Skip to main content

Wanamitindo watatu, washinda usaili wa Millen Magese


Mwanamitindo wa kimataifa wa Tanzania, Millen happiness Magese akipiga picha ya pamoja na washindi watatu waliopata tiketi ya kuonyesha mavazi katika wiki ya mitindo ya Afrika Kusini, Victor Casmir, Victoria Casmir na Anastazia Gura katika picha ya pamoja. wengine katika picha ni   Aminat Ayinde kutoka kampuni ya America  Next top model cycle 12 (wa kwanza kushoto), Ritha Poulsen (wa kwanza kulia) na Mustapha Hassanali aliyesimama nyuma.
 ***
Wanamitindo watatu, Anastazia Gura (21) na mapacha, Victoria Casmir (20) na Victor Casmir wameshinda usaili uliondeshwa na kampuni ya Millen Magese Group Company Limited chini ya mpango wake wa kuitangaza Tanzania kupitia fani ya mitindo ujulikanao kwa jina la Tanzania International Fashion Exposé (TIFEX).

Wanamitindo hao wamefanikiwa kupita katika usaili huo ambao uliwajumuisha wanamitindo 350 kutoka katika maeneo mbali mbali ya jiji la Dar es Salaam na mikoa ya jirani.

Kutokana na ushindi huo, wanamitindo hao wanatarajia kuondoka mwishoni mwa mwezi huu kuelekea nchini Afrika Kusini kushiriki kwa mara ya kwanza katika historia katika fani ya mitindo ya wiki ya mitindo ya Afrika Kusini maarufu kwa jina la South Africa Fashion Week.

Akizungumza baada ya usaili huo, Millen alisema kuwa amestushwa sana na ujio wa wanamitindo mbali mbali mbali waliofika katika usaili huo japo alitangaza kwa muda mfupi.

Millen alisema kuwa awali alipanga kuchukua wanamitindo wawili, lakini kutokana na idadi kubwa iliyojitokeza, ameongeza nafasi moja kama shukrani yake ya witikio huo mkubwa.

Alisema kuwa walipata kazi kubwa sana kuchagua wanamitindo hao watatu, lakini kwa kushirikiana na wanamitindo maarufu  Aminat Ayinde kutoka kampuni ya America  Next top model cycle 12 na Ritha Poulsen, waliweza kufanikisha zoezi hilo mapema zaidi.

Millen alisema kuwa washindi hao wamepata fursa pekee ya kujitangaza wenyewe kimataifa na kufuata nyayo zake.

Alisema kuwa lengo kubwa la kampuni yake ni kuendeleza fani ya uanamitindo na vile vile kuitangaza Tanzania nje ya mipaka yake kwa kupitia fani ya mitindo na hata kwa njia ya utalii.

Aliongeza kuwa japo Tanzania ina wanamitindo wengi na wabunifu, bado kuna pengo kubwa ukilinganisha na maendeleo ya fani hiyo katika nchi ya Afrika Kusini na Nigeria.

Alisema kuwa nchi hizo zimepiga hatua kubwa sana na yeye kuhamasika kuanzisha kampuni yake iliyozinduliwa mwezi Machi mwaka jana kwa lengo la kuziba pengo hilo na kuleta maendeleo ili wahusika wafaidike na matunda ya fani yao.

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...