Skip to main content

Posts

Showing posts from September, 2009

Leo Msanii Mjomba Mpoto amekamua vya kutosha Mnazi Mmoja Kwenye Wiki ya Nenda Salaama.

Msanii anayefanya muziki wa Mashahiri jukwaani ,Mjomba Mpoto ametikisa viwanja vya , Mnazi Mmoja Jijini Dar es Salaam , akiimba na bendi yake Mpya inayoitwa 'Mjomba Bendi' inayowakilishwa na jumla ya waimbaji 12 jukwaani , anekemea Uzembe wa Madereva Barabarani , wimbo aliouimba unaitwa 'Epuka mwendokasi kabla haujatuua' ambapo ndio kauri mbiu ya Wiki ya nenda Salaama kwa mwaka huu. Kwa mujibu wa Meneja wa Bendi hiyo Kelvin Ayoub ambaye ni mfanya kazi wa Kampuni ya (World Bank ), akiwa kwenye kitengo cha IT amesema viwanjani hapo kuwa kwa sasa bendi hiyo inajipanga ilikuja na nyimbo zitakazokuwa kwenye ujio wao wa albamu hapo baadaye , ambapo ametaja baadhi ya majina ya ya wanamuziki katika bendi hiyo kuwa ni Ismail ,Nuruel Mbowe Mery ambaye alikuwa Bomgo Star Seach mwaka jana na Mpoti mwenyewe.Akasema nyimbo zilizoibwa leo mbele ya mgeni rasimi Mh Mkuu wa Wilaya ya Ilala Evans Barama zimefanyiwa mazoezi kwa takribani siku nne tu, naakaipongeza bendi yake hiyo kwa kuimb

Uhuru hawa gumuzo (TFF) , Ametikisa Vilab viwili katika sekeseke la Usajili Ligikuu ya Vodacom Tanzania Bara.

Huyooo katika muomekano wa kung'ara uwanjani.

Heeeeeee , makubwa ya liyofanywa na Yule Emmanuel

Kuda deki chabo hapa hali hii ndio maana sasa bongo ushabiki umekuwa mpana, siumeiona hii, Van Persir.

Haya ni maua yenye mwonekano bomba

Kikosi cha timu ya Simba kwa sasa ni sawa tu na maua mazuri kama haya hapa pichani.

Huyu ni Kocha wa 'Wekundu wa Msimbaz' akitoa mazoezi ya 'kufa mtuuu'.

Kwa sitahili hii , kumbe ndio maana mnadumu kilelele aisssssssssss.

Mikiki Mikiki kama hii :Wambongo sasa ni fuuull Ushabiki kwa kwenda Mbeleee

Wayne Rooney , ni makubwa haya katika Ligi Majuu.

Kocha Mkuu wa Timu ya Azam FC

Huyu ndiye Kocha Mbrazil wa (wanatamutamu),Azam FC Inter Amourin ,Pichani akiwa kwenye Ofisi za (TFF). Ua pako bize katika eneo hilo kwani Wadau wengi wa soka ujili hapo , siunajua tena mambo ya soko nchini yamepaaaaa mpaka basiiiiii.

DJ MACKAY AKIWA KAZINI KWENYE UKUMBI WA MZALENDO PUB

Kushoto ni mkali wa milazo Dj Mackay pembene akitete jambo na mwanadada Kemmy Mtahaba usiku wakati mangoma yakiendelea kukita katika ukumbi huo unaopata mashabiki wengi wa mziki kwenye siku za jumamosi kutokana na umahiri wa Dj Bonny Luv ama(Mjomba), ambapo enzi za miaka ileeeeeeeeee ua inajirudia , kwani Luv na Mackay watatesa ilele ni soooo katika jiji la maraha Dar kwa siku hizoza mwishowa wiki , disko hilo uratibiwa na Dj Venture ndiye msemaji kwa vyombo vya habari sehemu yoyote kuhusu disko hilo.

