Skip to main content

Chove Yamkuta Ya Muamba





Kalunde Jamal
UHABA wa vifaa vya kitabibu nusura ugharimu maisha ya kipa Moro United, Dickson Chove aliyegongwa na mshambuliaji Nsa Job wa Villa Squad na kuzimia kwa dakika kadhaa kwenye Uwanja wa Azam Chamazi jijini Dar es Salaam, juzi Jumatano.Kuzimia kwa Chove kumekuja ikiwa ni wiki chache tangu dunia iliposhudia kiungo wa Bolton, Fabrice Muamba akinusurika kifo kutokana kukwama kwa mishipa ya moyo iliyosabisha kuzimia uwanjani.

Tukio hilo la kusikitisha lilitokea kwenye mchezo huo wa Ligi Kuu uliozikutanisha timu za Moro United dhidi ya Villa Squad kwenye Uwanja wa Azam Chamazi nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam bila ya kuwepo kwa gari la wagonjwa wala vifaa sahihi vya kitabibu kwa ajili ya kuwasaidia wachezaji wanapoumia uwanjani hapo.
Chove aligongana na Job alipokuwa akijaribu kumzuia asifunge na kupoteza fahamu ndipo viongozi na madaktari walipoingia uwanjani kwa lengo la kumsaidia wakiwa mikono mitupu.

Daktari na viongozi hao walipofika haraka waliamua kumvua jezi na kuanza kumpepea bila ya mafanikio na kuamua kumtoa nje na kumwingiza kwenye vyumba uwanjani hapo huku wakiwa wamembeba kichwa chini miguu juu.

Kama hiyo haitoshi uwanjani hapo hakukuwa na gari la wagonjwa la kumuwahisha hospitali mchezaji huyo au mitungi ya gesi ya kumsaidia kupumua.
Soma zaidi: http://www.mwananchi.co.tz/michezo/16-kandanda/21573-chove-yamkuta-ya-muamba

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.