Skip to main content

UPUNGUZAJI UMASIKINI UENDANE NA KUKABILIANA NA MABADILIKO YA TABIA NCHI


Mkurugenzi Mtendaji wa TASAF Ladislaus Mwamanga akitoa hotuba kwenye katika Warsha ya wadau wanaohusika na masuala ya kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi sambamba na kuondoa umasikini. warsha hiyo Imeandaliwa na Benki ya Dunia na kushirikiana na TASAF kufanyika jijini Machi 20.2012.
Mkufunzi kutoka Red-Cross Pablo Suarez akitoa mafunzo kwa vitendo kwa wanawarha hao leo.
Wadau mbalimbali wakiwa na wakufunzi wakishirikana katia mazoezi kwa vitendo ili kuchangamsha mwili katika warsha hiyo. Picha zote na Mwanakombo Jumaa- MAELEZO
 
NA MAGRETH - KINABO
MKURUGENZI Mtendaji wa Mfuko wa Hifadhi ( TASAF),Ladislaus Mwamanga ametoa changamoto kuwa huondoaji wa umasikini katika jamii huendane sambamba na jinsi ya kuweza kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi, ikiwemo athari za maafa.
Kauli hiyo ilitolewa leo wakati akifungua mkutano wa jinsi ya kuoanisha namna ya kuondoa na umasikini na kukabiliana na mabadiliko ya tabia na maafa uliofanyika kwenye hoteli ya Serena jijini Dares Salaam ambao umehusisha wadau kutoka serikalini, asasi za kiraia, mashirika yasiyoya kiserikali na taasisi zinazohusiana na utafiti.
“Kumekuwapo na matukio ya kuongezeka kwa joto na mabadiliko ya tabia nchi hali inayoathiri uchumi na maisha ya jamii. Mabadiliko ya tabia nchi , madhara yanayotokana na maafa, ikiwemo umasikini ni changamoto zinazotukabili hivi sasa.
“Ni lazima upunguzaji wa umasikini uendane sambamba na kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi, huwezi ukazuia tatizo moja ukaliacha lingine,” alisema Mwamanga.
Aliongeza kuwa tafiti mbalimbali zimeonyesha kuwa uwezeshaji wa wananchi kiuchumi kupitia miradi mbalimbali hautaweza kufanikisha malengo ya maendeleo ya milinea ikiwa masuala yote hayatakwenda pamoja.
Mwamanga alisema lengo la mkutano huo ni kujenga uelewa kwa wadau mbalimbali jinsi ya kubuni mbinu za kuikinga jamii ili iweze kuondokana na matatizo hayo.
Aliongeza baada ya mkutano huo, wadau hao watatoa mafunzo katika jamii ya watu masikini kwa kutumia uhawilishaji fedha katika,(kuwapatia kipato), ambao wenye uwezo wa kufanya kazi , kuwapatia ajira na kuhamasisha jamii iweze kupata kipato kwa kutumia miradi mbalimbali na kuweka akiba kwa ajili kuongeza mingine.
Alisema TASAF iko tayari kuendelea kufanya kazi na wadau na nchi mbalimbali ambapo itaingiza katika utekelezaji wa mkakati wa awamu ya tatu wa mwaka 2012 - 2022 wa ikiwa ni hatua ya kukabiliana na changamoto hizo.
Aidha Mwamanga alisema TASAF kwa kushirikiana na Benki ya Dunia(WB) ambao ndio waandaji wa mkutano huo wameshaanza kutekeleza masuala hayo kwa kuingiza kwenye utekelezaji wa mipango yao ili kuweza kupunguza tatizo ya umasikini sugu unaochangia mabadiliko ya tabia nchi, mafuriko na ukame.
Naye Mwakilishi wa WB, ambaye Mwandamizi wa yanayohusiana na Jamii ,Ida Manjolo alisema uhamasishaji wa elimu hiyo itatolewa katika ngazi mbali za kijiji , wilaya na mikoa kwa wananchi kuhusu maendeleo yao kupitia wadau hao .

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.