MTANGAZAJI AMBAYE KWA SASA NI GUMUZO NCHINI KUPITIA MAWIMBI YA CLOUDS FM ZAMARADI MKETEMA AKIMKABIZI MSHINDI WA PIKIPIKI FUNGUO

CLOUDS FM kwa kushirikiana na STEPS ENTERTAINMENT kupitia kipindi cha MOVIE LEO ambacho uendeshwa katika kipindi cha Leo Tena. Leo saa nane mchana mshindi huyo amekabidhiwa zawadi ya pikipiki yenye thamani ya shilingi laki saba na nusu (750.000) ambayo imetolewa na kampuni ya KISHEN ENTERPRISES ya jijini Dar es Salaam.“Draw hii ilianza rasmi siku ya tarehe tano January mwaka huu ambapo mara ya mwisho ilichezeshwa miezi miwili iliyopita.

SASA SAID KUJIMWAYAMWAYA NA PIKIPIKI

Said Hamis ambaye ni mkazi wa Sumbawanga Mkoani Rukwa , amweza kujishindia usafiri utakaoweza kumrahisishia kazi zake .......... hiiiii hivi ndivyo alivyo anza kudiraivuuuu Mpikipiki wake akiowaonesha waandishi wa habari leo mchana jinsi atakavyo kuwa akiendesha atakapo rudi nyumbani Rukwa.

HUU NI UFUKWE WA COCOBEACH

Baadhi ya watu mbali mbali wakionekana kujiachia siku ya sikukuu ya Idd , wengi ufulika siku za sikukuu kama inavyoonekana pichani.
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI ILIYOTOLEWA NA MONDAY LIKWEPA MWENYEKITI WA CHAMIJADA UKUMBI WA MAKUMBUSHO VA TAIFA TAREHE 18/09/2009 Ndg, Waandishi wa habari, Leo nimewaomba kuzungumza nanyi kwa lengo la kuwaomba mtufikishie ujumbe wetu kwa Watanzania~ y ;vvv /~..-tU-/l Chamijada tumejiwekea utaratibu wa kuandaa Tamasha na Shindano kwa lengo la kukumbuka Kifo cha Mwasisi wa Taifa letu, Baba wa Taifa Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere . Tamasha hili ni la saba mfululizo tangu 2002 ambalo tunamkubuka Hayati Mwalimu Nyerere akiwa ametoka kwa takribani miaka 10. Chamijada tumejiwekea utaratibu wa kualika viongozi mbalimbali wakiwemo viongozi wa kitaifa kama ifuatavyo:- • 2001 - Bw. Salva Rweyemamu ambaye kwa sa sa ni Mkurugenzi wa Habari Ikulu, katika Ufunguzi huu katika Viwanja vya Garden Temeke, aliwakilishwa na Hafidhi aliyekuwa Mhariri wa Gazeti la The African. • 2002 - Bw. Joseph Butiku - Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Mwalimu Jul
Bodo timu ya Simba (Wekundu wa Msimba ziiiiiiiiii) wanaendeleza vichapo , kwenye mechi zinazoendelea za Ligi Kuu ya Vodocom. Simba iliwanyamazisha Manyema kwa kichapo cha mabao 2-0 kwenye uwamja wa Uhuru Dar es Salaam jumamosi iliyopita ambapo maboao ya Simba yalipatikana kwa mikwaju ya penalti uku mchezo ukiwa umetawaliwa na ubabe wa ainaflani. Dkika ya 17 bao la kwanza la Simba liliweka kimyani na Hillary Echesse kwa mkwaju wa penalti baada ya Danny Mrwanda kufanyiwa madhambi ndani ya eneo la hatari. Haruna Moshi alipewa kadi nyekundu lakini Simba ilionekana kama vile awana upungufu waliendelea kutawala mchezo. Dkika 51 ilikuwa kumbukumbu kwani Himidi Mao aliunawa mpira na Simba kupachika bao la pili kwa mpira wa penalti uliopigwa na Danny Mrwanda , hata hivyo kitendo cha Haruna kupewa kadi kilionesha kusononeka kwa kocha Partrick Phiri.

