Skip to main content

Baada Ya SBL Sasa 'Ndoa' ya TFF, NMB Yafika Mwisho


MKATABA wa Benki ya NMB na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), umefikia tamati tangu Desemba mwaka jana, na taarifa za ndani zinadai kuwa taasisi hiyo kubwa ya fedha nchini haina tena mpango wa kuingia mkataba mpya.
NMB iliingia mkataba wa udhamini na TFF kwa muda wa miaka mitano wenye thamani ya Sh400milioni kila mwaka.
Msemaji wa TFF, Boniface Wambura alisema jana jijini Dar es Salaam kwamba ni kweli mkataba wao na benki hiyo umekwisha tangu mwishoni mwa mwaka jana.
Kuhusu taarifa kwamba benki hiyo haina tena nia ya kuingia mkataba mpya, Wambura alisema taarifa zilizopo ni kwamba wako kwenye mazungumzo ya kuingia mkataba mpya.
"Ni kweli mkataba na NMB umekwisha tangu mwaka jana mwishoni, kwa sasa tumefungua milango ya mazungumzo ili kuangalia makubaliano mapya," alisema Wambura.
Kauli ya Wambura ilikuwa sawa na ile ya Mkuu wa Masoko na Mawasiliano wa NMB, Imani Kajula.
Akiongea na Mwananchi jana, Kajula alisema mkataba na TFF umefikia tamati, lakini hata hivyo bado kuna fursa na mazungumzo zaidi kuangalia uwezekano wa kudhamini tena.
NMB ilikuwa ikiidhamini TFF kila mwaka kwa miaka mitano mfululizo na imekuwa ikitoa Sh400milioni kila mwaka.
Katika udhamini huo NMB walikuwa wakisaidia maeneo matatu, Taifa Stars ambayo ilikuwa ikipata Sh150milioni, Timu ya Taifa ya Vijana (Serengeti Boys) Sh150milioni na TFF Sh100milioni ambazo zilitumika kwa ajili ya shughuli za kiofisi.
Kufuatia hali hiyo, mkutano mkuu wa TFF wa kawaida wa mwaka uliokuwa ufanyike mwaka jana kwa mujibu wa katiba, ulishindikana na badala yake umepangwa kufanyika mwishoni mwa Aprili.
Katika mkutano huo ambao habari zilizopo ni kuwa unadhamini na kampuni ya Said Salim Bakharesa, pamoja na mambo mengine utajadili pia suala la Kampuni ya Klabu za Ligi Kuu, uanachama wa mikoa mipya, ambayo ni Katavi, Njombe, Geita, Simiu ikiwa ni pamoja na suala zima la  mapato na matumizi ya shirikisho pamoja na Uchaguzi Mkuu, utakaofanyika mwishoni mwa mwaka huu.
Source:Mwananchi

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...