Skip to main content

Posts

Showing posts from May, 2014

Mahakama yapinga Rais Banda kufuta matokeo Malawi

Lilongwe, Malawi. Mahakama Kuu ya Malawi imepinga uamuzi wa Rais wa nchi hiyo, Joyce Banda kufuta matokeo ya awali yaliyotangazwa na Tume ya Uchaguzi ya Malawi (MEC) kwa madai kuwa hana mamlaka hayo. Mahakama Kuu ilitoa uamuzi huo jana baada ya Rais Banda kufuta uchaguzi huo kwa madai kuwa ulikuwa na kasoro, ikiwa ni pamoja na vitendo vya wizi na matokeo kuchezewa kwenye kompyuta. (Martha Magessa) Wakati Rais Banda akitangaza kufuta matokeo ya uchaguzi alisema: "Ninabatilisha matokeo ya uchaguzi kwa mamlaka niliyopewa na katiba ya Malawi. Ninataka kuwapa Wamalawi nafasi nyingine ya kuchangua mgombea anayefaa kwa uhuru." Aidha, Rais Banda alisema kuwa hatagombea tena nafasi ya urais katika uchaguzi ambao alisema utafanyika ndani ya siku 90 kuanzia sasa. Awali mawakili wa serikali ya Malawi, Kalekeni Kaphale, Noel Chalamanda, Patrick Mpaka waliwasilisha pingamizi mahakamani wakipi

EA film makers to form alliance to support regional integration agenda

East African film makers on Wednesday convened in Arusha in an effort to form an alliance of film festivals that will support the regional integration agenda.   The three-day first Preparatory Forum for Film Festivals and Film Makers was made possible by the East African Community (EAC) in collaboration with the German International Cooperation (GIZ).   The forum is meant to prepare ground work that will lead to the integration of all film festivals and film makers in the region into a regional body that will advocate for the film sector and also support the regional integration efforts through film in the overall context of culture and creative industries.   Addressing the forum, EAC head of the Corporate Communication and Public Affairs Owora Richard Othieno hailed East African Film Festival directors for coming up with such idea. "The move is recommendable and will take the regional bloc into another stages, taking into account that the ind

REDD’S MISS DAR CITY CENTRE 2014

                                           SAA 2:00 USIKU, 24 MEI, 2014.no   Tunapenda kutambulisha kwenu shindano kuu la Redds Miss Dar City Center 2014, Mashindano haya   kwa mwaka huu yatafanyika katika ukumbi wa dare s salaam free market (century cinema)   siku ya jumamosi tarehee   24/05/2014, kuanzia saa mbili usiku, vile vile siku hii itapambwa na burudani ya nguvu kutoka kwa skylight band. Tunaamini shindano la mwaka huu litakuwa zuri sana warembo wamejiandaa vya kutosha, tunapenda kuwaalika wadau mbalimbali wa masuala ya urembo waje kwa wingi dar es salaam free market siku ya jumamosi ili waweze kushuhudia wenyewe nani siku hiyo Atakaye twahaa taji la redd’s miss dar city center 2014.              Tunapenda kuwashukuru wazamini wetu kwa ushirikiano wao waliotupa, tunapenda kuwashukuru sana na tunapenda kuuendeleza ushirikiano huu   kwa miaka mingine zaidi.  Mratibu wa onesho hilo Judith Charles alizungumza kuhusu shindano hilo leo katika ukum

Mali: Mazungumzo ya amani yakumbwa na kizungumkuti

Rais wa Mali, Ibrahim Boubacar KeĂŻta. AFP PHOTO / STRINGER Na RFI Serikali ya Mali imetangaza vita dhidi ya “magaidi”, siku mbili baada ya mapigano makali kutokea katika mji wa Kidal (kaskazini mwa nchi), ambako ni ngome kuu ya waasi kutoka jamii ya Tuareg.  Kwa mujibu wa serikali ya Mali, maafisa 30 wa serikali wametekwa nyara na waasi. Kulingana na taarifa za Umoja wa Mataifa, watu wanane wameuawa. Makabiliano makali yalitokea kati ya jeshi na makundi ya waasi wakati waziri mkuu wa Mali, Moussa Mara, alikua zirani katika mji wa Kidal kilomita 1,500 kaskazini mashariki na mji wa Bamako. Katika makabiliano hayo watu 36 waliuawa wakiwemo wanajeshi wanane, na wengine zaidi ya 30 walitekwa nyara, kulingana na taarifa iliyotolewa na waziri wa ulinzi Soumeylou Boubeye MaĂŻga. Kundi la waasi la MNLA limekiri kwamba zaidi ya wanaheshi kumi wa Mali na wafungwa thelathini waliuawa, na wafungwa wengine wawili walijeruhiwa, na baadaae walikabidhiwa shir

