Skip to main content

CHADEMA Kibaha Inawapa Pole Walioathiriwa Na Mvua Ya Upepo Jana

Mwenyekiti wa CHADEMA Mkuranga, Jamal Lwei

Mwenyekiti wa CHADEMA Mkuranga amesema leo asubuhi akitoa
salamu za pole kwa baadhi ya wanamkuranga waliofikwa na maafa kutokana
na mvua zilizoambatana na upepo siku ya jana , ambapo taarifa za awali
zinabainishwa kuezuliwa kwa mapaa ya baadhi ya nyumba za wananchi wa
wilaya hiyo na nyingine kuangukiw na miti.

Mwenyekiti huyo pamoja na mambo mengine pia amezungumzia uchaguzi wa
Arumeru Mashariki huku akisisitiza kuwa ana imani wana Arumeru
watamchagua Nassari kutokana na uwezo wake mkubwa wa kusimamia sera za
kimaendeleo.

Duru za kisiasa kutoka jimbo la Mkuranga ambalo linashikiliwa na Adam
Malima zinabainisha kuwa  watu wengi wanahamia CHADEMA Kutokana na sababu mbalimbali
pamoja na kushindwa kwa sera za CCM za maisha bora kwa kila mtanzania
huku wananchi wakiendelea kusota kwenye umasikini mkubwa huku viongozi
wa serikali hasa wale wateule wa rais Kikwete wakiogelea kwenye
utajiri mkubwa. Baadhi ya wananchi wameenda mbali zaidi huku wakihoji
kuhusu mgao wa umeme, matokeo mabovu ya shule za sekondari na msingi
pamoja na huku wakiishinikiza serikali iwalipe malipo ya fedha za
korosho ambazo wamesema bado hawajalipwa.
Na Novatus Kambota

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

RAIS WA ZANZIBAR DKT. SHEIN AFANYA MAHOJIANO NA MAMLAKA YA VITAMBULISHO VYA TAIFA

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Ali Moh amed Shein,alipokuwa akifanya mahojiano na Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa kupitia ZBC TV na kutoa wito kwa Watanzania hasa wa Zanzibar kushiriki kikamilifu katika zoezi la uandikishaji vitambulisho hivyo,ambapo zoezi hilo  linatarajia kuwanza Oktoba 15 mwaka. Mazungumzo hayo yalifanyika Ikulu mjini Zanzibar leo,(kulia) Mtangazji wa ZBC TV Nasra Nassor. Picha na Ramadhan Othman,Ikulu

Uganda Police issue fresh terror alert

  By Chris Kiwawulo, The Police have issued a fresh terror alert against a possible attack on Uganda by four terrorists from Kazakhstan. Police spokesperson Judith Nabakooba “We have received a security notification in form of an orange notice of four terrorists originating from Kazakhstan who are planning to travel to foreign countries in order to commit attacks and participate in hostile acts,” Police spokesperson Judith Nabakooba said in a statement on Monday. Nabakooba named the four active members of radical organizations as; Nassiruauly Kairat, Umurzakov Marat Eskendirovich, Kovtun Denis Valerevich and Mazhibayen Alimzhan Akhlazhanovich. By press time, a search on the international web has not yielded anything on the named persons.Last evening, police said that in collaboration with other security agencies vigilance has been stepped up to avert the terrorists’ evil plans. Police have in the past issu...