Mdau wasoka Edokumwembe akipeana mkono na Katibu Mkuu wa Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini Frederick

Mwandishi mwandamizi wa habari za michezo , Edo Kumwembe (kushoto) akisalimiana na Katibu Mkuu wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) Frederick Mwakalebela le saa tano asubuhi kwenye ofisi za TFF , Ilala jijini Dar es Salaam .

Shirikisho la Soka nchini TFF wiki Hii liliwapigachini...

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) mwanzoni mwa wiki hii , liliwapiga chini waamuzi wanne . TFF kupitia Kamati yake imewaondoa katika kuchezesha mashindano yake ya Ligi Kuu waamuzi, Peter Mujaya, Athumani lazi, Othman Kazi, Hassan Zani huku Amon Paul na wenzake wakipewa onyo kali. Katika taarifa yake, Kamati ya mashindano ilisema kuwa waamuzi walishindwa kumudu mechi zao pamoja na kushindwea kuzitafasiri sheria 17 zinazolinda soka. Ni wazi kuwa TFF imefanya jambo la msingi kwani hili pekee litawezesha waamuzi kufanya kazi zao kwa ufasaha, kufanya kazi zao kwa umakini pamoja na kufuata sheria, kanuni na taratibu za ligi. Inasikitisha kuwa , mechi nne tu waamuzi hao na wasaidizi wao wamekiona cha mtema kuni kwa kanunu za TFF, safari hii si mchezo! Hatua hii iatoataswira itakayosaidia kudumisha nidhamu katika ligi hiyo.

Baadhi ya waombolezaji jana waliokuwepo kwenye msiba wa Mohamed Mpakanjia

Hapo ni nyumbanikwa marehemu Sinza kabla ya maziko jana kwene makaburi ya Kisutu Jijini Dar es Salaam.
Shughuli moto mkali kuendelea kutikisa ndani ya Millenium Tower ni Mzalendo Pub , ambapo Dj Bon Luv & Dj Mackay watakuwa wakiwasha moto Ijumaa hii na Idd Moso ni kuanzia saa 12:00 ambapobonanza la kweli na Watu wa Kweli tupu ndani yanyumba babak'e .

Alichoki Akiwa kwenye eneo la Mazishi ya Mohamed Mpakanjia leo

Msanii nyota wa muziki wa dansi (mwenye shati lenye mikono mirefu) Ally Choki akiwana waombolezaji wengine mazishini Kisutu

Mazishi ya Mohamed Mpakanja

Yalipofanyika mazishi leo Kisutu Dar es Salaam.

Obren Curkovic kipa wa Yanga

Haya ni Mazoezi ya timu ya Soka ya Yanga

Wanafanya mazoezi kiivyo hapo pichani , msimu uliopita walikuwa mabingwa wa Ligi ya Tanzania Bara.

Disko la Mzarendo Pub Laendelea Kutikisa

Disko la Mzarendo Pub kwenye mjengo wa Milleniummaeneo ya Kijitonyama linaendelea kutikisa kila siku zajumamosi kuanzia Saa 8:00 usiku hadi midaya majogoo kuwika. Ma dj uchengua kwa milazo ya 'kufamtu' ukuburudani nyingine kama kula Batazikiendelea , Dj Bonny Luv na Dj Mackay upolomosha 'Track' kali na ziliezilizo pata chati ya juu miaka ile ya Nyuma enzi za Tazara ,Pinc Coconut yanakumbukwa mengiya nyuma weeeeee usikose mitoko ya mwishi wa wiki mazeeee. Pichani ni Dj Venture , Bonny Luv , jack Pembea , Masudi Kipanya .

Kikosi cha Yanga

Matokea ya Ligi kuu ya Tanzania Bara Simba 3 vs Toto 1 Wafungaji: Simba - Emmanuel Okwi, Haruna Moshi na Musa Hassan 'Mgosi' Toto - Lawrence Mugia Manyema 1 vs Kagera 0Wafungaji: Manyema - Musa Kipao Yanga 2 vs JKT 2Wafungaji: Yanga - Kigi Makasi 2 JKT - Husein Bunu 2 Moro 2 vs Azam 3Wafungaji: Azam - Yahya Tumbo 2 na John Bocco Moro - Hussein Sued na Said Kokoo Majimaji 1 vs Mtibwa 0Wafungaji: Majimaji - Patrick Betwel Simba 2 vs Kagera 0Wafungaji: Haruna Moshi na Mohamed Kijuso .

