Skip to main content

Baada Ya SBL Sasa 'Ndoa' ya TFF, NMB Yafika Mwisho


MKATABA wa Benki ya NMB na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), umefikia tamati tangu Desemba mwaka jana, na taarifa za ndani zinadai kuwa taasisi hiyo kubwa ya fedha nchini haina tena mpango wa kuingia mkataba mpya.
NMB iliingia mkataba wa udhamini na TFF kwa muda wa miaka mitano wenye thamani ya Sh400milioni kila mwaka.
Msemaji wa TFF, Boniface Wambura alisema jana jijini Dar es Salaam kwamba ni kweli mkataba wao na benki hiyo umekwisha tangu mwishoni mwa mwaka jana.
Kuhusu taarifa kwamba benki hiyo haina tena nia ya kuingia mkataba mpya, Wambura alisema taarifa zilizopo ni kwamba wako kwenye mazungumzo ya kuingia mkataba mpya.
"Ni kweli mkataba na NMB umekwisha tangu mwaka jana mwishoni, kwa sasa tumefungua milango ya mazungumzo ili kuangalia makubaliano mapya," alisema Wambura.
Kauli ya Wambura ilikuwa sawa na ile ya Mkuu wa Masoko na Mawasiliano wa NMB, Imani Kajula.
Akiongea na Mwananchi jana, Kajula alisema mkataba na TFF umefikia tamati, lakini hata hivyo bado kuna fursa na mazungumzo zaidi kuangalia uwezekano wa kudhamini tena.
NMB ilikuwa ikiidhamini TFF kila mwaka kwa miaka mitano mfululizo na imekuwa ikitoa Sh400milioni kila mwaka.
Katika udhamini huo NMB walikuwa wakisaidia maeneo matatu, Taifa Stars ambayo ilikuwa ikipata Sh150milioni, Timu ya Taifa ya Vijana (Serengeti Boys) Sh150milioni na TFF Sh100milioni ambazo zilitumika kwa ajili ya shughuli za kiofisi.
Kufuatia hali hiyo, mkutano mkuu wa TFF wa kawaida wa mwaka uliokuwa ufanyike mwaka jana kwa mujibu wa katiba, ulishindikana na badala yake umepangwa kufanyika mwishoni mwa Aprili.
Katika mkutano huo ambao habari zilizopo ni kuwa unadhamini na kampuni ya Said Salim Bakharesa, pamoja na mambo mengine utajadili pia suala la Kampuni ya Klabu za Ligi Kuu, uanachama wa mikoa mipya, ambayo ni Katavi, Njombe, Geita, Simiu ikiwa ni pamoja na suala zima la  mapato na matumizi ya shirikisho pamoja na Uchaguzi Mkuu, utakaofanyika mwishoni mwa mwaka huu.
Source:Mwananchi

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.