Skip to main content

Ni Muhimu Kushirikihana Kazini

Picha ya pamoja uongozi wa TUGHE Taifa na Uongozi wa TCIA
Mandhar ya ukumbi wa mkutano
washiriki wa mkutano wakifuatilia kwa makini
Meza kuu wakiimba wimbo wa Mshikamano

NA MAGRETH KINABO – MAELEZO
Uwazi, na ushirikishawaji hupunguza migogoro kazini.
IMEELEZWA kuwa uendeshaji wa taasisi kwa uwazi , usikivu wa viongozi na uongozi wa pamoja kati ya menejimenti na wafanyakazi katika kupanga mipango na kuweka maamuzi mbalimbali ndio nguzo kuu ya uboreshaji wa mahusiano mahali pa kazi.
Hayo yalisemwa leo (jana) na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Anga Tanzania(TCAA) ,Fadhili Manongi wakati akizungumza na mwandishi wa habari hizi mara baada ya kutia saini mkataba mpya wa Ushirikishaji wa Wafanyakazi na Baraza la Wafanyakazi na Chama cha Wafanyakazi wa Serikali Kuu na Afya(TUGHE) na mamlaka hiyo.
Utiaji saini wa mkataba huo wa miaka mitatu ulifanyika katika ofisi za makao makuu ya mamlaka hiyo ambapo viongozi mbalimbali wa pande zote hizo walisaini. Miongoni mwa viongozi waliotia saini makataba huo ni Manongi, Katibu Mkuu Msaidizi Taifa(TUGHE), John Sanjo na Katibu wa TUGHE Mkoa wa Dares Salaam, Gaudensi Kadyanga.
“Hakuna matatizo katika tawi letu pale inapotoekea tofauti tunakaa chini tunaelezana.hivyo ni vizuri kwa viongozi mahali pa kazi kuwa wasikivu wa mambo mbalimbali kutoka kwa wafanyakazi kwa kuwa wao ndio wanaojua mambo mengi kuliko sisi tunavyojua.
“Hivyo kuna umuhimu wa kuwashirikisha wafanyakazi mambo mbalimbali na bajeti kwa kuwa wanaweza kuishauri menejimenti ili kuweza kupunguza athari zitakazoweza kujitokeza,” alisema Manongi.
Aliongeza kuwa pia yanapotoea mafanikio mahali pa kazi ni vizuri kutoa maotisha kwa wafanyakazi ili kupunguza migogoro na uchangia kuongeza ari ya kufanya kazi.
Naye Mwenyekiti wa Tawi la TUGHE la mamlaka hiyo, ambaye pia alitia saini mkataba huo, Eugene Lwala alisema mamlaka hiyo imefanikiwa kuboresha mahusiano hayo kutokana kuwa viongozi wa pande hizo zote mbili kuheshimu mipaka yao ya kazi , kuvumiliana na vikao vya mara kwa mara.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...