Mambo ya kocha wa Wekundu wa Msimbazzzzzzz

Rekodi ya Phiri kwa Simba ilizidi kupanda baada ya msimu uliopita alipochukua timu katika mzunguko wa pili ikiwa katika hali mbaya lakini alifanikiwa kuipandisha na kumaliza ligi hiyo ikiwa katika nafasi ya pili. WEKUNDU wa Msimba ndio timu ya kwanza kutwaa ubingwa wa Tanzania Bara ilipoanzishwa mwaka 1965 na 1966 ikiwa inajulikana kama Sunderland na ilipobadilishw ana kuitwa Simba ilitwaa katika miaka ya 1972, 1973, 1976.1977,1978,1979, 1980, 1993, 1994, 1995, 2001, 2002, 2004, 2007. Kwa sasa simba inagawa Vichapo kwa timu pinza za Ligi Kuu Tanzania bara hadi sasa ni timu pekee ambayo aija droo wala kupoteza mchezo , tukae tusubiri Vichapo vinavyogawiwana toka kwa wekundu hao wa msimbazi vitakuwa vya kudumu msimu huu?Pichani ni Bechi la Ufundi Pamoja na wachezaji wa wekundu hao.

Hiii ni stori tu, jamaa kachonga Kwenye Blog hii

Tarehe ya Sherehe yangu ni kila mwaka tarehe 9 mwezi wa 7. Ni Mzaliwa Dar es salaam na nimekulia Manzese Midizini,Ni mtoto wa mwisho kwa Mr&Mrs Raphaeli Uliza,Jina halisi ni Valeriani Raphaeli Uliza na pacha wangu ni Vallence Raphaeli Uliza. Ni msanii wa mwisho kufanya featuring na Marehemu Vivian Intilia aliyekuwa mtangazaji wa Clauds fm nyimbo iliyokwenda kwa jina la Nipe raha 2004 Baadae nikaamua kuachana na Music na kuamua kufanya mambo mengine hasa baada ya kupata mtoto wa kwanza akili ikachenji kabisa ni kawa Baba so ikabidi ni step out. 2006 nikaamua kwenda Mwanza na Kufungua Recording Label iliyokwenda kwa jina la KWETU RECORDS na aikudumu sana sababu nilikuwa msafiri so sikuwa na mtu wa kusimamia. Mimi mwenyewe ni mmoja waanzilishi wa WAZEE WA KAZI ambayo ndani yake ninapatikana mimi Mauchafu,King Kimbeho,Pizzo,Nay,Jicho,Major,Dark side Project,Roja Mjeshi. MAUCHAFU ENTERTAINMET ni kampuni inayomilikiwa na mimi mwenyewe kama meneja muanzilishi na mmiliki ila ina Blanch n

Hiiiiiiii ni Simba Sasa ni Vichapo tu.

VIONGOZI na wanachama na wapenzi wa klabu ya Simba wamekuwa na imani kubwa ya kutwaa ubingwa huo kutokana na usajili wao pamoja na imani waliyokuwa nayo kwa kocha wao katika utendaji wake. Kocha Phiri aliwahi kuifundisha Simba mwaka 2004 na kufanikiwa kuipa ubingwa kabla ya kutimua kwao kutokana na matatizo ya mbali mbali wakati huo. Kikosi cha Timu ya Simba pichani juu , kikifanya mazoezi.

Wanafamilia wa Marehemu Wako Jacko

Familia ilivyo kuwa siku ya maombolezo hiii kwenye anga za muziki akuna kusahaulika.

HII HAPA NI TOTOAFRICA

Kikosi cha Toto kilicho utafuta mpira uwanjani kwa Tochi kwenye dimba la Uhuru (Shamba la Bibi) zidhi ya Simba Sport Club.

