Skip to main content

Nigeria na nchi jirani zaapa kupambana na Boko Haram


Na Sabina Chrispine Nabigambo
Serikali ya Nigeria na majirani zake zimeapa kuunganisha vikosi vya kijeshi dhidi ya kundi la Boko Haram chini ya mkataba unaotambulika kama tamko la vita dhidi ya wanamgambo wa Kiislam wanaowashikilia wasichana wa shule zaidi ya 200.
French President Francois Hollande (C) poses for a familly photo with (LtoR) Britain's Foreign Secretary William Hague, Niger's President Mahamadou Issoufou, Chad's President Idriss Deby, Nigerian President Goodluck Jonathan, Cameroon's President Paul Biya, Benin's President Thomas Yayi Boni, European Council President Herman Van Rompuy and U.S. Undersecretary of State for Political Affairs Wendy Sherman during a meeting at the Elysee Palace in Paris, May 17, 2014.  West African leaders meet in Paris on Saturday to try to improve cooperation in their fight against the Nigerian Islamist militant group Boko Haram, which has kidnapped more than 200 schoolgirls and threatens to destabilise the wider region.     REUTERS/Gonzalo Fuentes)
Marais wa Nigeria, Chad,Cameroon, Niger na Benini pamoja na rais wa Ufaransa katika picha ya pamoja jijini Paris. REUTERS/Gonzalo Fuentes

Wakikutana mjini Paris Ufaransa , Rais wa Nigeria Goodluck Jonathan na wenzake wa Benin, Chad, Cameroon na Niger wamepitisha mpango mkakati wa kukabiliana na kundi hilo ambalo linatuhumiwa kwa vifo vya watu 2000 kwa mwaka huu na utekaji wa wasicha na zaidi ya 200 mwezi uliopita Kaskazini Mashariki mwa Nigeria.
Akizungumza katika mkutano huo rais wa Ufaransa Francois Hollande amesema kuwa kundi la Boko Haram linauhusiano na kundi la kigaidi la Al qaeda hivyo mbinu za kikanda zinahitajika ili kudhibiti kundi hilo.
Hayo yanajiri huku kundi hilo likituhumiwa kutekeleza shambulio jingine wakati mkutano wa viongozi wa hao ukiendelea na kumwua askari mmoja wa Cameroon na kuwateka nyara wafanyakazi 10 wa barabara raia wa China.
Wanamgambo hao walivamia kambi inayotumiwa na wafanyakazi wa barabara raia wa China Ijumaa usiku katika mkoa wa kaskazini mwa Cameroon karibu na mpaka wa ngome ambapo waliwateka zaidi ya wasichana 200 mwezi uliopita

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...