Skip to main content

Hiii ni stori tu, jamaa kachonga Kwenye Blog hii


Tarehe ya Sherehe yangu ni kila mwaka tarehe 9 mwezi wa 7.

Ni Mzaliwa Dar es salaam na nimekulia Manzese Midizini,Ni mtoto wa mwisho kwa Mr&Mrs Raphaeli Uliza,Jina halisi ni Valeriani Raphaeli Uliza na pacha wangu ni Vallence Raphaeli Uliza.

Ni msanii wa mwisho kufanya featuring na Marehemu Vivian Intilia aliyekuwa mtangazaji wa Clauds fm nyimbo iliyokwenda kwa jina la Nipe raha 2004 Baadae nikaamua kuachana na Music na kuamua kufanya mambo mengine hasa baada ya kupata mtoto wa kwanza akili ikachenji kabisa ni kawa Baba so ikabidi ni step out.

2006 nikaamua kwenda Mwanza na Kufungua Recording Label iliyokwenda kwa jina la KWETU RECORDS na aikudumu sana sababu nilikuwa msafiri so sikuwa na mtu wa kusimamia.

Mimi mwenyewe ni mmoja waanzilishi wa WAZEE WA KAZI ambayo ndani yake ninapatikana mimi Mauchafu,King Kimbeho,Pizzo,Nay,Jicho,Major,Dark side Project,Roja Mjeshi.


MAUCHAFU ENTERTAINMET ni kampuni inayomilikiwa na mimi mwenyewe kama meneja muanzilishi na mmiliki ila ina Blanch na Management mbali mbali,Tunausika na ARTIST PROMOTION AND MANAGEMENT sio wa Music tu bali hata waigizaji wa Film.
Makao makuu ya Kampuni hii Helsinki Finland na ina Matawi nchi 16 za Ulaya.


Wasanii wanaotangulia kwa sasa ni Hakeem 5(Namashaka ambayo Albam iyo ina nyimbo 8) pamoja Nay wa Mitego(Wa Mitego albam ambayo ina nyimbo 10).

Kwa sasa niko nje ya nchi ila shughuli zinaendelea kama kawaida chini ya Management ya Abeli Ambaye ni Menager wao wakati mimi sipo.


Albam yangu mimi kama mimi itaingia sokonoi mwakani na itakwenda kwa jina la (Uhamishoni) na itakuwa nyimbo 16 na Kitabu chake. Amemaliza kama nawe wataka kusomeka kwenye blog hii usiiiiiiiiiiiite chango nami kupitia barua pepe machibya07@gmail.com

Comments

Popular posts from this blog

Thousands of protesters clash with police in Chicago: Chaos in the Windy City as 45 activists arrested and one cop stabbed after demonstrators target NATO

By DAILY MAIL REPORTER Thousands of demonstrators upset with the war in Afghanistan, climate change and the erosion of union rights have raised the intensity of a march in downtown Chicago on Sunday as world leaders assembled for a NATO summit. The protest, one of the city's largest in years, turned violent at the end of an anti-NATO march, where demonstrators confronted Chicago police, pushing against a line of officers several blocks from the lakefront convention center where President Obama hosted a gathering of world leaders. Authorities were seen making arrests one by one and leading individual demonstrators away in handcuffs. After a clash near McCormick Place, Chicago Police Superintendent Garry McCarthy said at a news conference that the protests resulted in 45 people being arrested and four officers suffering injuries - one from a stab wound in the leg. Scroll down for video Clash: Demonstrators try to flee the police as they are move in on them

MBINU ZA KUMFIKISHA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA KILELENI KWA HARAKA

Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa ngono) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa wa “ovyo” hali itakayo kufanya wewe kuishiwa na hamu ya kuendelea. Pamoja na kuchelewa huko ambako kunatokana na utofauti wetu kati ya mwanaume na mwanamke lakini nakumbuka hapo nyuma nilikutana na wanawake 2 waliokuwa ndani ya ndoa na wamezaa lakini hawajawahi kabisa kujua utamu wa tendo hilo alimaharufu kama “kufanya mapenzi”. Natambua kuwa ni ngumu au niseme si wanawake wote ambao wamejaaliwa kimaumbile kwamba wanafanikiwa kufika kileleni zaidi ya mara mbili kila wanapofanya mapenzi/ngono (kumbuka ni kati ya dakika 15 na saa moja hivyo Jibaba hapa awe na uwezo wa kujizuia kwa zaidi ya dk 45) na ikiwa jamaa ni “mzamiaji” basi unaweza ukaondoka na goli 3 ktk mzunguuko mmoja. Lakini kwa nini basi baadhi yao tu ndio wafike kileleni na wengine was

HAYA NI MAKAO MAKUU YA MTANDAO WA Tigo TANZANIA DAR ES SALAAM

MAHALA yalipo ni Lugoda Street Gerezani Industrial Area , kwa sasa mdandao huu umefanya makubwa , kuna Tigo Bwerere Uilisha cheki hiyoooooo watu full kujiachia wana chonga tuu kwenye vyao vilonga.