JINA LA NYOTA HUYU ALITAFIKA KIKOMO KWA UMAARUFU ALIOPATA TANGU ENZI ZILE

Huyu ni yuleeeeee , aliyekuwa Nyota katika kiwago cha Juu kabisa cha soka Duniani ninaniii ..... Pele.

Zhongua Garden Morocco , ni ma DJ Peter Moe,Rankim Ramadhani , Dj Twisa

Kila jumamosi mahara hapo huwa ni muzuka mwingiiiiiiiiiiiii.

Endelea Kuche maelezo ya msanii wa Mwisho kufanya 'Track' na Marehemu Vivian

Baadae baadae akahamua kuachana na Music na kuamua kufanya mambo mengine hasa baada ya kupata mtoto wa kwanza akili ikachenji kabisa ni kawa Baba so ikabidi ni step out. 2006 akahamua kwenda Mwanza na Kufungua Recording Label iliyokwenda kwa jina la KWETU RECORDS na aikudumu sana sababu nilikuwa msafiri so sikuwa na mtu wa kusimamia inaendelea usikose anaeleza mwenye hapa kutoka majuu aliko hivisasa .

HUYU NI TOX STAR MSANII WA BONGOFLEVA

Anakimbiza habari zake zitasomeka kwenye blog hii tuna mtafuta ilimsomaji upate undani wa msanii huyo toka kundi flani la Sharo Baro.

Wakiwa kwenye Pozi la Pamoja Backyards Unit

Mtayarishaji muziki Braton wa Backyards Records wa pili kutoka kushoto a kijiachia kiaina na kundi la studio hiyo , haooooooooo , wanabaki hadi na mapozi .

BAADHI YA VYOMBO VYA STUDIO HIYO YA SEI RECORDS

Vimetulia viko fuuuuuuuuuuull kwa makamuzi

SEI RECORDS IKIWA MUZIGONI

Hii ni Filamu hiliyopo Madukani Hivi Sasa

Inafanya vizuri , na kuwa inagombaniwa kama ......... Huko Mitaani

ILIKUWA SIKU YA SIMBA DAY HAPA

Simba iliwatema wachezaji wake Moses Godwin, Ramadhani Wasso, Nasor Said, Amani Simba na Orji Obinna kutokana na sababu mbalimbali. Katika kuziba mapengo ya wachezaji waliochWa na kuongeza nguvu klabu hiyo iliwarudisha wachezaji wake Juma Kaseja aliyesajiliwa Yanga msimu uliopita, Danny Mrwanda aliyekuwa anacheza soka Kuwait.

TIMU YA SIMBA

LIGI Kuu Tanzania Bara msimu wa 2009/10 imeanza na vita kubwa kutokana na miamba miwili ya soka nchini Simba na Yanga kila moja kupania kutwa ubingwa huo.

MKALI BRATON AKIWA NA NARON WA MANSESE CREW

Ni moja ya picha kama Blog hii ilivyo wabamba , Bratoni wambele pichania kiwa kwenye hatua ya kazi zake za kila siku .

HUYU NI ZAMARADI MKETEMA ANAZIZI KUWA JUU , UTANGAZAJI WAKE UKOFRESH PALE CLOUDS FM

HUYU NI MKALI KWENYE HARAKATI NDANI YA GEMU HAPA BONGO ILA YUKO MBELEEEE KITAMBO!!

Anza kusima kitu iki jamaa kadodosa hivi tarehe yake ya kusherekea siku ys kuzaliwa ni kila mwaka tarehe 9 mwezi wa 7.Ni Mzaliwa Dar es salaam na nimekulia Manzese Midizini,Ni mtoto wa mwisho kwa Mr&Mrs Raphaeli Uliza , Jina halisi ni Valeriani Raphaeli Uliza na pacha wangu ni Vallence Raphaeli Uliza. Ni msanii wa mwisho kufanya featuring na Marehemu Vivian Intilia aliyekuwa mtangazaji wa Clauds FM nyimbo iliyokwenda kwa jina la 'Nipe raha' 2004. Chabo tena kesho Blogu hii jamaa atatililika inshu teleeeeeeeeee zilizo fasaha kuhusu muziki wake.

