| Kalunde Jamal UHABA wa vifaa vya kitabibu nusura ugharimu maisha ya kipa Moro United, Dickson Chove aliyegongwa na mshambuliaji Nsa Job wa Villa Squad na kuzimia kwa dakika kadhaa kwenye Uwanja wa Azam Chamazi jijini Dar es Salaam, juzi Jumatano.Kuzimia kwa Chove kumekuja ikiwa ni wiki chache tangu dunia iliposhudia kiungo wa Bolton, Fabrice Muamba akinusurika kifo kutokana kukwama kwa mishipa ya moyo iliyosabisha kuzimia uwanjani. Tukio hilo la kusikitisha lilitokea kwenye mchezo huo wa Ligi Kuu uliozikutanisha timu za Moro United dhidi ya Villa Squad kwenye Uwanja wa Azam Chamazi nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam bila ya kuwepo kwa gari la wagonjwa wala vifaa sahihi vya kitabibu kwa ajili ya kuwasaidia wachezaji wanapoumia uwanjani hapo. Chove aligongana na Job alipokuwa akijaribu kumzuia asifunge na kupoteza fahamu ndipo viongozi na madaktari walipoingia uwanjani kwa lengo la kumsaidia wakiwa mikono mitupu. Daktari na viongozi hao walipofika haraka waliamua kumvua jezi na kuanza kumpepea bila ya mafanikio na kuamua kumtoa nje na kumwingiza kwenye vyumba uwanjani hapo huku wakiwa wamembeba kichwa chini miguu juu. Kama hiyo haitoshi uwanjani hapo hakukuwa na gari la wagonjwa la kumuwahisha hospitali mchezaji huyo au mitungi ya gesi ya kumsaidia kupumua. Soma zaidi: http://www.mwananchi.co.tz/michezo/16-kandanda/21573-chove-yamkuta-ya-muamba |
Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...
Comments