Skip to main content

Ofisi ya Vitambulisho Zanzibar Yatunukiwa Vyeti vya Ubora wa Kimataifa vya Utengenezaji Vitambulisho

Mkurugenzi wa Vitambulisho Zanzibar Mohammed Juma Ame, akitowa maelezo ya mafanikio yao ya kushida katika kiwango cha Kimataifa cha Utengenezaji wa Vitambulisho, wakati wa sherehe za kutunukiwa Vyeti hivyo iliofanyika katika ukumbi wa hoteli ya Zanzibar Beach Mazizini.
Katibu Mkuu wa Ofisi ya Rais Ikulu Salum Maulid, akizungumza katika sherehe za kukabidhi Vyeti vya Ubora wa Kimataifa wa Utengenezaji Vitambuliza, zilizofanyika katika ukumbi wa hoteli ya Zanzibar Beach Mazizini.
Wafanyakazi Ofisi ya Vitambulisho wakiwa makini kusubiri kupoke Vyeti vyao vya Ubora wa Utengenezaji Vitambulishi Kimataifa, kwa kazi inzuri wanayofanya kuboresha utegenezaji wa Vitambuli hivyo hapa Zanizbar na kutowa huduma hiyo kwa Taasisi mbalimba.
Wazee wa meza kuu wakimsikiliza Avraham Rost, Lead Auditor Quality&Certification Division, akizungumza katika sherehe hizo za kukabidhi Vyeti vya Ubora wa Kimataifa vya Utengenezaji Vitambulisho, kwa Ofisi ya Vitambulisho Zanzibar
Mameneja wa Ofisi ya Vitambulisho Zanzibar wakiwa makini wakimsikiliza Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Ikulu Salum Maulid, akitowa nasaha zake kwa Wafanyakazi wa Ofisi hiyo.
 Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Ikulu Salum Maulid, akiwa na kimoja ya Vyeti vya Ubora wa Kimataifa vya Utengenezaji Vitambulisho,kulia Lead Auditor, Quality&Certification Division Avraham Rost, Mkurugenzi wa Vitambulisho Zanzibar Mohammed Juma Ame,Securty &Quality Consultant Securitree Inter. Ltd Israel, Merav Vered.Inatoka kwa mdau LUkaza.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...