe ushirikiano kwa kupambana na udhalilishaji wa aina hii. Kuna mambo yasiyopaswa kufanyika hadharani na yanabaki kuwa ya ndani tu kwenye klabu za usiku na Casino, si vinginevyo” alisistiza Materego. Aliongeza kuwa, si jambo la busara hata kidogo kwa maonyesho hayo ya sehemu maalum za ndani kuanza kufanywa hadharani kwani ni kinyume cha sheria na taratibu za nchi na ni udhalilishaji wa sekta ya sanaa hivyo aliwataka wasanii kujipanga ili kupambana na tatizo hilo. “Mabadiliko lazima yafanywe. Vyama, mashiriki

THE NGOMA AFRICA BAND

The Golden Voice of East Africa Soulful Vocals,hypnotic guitars and driving Rhythm of BONGO DANCE I t's the first African band to use is music as cross culture bridge from T a nzania in East Africa to the World! Ngoma Africa Band wich has been named The Golden Voice of East Africa is a fast-growing band with a huge fans base worldwide.Its's the first African band to use is music as cross culture bridge from Tanzania in East Africa to the World. Ngoma Africa Band, a Tanzanian band base in Germany,founded in the year 1993 by Ebrahim Makunja aka ras makunja,named several time is the best band in many festivals. This is beacuse of the way the band presents itself Live on stage.It penetrates the souls of the fans and automatically the audience became crazy!,especially when the band applies the EXTRA ORDINARY "Bongo Dansi" or "MZIKI WA DANSI" wich simple means danceable music from Tanzania. The Fans found rhythm unique,

Jahazi Literary & Jazz Festival Writers for Peace award ceremony

Miss. Salha Haji Omar, from Mpapa Secondary School, was awarded a university scholarship for winning the Jahazi Literary & Jazz Festival schools writing competition. The founder of Jahazi Literary & Jazz Festival, Mr. Abeid Amani Karume, and the Minister of Education, Mr. Ramadhan Abdalla Shaban, awarded the scholarship to Miss. Omar at a public ceremony at Mpapa Secondary School on Monday 26 th of April. Mr. Karume said: “Salha, when you graduate we expect you to become a productive member of our society, and where ever you may reach do not forget your past and your country.  This scholarship will widen the goals and aspirations of its winners, and we wish them well in their endeavours.” The festival's Writers for Peace' schools writing competition is designed to inspire school children and encourage them to nurture cultures that value education and peace. The second competition is due to be launched in May. Miss Omar told us that: “I can’t bel