MTAYALISHAJI BRATONI KUREJESHA SAUTI YA HAYATI COMPLEX KWENYE GEMU

ALIYE kuwa msanii na pia mtayarishaji wa muziki kwenye studio ya Backyards marehemu Saimoni Sayi 'Complex' mapema wiki hii sauti yake itaanza kusikika tena katika anga za muziki nchini , kutokana mtayarishaji Samwel Mbwana 'Braton' ambaye kwa sasa ndiye mmiliki wa studio kuanza kusambaza wimbo mpya wa marehemu huyo uitwao 'Utatanishi' . Ukiwa tayari wimbo umefanyiwa hatua ya tasimini kuwa utakuwa katika hali nzuri ya kupendwa na mashabiki wa muziki baada ya wadau kuwaufanyia tasimini walipoalikwa kuusikiliza katika studio ya Backyards jijijini Dar es Salaam. Akizungumza na Blog hii 'Braton' amewataja wasanii walioshiriki kuingiza sauti zao kuwa ni Madee na msanii Chid Benz ambapo kuingiza sauti zao hizo umefanya wimbo huo ulioko katika maadhi ya Hip hop kuwa na mvuto zaidi. "Marehemu Complex aliyefariki kwa ajali mbaya ya gari, Agust 22 mwaka 2005 , alifariki ukukukiwa na baadhi ya nyimbo amabozo alikuwa amezirekodi sauti na kwasasa sauti
Du iki ndicho kimbembe kilicho taka kuibana mbavu Yanga Hichi ni Kikosi cha African Lyon kilichofungua dimba msimu huu kwenye Uwanja wa Uhuru(Shamba la Bibi) , kikosi iki kiliweza kuilazimisha Yanga kwa mambao 1-1 .

Dj Bon Luv mwenye vazi Jekundu sambamba na Dj Mackey wakiwa na Nyuzo za furaha tele .

Mkali dj Bon uporomosha 'Track' za zamani uku akisaidiana na dj Mackey wa Redio Esat Afrika , ambapo mamboya kurabata ufanyika kila sikuza jumamosi kwenye mjengo wa Millenium Mzalendo Pup , karibukabisa na Kijiji cha Makumbusho, awali dj huyo alitiatimu akitokea maeneo ya Kawe Ranbow na vile vile alikuwa akiwasha moto mkali pale Lataverna lakini sasa fuuuull kujiachia Mzalendo Pub.

MKALI WA SEI RECORDS , MAENEO YA KINONDONI ANAYETIKISA ANGA

MTAYALISHAJI wa muziki kwenye studio maarufu nchini iitwayo 'Sai Records'amewataka wadau wa muziki nchini na hasa watayalishaji wa muziki studio kuwa na ushirikiano mkubwa , ushirikiano utakao wezesha mambo katika sekta hiyo ya muziki kuzidi kupata mafanikio. Anasema yeye anamuda mrefu kwenye sekta hiyo ya muziki , anasema alianza kazi hiyo ya utayalishaji wa muziki studio akitokea kwenye fani ya u Dj , baada ya kuvutiwana kaka yake aitwaye Salavai Rashid 'Sroi'. Sei katika hatua zake za kuelekea kuwa mtayalishaji muziki awali akiwa bado kwenye u Dj ,anasema alipiga disko kwenye kumbi kama Vatcani ,Mbezi Garden nk. Anasema baadaye alijikuta kuwa na urafiki wa karibu sana na mtayalishaji wa muziki aitwaye kameta ambaye ni mtu mmoja wa muhimusana katika fani ya utngenezaji wa muzikistudio. Aidha , anasema akiwa katika stdudio ya AK Production alianza kurekodi nyimbo mbili, wimbo wa kwanza kurekodiwa na Kameta ulijulikana kwa jina la 'Wewe tu' na wimbo wa pili ulij
MABWER KATIKA MOJAYA POZI LAKE LILILO TULIA Ilikua ni katikamoja ya tamsha flani , siku zimepita sasa !