Skip to main content

Ni Muhimu Kushirikihana Kazini

Picha ya pamoja uongozi wa TUGHE Taifa na Uongozi wa TCIA
Mandhar ya ukumbi wa mkutano
washiriki wa mkutano wakifuatilia kwa makini
Meza kuu wakiimba wimbo wa Mshikamano

NA MAGRETH KINABO – MAELEZO
Uwazi, na ushirikishawaji hupunguza migogoro kazini.
IMEELEZWA kuwa uendeshaji wa taasisi kwa uwazi , usikivu wa viongozi na uongozi wa pamoja kati ya menejimenti na wafanyakazi katika kupanga mipango na kuweka maamuzi mbalimbali ndio nguzo kuu ya uboreshaji wa mahusiano mahali pa kazi.
Hayo yalisemwa leo (jana) na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Anga Tanzania(TCAA) ,Fadhili Manongi wakati akizungumza na mwandishi wa habari hizi mara baada ya kutia saini mkataba mpya wa Ushirikishaji wa Wafanyakazi na Baraza la Wafanyakazi na Chama cha Wafanyakazi wa Serikali Kuu na Afya(TUGHE) na mamlaka hiyo.
Utiaji saini wa mkataba huo wa miaka mitatu ulifanyika katika ofisi za makao makuu ya mamlaka hiyo ambapo viongozi mbalimbali wa pande zote hizo walisaini. Miongoni mwa viongozi waliotia saini makataba huo ni Manongi, Katibu Mkuu Msaidizi Taifa(TUGHE), John Sanjo na Katibu wa TUGHE Mkoa wa Dares Salaam, Gaudensi Kadyanga.
“Hakuna matatizo katika tawi letu pale inapotoekea tofauti tunakaa chini tunaelezana.hivyo ni vizuri kwa viongozi mahali pa kazi kuwa wasikivu wa mambo mbalimbali kutoka kwa wafanyakazi kwa kuwa wao ndio wanaojua mambo mengi kuliko sisi tunavyojua.
“Hivyo kuna umuhimu wa kuwashirikisha wafanyakazi mambo mbalimbali na bajeti kwa kuwa wanaweza kuishauri menejimenti ili kuweza kupunguza athari zitakazoweza kujitokeza,” alisema Manongi.
Aliongeza kuwa pia yanapotoea mafanikio mahali pa kazi ni vizuri kutoa maotisha kwa wafanyakazi ili kupunguza migogoro na uchangia kuongeza ari ya kufanya kazi.
Naye Mwenyekiti wa Tawi la TUGHE la mamlaka hiyo, ambaye pia alitia saini mkataba huo, Eugene Lwala alisema mamlaka hiyo imefanikiwa kuboresha mahusiano hayo kutokana kuwa viongozi wa pande hizo zote mbili kuheshimu mipaka yao ya kazi , kuvumiliana na vikao vya mara kwa mara.

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.