Skip to main content

Je Wanamichezo Nyota Wamo Hatarini?


Mshutuko wa moyo
Watu wengi wanafahamu kuwa matatizo ya moyo hasaa mshtuko wa moyo yanaweza tu kuwapata watu wazee.
Lakini kuna takriban vifo miatano huripotiwa kila mwaka nchini Uingereza kutokana na watu walio chini ya umri wa miaka 30.
Wakati ikitokea ni picha ya kushtua. Hasa hasa inapotokea kwa nyota wa michezo kama Fabrice Muamba mwenye umri wa miaka 23 pekee.
Fabrice ni mmoja wa wachezji walio na afya nzuri zaidi katika kilabu chake, Bolton Wanderers.
Matamshi sawa na hayo yalitolewa kuhusu marehemu Marc-Vivien Foe, aliyekuwa mchezji wa Cameroon.
Marc-Vivien alianguka na kupoteza fahamu, wakati wa mechi ya kimataifa mwaka 2003.
Lakini kinachosababisha vifo kama hivi huwa sana kutokana na mtu kurithi ugonjwa fulani kuliko hali ya kiafya ya mtu.
Hitilafu katika celi za mwili ndio chanzo kikubwa cha mipigo isiyo sawa ya moyo au ugonjwa wa misuli ya moyo ujulikanao kama "Cardiomyopathies".
Inawezekana hali ya mtu inaweza kumfanya kupata mshutuko wa moyo, licha ya kuwa anafanya mazoezi kila siku na wala hasongwi sana na mawazo. Hii ni kwa mujibu wa Daktari mmoja mtaalamu wa matibabu ya moyo Leonard Shapiro.
Sasa ikawaje mtu mwenye kufanya mazoezi moyo wake kusimama? Hili kwa kweli halijulikani vyema. Lakini utafiti unapendekeza kuwa wale waliorithi matatizo ya moyo uwezekano wa moyo wao kusimama ni mara mbili sawa na wale wanaoshiriki michezo inayohitaji nguvu nyingi.
Daktari Leonard Shapiro, ambaye ni mtaalamu wa matibabu ya moyo pamoja na kuwa mshauri wa shirikisho la soka Uingereza, FA, anasema ni vigumu kufahamu chanzo cha mshtuko wa moyo.
Lakini anasisitiza kuwa kuna mambo kadhaa yanayoweza kumfanya mtu kupata mshutuko wa licha ya kuwa anajihusiha sana na mazoezi yanayohitaji nguvu nyingi.
Sasa je , nini kinaweza kufanyika ili kuzuia matukio kama haya?
Vitengo mbali mbali vya michezo nchini Uingereza hufanyia wachezaji ucgunguzi wa kiafya, ingawa sio lazima, kama ilivyo katika baadhi ya nchi , mfano Italy.
Sio kamili
Katika soka, wachezaji hufanyiwa uchungiz wa kiafya wakiwa na umri wa miaka 16 na kisha kupata ukaguzi zaidi katika siku za baadaye.
Wengi wanaopatikana kuwa na matatizo yoyote, huwa hawaruhusiwi kushirki kwenye michezo ya hali ya juu.
Daktari wa moyo katika michezo, Sanjay Sharma, anasema kuwa ukaguzi huo ni wa kiwango cha juu lakini sio kamili.
Ukaguzi wenyewe unahusu kuchukua historia ya kiafya ya mchezaji kuhusu maradhi ya moyo, kufahamu ikiwa mchezaji huhisi uchungu kifuani wakati akipumua na hata kuuliza maswali kuhusu historia ya familia kwa sababu matatizo mengi ya moyo hutokana na kurithi.
Hata hivyo ukaguzi huu sio hakikisho kuwa mchezaji hawezi kuwa matatizo ya moyo baadaye na tatizo kubwa zaidi huwa matatizo hayo huwa sio ya kudumu.
Hujitokeza tu na kisha kutibika, sawa na hali ya Muamba. Imesemekana kuwa Muamba amefanyiwa ukaguzi wa moyo mara nne tangu aanze kucheza soka, wa hivi karibuni ukifanywa mwaka jana
Chanzo:BBCInatoka kwa mdau Mjengwa.
Reactions::

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.