Skip to main content

UPUNGUZAJI UMASIKINI UENDANE NA KUKABILIANA NA MABADILIKO YA TABIA NCHI


Mkurugenzi Mtendaji wa TASAF Ladislaus Mwamanga akitoa hotuba kwenye katika Warsha ya wadau wanaohusika na masuala ya kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi sambamba na kuondoa umasikini. warsha hiyo Imeandaliwa na Benki ya Dunia na kushirikiana na TASAF kufanyika jijini Machi 20.2012.
Mkufunzi kutoka Red-Cross Pablo Suarez akitoa mafunzo kwa vitendo kwa wanawarha hao leo.
Wadau mbalimbali wakiwa na wakufunzi wakishirikana katia mazoezi kwa vitendo ili kuchangamsha mwili katika warsha hiyo. Picha zote na Mwanakombo Jumaa- MAELEZO
 
NA MAGRETH - KINABO
MKURUGENZI Mtendaji wa Mfuko wa Hifadhi ( TASAF),Ladislaus Mwamanga ametoa changamoto kuwa huondoaji wa umasikini katika jamii huendane sambamba na jinsi ya kuweza kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi, ikiwemo athari za maafa.
Kauli hiyo ilitolewa leo wakati akifungua mkutano wa jinsi ya kuoanisha namna ya kuondoa na umasikini na kukabiliana na mabadiliko ya tabia na maafa uliofanyika kwenye hoteli ya Serena jijini Dares Salaam ambao umehusisha wadau kutoka serikalini, asasi za kiraia, mashirika yasiyoya kiserikali na taasisi zinazohusiana na utafiti.
“Kumekuwapo na matukio ya kuongezeka kwa joto na mabadiliko ya tabia nchi hali inayoathiri uchumi na maisha ya jamii. Mabadiliko ya tabia nchi , madhara yanayotokana na maafa, ikiwemo umasikini ni changamoto zinazotukabili hivi sasa.
“Ni lazima upunguzaji wa umasikini uendane sambamba na kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi, huwezi ukazuia tatizo moja ukaliacha lingine,” alisema Mwamanga.
Aliongeza kuwa tafiti mbalimbali zimeonyesha kuwa uwezeshaji wa wananchi kiuchumi kupitia miradi mbalimbali hautaweza kufanikisha malengo ya maendeleo ya milinea ikiwa masuala yote hayatakwenda pamoja.
Mwamanga alisema lengo la mkutano huo ni kujenga uelewa kwa wadau mbalimbali jinsi ya kubuni mbinu za kuikinga jamii ili iweze kuondokana na matatizo hayo.
Aliongeza baada ya mkutano huo, wadau hao watatoa mafunzo katika jamii ya watu masikini kwa kutumia uhawilishaji fedha katika,(kuwapatia kipato), ambao wenye uwezo wa kufanya kazi , kuwapatia ajira na kuhamasisha jamii iweze kupata kipato kwa kutumia miradi mbalimbali na kuweka akiba kwa ajili kuongeza mingine.
Alisema TASAF iko tayari kuendelea kufanya kazi na wadau na nchi mbalimbali ambapo itaingiza katika utekelezaji wa mkakati wa awamu ya tatu wa mwaka 2012 - 2022 wa ikiwa ni hatua ya kukabiliana na changamoto hizo.
Aidha Mwamanga alisema TASAF kwa kushirikiana na Benki ya Dunia(WB) ambao ndio waandaji wa mkutano huo wameshaanza kutekeleza masuala hayo kwa kuingiza kwenye utekelezaji wa mipango yao ili kuweza kupunguza tatizo ya umasikini sugu unaochangia mabadiliko ya tabia nchi, mafuriko na ukame.
Naye Mwakilishi wa WB, ambaye Mwandamizi wa yanayohusiana na Jamii ,Ida Manjolo alisema uhamasishaji wa elimu hiyo itatolewa katika ngazi mbali za kijiji , wilaya na mikoa kwa wananchi kuhusu maendeleo yao kupitia wadau hao .

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...