Skip to main content

Je Wanamichezo Nyota Wamo Hatarini?


Mshutuko wa moyo
Watu wengi wanafahamu kuwa matatizo ya moyo hasaa mshtuko wa moyo yanaweza tu kuwapata watu wazee.
Lakini kuna takriban vifo miatano huripotiwa kila mwaka nchini Uingereza kutokana na watu walio chini ya umri wa miaka 30.
Wakati ikitokea ni picha ya kushtua. Hasa hasa inapotokea kwa nyota wa michezo kama Fabrice Muamba mwenye umri wa miaka 23 pekee.
Fabrice ni mmoja wa wachezji walio na afya nzuri zaidi katika kilabu chake, Bolton Wanderers.
Matamshi sawa na hayo yalitolewa kuhusu marehemu Marc-Vivien Foe, aliyekuwa mchezji wa Cameroon.
Marc-Vivien alianguka na kupoteza fahamu, wakati wa mechi ya kimataifa mwaka 2003.
Lakini kinachosababisha vifo kama hivi huwa sana kutokana na mtu kurithi ugonjwa fulani kuliko hali ya kiafya ya mtu.
Hitilafu katika celi za mwili ndio chanzo kikubwa cha mipigo isiyo sawa ya moyo au ugonjwa wa misuli ya moyo ujulikanao kama "Cardiomyopathies".
Inawezekana hali ya mtu inaweza kumfanya kupata mshutuko wa moyo, licha ya kuwa anafanya mazoezi kila siku na wala hasongwi sana na mawazo. Hii ni kwa mujibu wa Daktari mmoja mtaalamu wa matibabu ya moyo Leonard Shapiro.
Sasa ikawaje mtu mwenye kufanya mazoezi moyo wake kusimama? Hili kwa kweli halijulikani vyema. Lakini utafiti unapendekeza kuwa wale waliorithi matatizo ya moyo uwezekano wa moyo wao kusimama ni mara mbili sawa na wale wanaoshiriki michezo inayohitaji nguvu nyingi.
Daktari Leonard Shapiro, ambaye ni mtaalamu wa matibabu ya moyo pamoja na kuwa mshauri wa shirikisho la soka Uingereza, FA, anasema ni vigumu kufahamu chanzo cha mshtuko wa moyo.
Lakini anasisitiza kuwa kuna mambo kadhaa yanayoweza kumfanya mtu kupata mshutuko wa licha ya kuwa anajihusiha sana na mazoezi yanayohitaji nguvu nyingi.
Sasa je , nini kinaweza kufanyika ili kuzuia matukio kama haya?
Vitengo mbali mbali vya michezo nchini Uingereza hufanyia wachezaji ucgunguzi wa kiafya, ingawa sio lazima, kama ilivyo katika baadhi ya nchi , mfano Italy.
Sio kamili
Katika soka, wachezaji hufanyiwa uchungiz wa kiafya wakiwa na umri wa miaka 16 na kisha kupata ukaguzi zaidi katika siku za baadaye.
Wengi wanaopatikana kuwa na matatizo yoyote, huwa hawaruhusiwi kushirki kwenye michezo ya hali ya juu.
Daktari wa moyo katika michezo, Sanjay Sharma, anasema kuwa ukaguzi huo ni wa kiwango cha juu lakini sio kamili.
Ukaguzi wenyewe unahusu kuchukua historia ya kiafya ya mchezaji kuhusu maradhi ya moyo, kufahamu ikiwa mchezaji huhisi uchungu kifuani wakati akipumua na hata kuuliza maswali kuhusu historia ya familia kwa sababu matatizo mengi ya moyo hutokana na kurithi.
Hata hivyo ukaguzi huu sio hakikisho kuwa mchezaji hawezi kuwa matatizo ya moyo baadaye na tatizo kubwa zaidi huwa matatizo hayo huwa sio ya kudumu.
Hujitokeza tu na kisha kutibika, sawa na hali ya Muamba. Imesemekana kuwa Muamba amefanyiwa ukaguzi wa moyo mara nne tangu aanze kucheza soka, wa hivi karibuni ukifanywa mwaka jana
Chanzo:BBCInatoka kwa mdau Mjengwa.
Reactions::

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...