Skip to main content

KIHAMA CHA STESHENI ZA RADIO NA TV DESEMBA 31 SAA 6 USIKU


vituo vya radio nchini vingi kujifunga vyenyewe kwa kuingia kwa teknolojia ya Dijitali

Nchi yetu itasitisha rasmi matumizi ya teknolojia ya utangazaji ya analojia na kuhamia teknolojia ya dijitali ifikapo tarehe 31 Desemba, 2012 saa sita usiku.
Lengo la kufanya hivyo ni kuendana na kasi ya ukuaji wa teknolojia ya mawasiliano duniani kote,Miongoni mwa faida za kutumia teknolojia ya dijitali ni kuongezeka kwa ubora wa matangazo ya televisheni, ongezeko la chaneli za televisheni litakalotokana na matumizi bora ya masafa, kuwepo kwa masafa ya ziada yatakayopatikana baada ya kuzimwa kwa mitambo ya analojia inayotumia masafa mengi, kuongezeka kwa watoa huduma wa mawasiliano ya simu, matangazo ya televisheni kupatikana katika vifaa vingi zaidi vya mawasiliano kama vile simu za mkononi na kompyuta kupitia mtandao wa intaneti.
Teknolojia ya Habari na Mawasiliano inakua kwa kasi sana na hivyo kuwa kichocheo katika maendeleo ya kijamii na kiuchumi. Kufuatia kasi ya ukuaji wa teknolojia, sekta ya utangazaji ipo katika mabadiliko kutoka mfumo wa teknolojia ya analojia kwenda mfumo wa wa digitali duniani kote. Hii inatokana na changamoto zinazoikabili teknolojia ya analojia ikiwemo uhafifu wa picha na sauti, matumizi makubwa ya masafa na nishati, pamoja na teknolojia inayopitwa na wakati ya kurushia matangazo ya aina hiyo.Ndi

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.