JK kUONGOZA MASHAURIANO YA MRADI WA MABASI

Dar es Salaam. Rais Jakaya Kikwete anatarajia kuongoza mkutano wa mashauriano ya awamu ya kwanza ya uwekezaji katika mradi wa mabasi yaendayo kasi (DART) utakaowakutanisha wawekezaji wa ndani na nje Dar es Salaam. Mtendaji Mkuu wa DART, Asteria Mlambo alisema mwishoni mwa wiki kuwa mkutano huo utakaofanyika mapema mwezi ujao utatoa nafasi kwa wawekezaji kuzijua fursa za uwekezaji zitakazopatika kwenye mradi huo .(Martha Magessa) Washiriki wa mkutano huo wanatarajiwa kutoka katika benki na taasisi mbalimbali za kifedha, kampuni za kutengeneza mabasi, kampuni za mawasiliano, mifuko ya kijamii na wengine. Mada kuhusu mradi wenyewe wa DART itatolewa na Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu (Tamisemi), Jumanne Sagini. Kabla ya mkutano huo, DART imeandaa mkutano wa wamiliki wa daladala Dar es Salaam, Kampuni ya Usafirishaji Dar es Salaam (UDA) na wadau wengine ili kuwafahamisha jinsi gani wanaweza kunufaika na mfumo huo mpya. "Tutawaeleze

Nigeria na nchi jirani zaapa kupambana na Boko Haram

Na Sabina Chrispine Nabigambo Serikali ya Nigeria na majirani zake zimeapa kuunganisha vikosi vya kijeshi dhidi ya kundi la Boko Haram chini ya mkataba unaotambulika kama tamko la vita dhidi ya wanamgambo wa Kiislam wanaowashikilia wasichana wa shule zaidi ya 200. Marais wa Nigeria, Chad,Cameroon, Niger na Benini pamoja na rais wa Ufaransa katika picha ya pamoja jijini Paris. REUTERS/Gonzalo Fuentes Wakikutana mjini Paris Ufaransa , Rais wa Nigeria Goodluck Jonathan na wenzake wa Benin, Chad, Cameroon na Niger wamepitisha mpango mkakati wa kukabiliana na kundi hilo ambalo linatuhumiwa kwa vifo vya watu 2000 kwa mwaka huu na utekaji wa wasicha na zaidi ya 200 mwezi uliopita Kaskazini Mashariki mwa Nigeria. Akizungumza katika mkutano huo rais wa Ufaransa Francois Hollande amesema kuwa kundi la Boko Haram linauhusiano na kundi la kigaidi la Al qaeda hivyo mbinu za kikanda zinahitajika ili kudhibiti kundi hilo. Hayo yanajiri huku kundi hilo likituhumiw

Summit will reaffirm African leaders’ duties, says Kaberuka

By Ivan R. Mugisha  African leaders should use the 50th Anniversary of the African Development Bank (AfDB) as a platform to evaluate and reaffirm their commitment to the continent’s prosperity and development. Donald Kaberuka, AfDB President. Sunday Times Dr Donald Kaberuka, the president of AfDB, said this yesterday evening during an interview ahead of the Bank’s Annual Meetings which kick off today in Kigali. The high level conference which ends on May 23, attracted at least 2,500 delegates from all over the world and key speakers expected will include Heads of State and other high ranking officials from across the continent and beyond. “Africa has defined its agenda for 2063 that African leaders will adopt in the next Africa Union (AU) summit. The meeting seeks to forge a way forward for everything in Africa, including trade, prosperity, and peace, among others,” Kaberuka said. “We intend to reaffirm the choices made by the leaders but in

TARATIBU ZA MSIBA WA ADAM KUAMBIANA

Marehemu Adam Kuambiana ataagwa siku ya jumanne (20/5/2014), katika viwanja vya Leaders Club, kuanzia saa 3 asubuhi hadi saa 9 mchana. Baada ya hapo atazikwa siku hiyo hiyo ya jumanne, katika makaburi ya Kinondoni. Mwenyekiti wa Bongo movies, Steve Nyerere, amesema marehemu alikuwa anasumbuliwa na vidonda vya tumbo na ndio chanzo cha kifo chake.