Skip to main content

Hiii ni stori tu, jamaa kachonga Kwenye Blog hii


Tarehe ya Sherehe yangu ni kila mwaka tarehe 9 mwezi wa 7.

Ni Mzaliwa Dar es salaam na nimekulia Manzese Midizini,Ni mtoto wa mwisho kwa Mr&Mrs Raphaeli Uliza,Jina halisi ni Valeriani Raphaeli Uliza na pacha wangu ni Vallence Raphaeli Uliza.

Ni msanii wa mwisho kufanya featuring na Marehemu Vivian Intilia aliyekuwa mtangazaji wa Clauds fm nyimbo iliyokwenda kwa jina la Nipe raha 2004 Baadae nikaamua kuachana na Music na kuamua kufanya mambo mengine hasa baada ya kupata mtoto wa kwanza akili ikachenji kabisa ni kawa Baba so ikabidi ni step out.

2006 nikaamua kwenda Mwanza na Kufungua Recording Label iliyokwenda kwa jina la KWETU RECORDS na aikudumu sana sababu nilikuwa msafiri so sikuwa na mtu wa kusimamia.

Mimi mwenyewe ni mmoja waanzilishi wa WAZEE WA KAZI ambayo ndani yake ninapatikana mimi Mauchafu,King Kimbeho,Pizzo,Nay,Jicho,Major,Dark side Project,Roja Mjeshi.


MAUCHAFU ENTERTAINMET ni kampuni inayomilikiwa na mimi mwenyewe kama meneja muanzilishi na mmiliki ila ina Blanch na Management mbali mbali,Tunausika na ARTIST PROMOTION AND MANAGEMENT sio wa Music tu bali hata waigizaji wa Film.
Makao makuu ya Kampuni hii Helsinki Finland na ina Matawi nchi 16 za Ulaya.


Wasanii wanaotangulia kwa sasa ni Hakeem 5(Namashaka ambayo Albam iyo ina nyimbo 8) pamoja Nay wa Mitego(Wa Mitego albam ambayo ina nyimbo 10).

Kwa sasa niko nje ya nchi ila shughuli zinaendelea kama kawaida chini ya Management ya Abeli Ambaye ni Menager wao wakati mimi sipo.


Albam yangu mimi kama mimi itaingia sokonoi mwakani na itakwenda kwa jina la (Uhamishoni) na itakuwa nyimbo 16 na Kitabu chake. Amemaliza kama nawe wataka kusomeka kwenye blog hii usiiiiiiiiiiiite chango nami kupitia barua pepe machibya07@gmail.com

Comments

Popular posts from this blog

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was...

Mushikiwabo to UN: Enhance civilian protection

By Eugene Kwibuka Rwanda’s Minister of Foreign Affairs and Cooperation has urged the United Nations Security Council (UNSC) to invest more energy in the prevention of conflicts for better protection of civilians living in conflict-torn areas. Rwanda’s Foreign minister, Louise Mushikiwabo Louise Mushikiwabo made the call during an open debate on the protection of civilians in armed conflict which the UNSC held in New York on Tuesday. “Rwanda’s core message today is that enhancing the protection of civilians in armed conflict requires action before a conflict starts. The proliferation of non-state armed groups makes civilian protection both more urgent, and harder to achieve,” she said. For better protection of civilians in armed-conflict areas, the minister emphasised the need to increase investments in professionalising the military and police forces through adequate training. “Only when the leadership of armed forces shares the international...

Saudi King urges U.N. action against religious insults

Saudi King Abdullah urged the United Nations to produce a resolution condemning insults on monotheistic religions after the anti-Islam film in the U.S. that sparked deadly protests in many Muslim countries last month. (AFP) By AFP, MINA/SAUDI ARABIA Saudi King Abdullah on Saturday demanded a U.N. resolution condemning insults on monotheistic religions after a low-budget film produced in the U.S. sparked deadly protests last month. “I demand a U.N. resolution that condemns any country or group that insults religions and prophets,” he said during a meeting at his palace with religious figures and heads of hajj delegations in the Mina valley where pilgrims were performing final rituals of hajj. “It is our duty and that of every Muslim to protect Islam and defend the prophets.” A low-budget film produced in the U.S., Innocence of Muslims, triggered a wave of deadly anti-American violence last month across the Muslim world targeting US symbols ranging ...